Edward Lowassa special thread


Hivi jk hakuwahi kukataliwa na mwl nyerere?
 
Kukata jina la lowasa,ndio mwisho wa ccm.
 
Naona unazidi kuchanganyikiwa Maghufuli umesahau riport ya juzi kuwa billion 290 fedha za kitanzania hazionekani zimeliwa na akina muhongo juzi tuu hapa amejiuzulu

wewe umezuka kutoka wapi? jitahidi kwanza ulizoee jamvi ndipo uanze kutaka ligi na mimi vinginevyo nitakujibu halafu utakata hata tamaa ya ku log in tena.
 
Hivi jk hakuwahi kukataliwa na mwl nyerere?

nipe tofauti ya mtu kuambiwa " muda wako bado haujafika " na " hufai kuwa rais kwakuwa wewe ni mwizi ". anayemaliza muda wake october 25 2015 aliwambiwa muda wake bado na huyo unayemtaka atutawale aliambiwa kuwa yeye ni mwizi. sasa jichekeche mwenyewe kisha utapambanua. wamawia ninaowajua mimi huwa wanajua sana kufikiri sasa sijui mwenzetu ni mmawia wa wapi. au ni wale wa " nchumbiji? ".
 
Kukata jina la lowasa,ndio mwisho wa ccm.

na kulibakisha na hadi kulipitisha jina la lowassa ndiyo tiketi laini na nyepesi kwa ukawa kuchukua mamlaka na dola rasmi ya tanzania.
 
na kulibakisha na hadi kulipitisha jina la lowassa ndiyo tiketi laini na nyepesi kwa ukawa kuchukua mamlaka na dola rasmi ya tanzania.

Ndio hapo mkuu,mmakonde aliposema....HUCHITEME wala HUCHIMUNG'UNYE...
 
kwani mwanamke anatahiriwa..unaongea kama mke wa mwenyekiti....Siasa aiko hivyo mamaa..kakioshe usubirie wateja..
 
Mpaka Sasa Bado Lowasa Hajapata Wadhamini? Je Ni Kwanini Hajapata Wakati Anatumia Chopa Na Huku 6 Ametumia Bas Ameshamaliza? Je? Lowasa Anajichelewesha Ili Kuitisha Cc?
 

Mimi ni mmawia wa mocambique
 




  • kwani mwanamke anatahiriwa..unaongea kama mke wa mwenyekiti....Siasa aiko hivyo mamaa..kakioshe usubirie wateja..​



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…