Edward Lowassa special thread

Kati ya watia nia wote kupitia chama cha mapinduzi jina la Lowassa ndo limekuwa gumzo kila sehemu tofauti na wagombea wenzake ndani ya chama,ukifanya utafiti kwa kina utagundua kwamba Lowassa anapendwa na watu wengi sana kwa sababu record yake ya utendaji kazi mahiri huko nyuma na zaidi hasa pale alizuia uwanja wa mnazi mmoja usiuzwe alipokuwa waziri wa ardhi nyumba na maendeleo mjini pili kuvunja mkataba wa kinyonyaji kupitia company city water alipokuwa waziri wa maji na mifugo na kingine ni mgombea ambaye ni mkimya sana na hapendi kumchafua mtu au kujibazana hovyo na wenzie na mengine mengi tu ambayo yamfanya watanzania waamini huyu ni Kilongola sahihi ambaye anaijua njia vema ktk kuelekea safari ya matumaini
 

ni kweli kiongozi LOWASA NDO KAMA RAIS AS WE SPEAK,HAITAJI TENA KUFANYA CAMPAIN,JINA LIKIPITA NDO MWISHO WA MCHEZO
 
lowasa ndiye aliyetuleteana kushinikiza kampuni feki ya Richmond ambayo haikuwa na uwezo kifedha,kitechnojia wala uzoefu wala mtaji wala haikua na ofisi. Alilazimisha kuwapazabuni. Kwa mujibu wake na nyie wahuni wenzake hayo yalikuwa maamuzimagumu....ALILAZIMISHA TZ KUINGIA KWENYE MKATABA WAKIHUNI KWA MASLAHI YAKE yeye lowasa na mapacha wake wawili.
KIFUPI lowasa ANA UJASIRI WA KIFISADI. Wewe huwezi jua kwa nn aliufyatakuzungumzia hili sakata wakati aliahidi.YEYE MWENYEWE HAWEZI KULIKANA NA HAWEZIKUJISAFISHA SASA WW ULIYEPEWA MGAO WA UFISADI WAKE UNATAKA KUMSAFISHA


 
yip!! kimsingi, tunahitaji mgombea wa C.C.M anayekubalika kwa wengi

naye ni lowassa
 
Lowasa hana mtaji wa watu ila anawanunua watu, lowasa anahama na watu kwa kuwalipia nauli na kuwapa posho kama asante ya kumsindikiza. Wengi wao ni watu wasio na kazi na bodaboda ambao wanajaziwa mafuta na kifuta jasho kisichopungua 20,000 kwa mkutano mmoja. Hata hivyo ikumbukwe kuwa Muda wa kampeni bado, nawaombeni wafuasi wa Lowasa kuwa wapole pindi jina lake likatwa kwa kufanya kampeni kabla ya muda.
 
upinzani wa kweli utatoka ndani ya CCM

...wakomesheni mkuu. wanalalamika wakati katika ule mtaji tuliowalipa Bil 120 za RICHMOND-DOWANS, alizokwishatumia hadi sasa hazijafika hata Bil 20. Lowasa lazima apite watake wasitake. Katika wapinyani wake wote nani anamtaji mkubwa kama huo. Si walijifanya wajanja kumuondoa kwa RICHMOND? sasa RICHMOND huyohuyo lazima amrudishe juujuu hadi ikulu.
 
WEWE MWEKA TAARIFA NJAA INAKUSUMBUA NDO MAANA UNATUMIKISHWA NA MAFISADI ILI USHIBISHE TUMBO LAKO PAMOJA NA HAO WENZAKO MNAOJIITA TIMU LOWAHASWA! Hamna cha maana hapo zaidi ya kufuata mshiko nyie vijana. Mtakuja kuuzwa kama pipi na hao matajiri
 
Watanzania bwana kwa kupenda vijisenti,mpaka wamepoteza kabisa hata uwezo wa kufikiri.Jamani hata Lowasa mtu anadhani anaweza kuwa raisi simply because ana vijihela vichafu alivyowaibia Watanzania.Kazi kweli kweli.
 

Kanunuliwa yeye kwanza,halafu kawanunua watu ambao ndo khaki wake.
 
Team wachumia tumbo kazini.

wanajidanganya ccm haiwezi kumpitisha jambazi na kundi lake la wezi waaini,wamekibomoa chama kwa mitandao yao michafu ili kuingia ikulu takatifu,kln ccm makini mungu yupo pamoja nao watampitisha chaguo la mungu sio changuo la majambazi,
 
Kanunuliwa yeye kwanza,halafu kawanunua watu ambao ndo khaki wake.

mwaka 1995 kwenye NEC nyerere alimwambia ccm haitafuti rais maarufu inatafuta rais msafi na mwadirifu,je ajipime yeye kwa kigezo hicha anafaa.
 
WEWE MWEKA TAARIFA NJAA INAKUSUMBUA NDO MAANA UNATUMIKISHWA NA MAFISADI ILI USHIBISHE TUMBO LAKO PAMOJA NA HAO WENZAKO MNAOJIITA TIMU LOWAHASWA! Hamna cha maana hapo zaidi ya kufuata mshiko nyie vijana. Mtakuja kuuzwa kama pipi na hao matajiri

LOWASA Na wafasi wake wananichekesha eti lowasa ana watu? watu ni wa ccm sio wa lowasa na aliwakuta ccm ataondoka na atawaacha ccm yeye ni nani,aliwaacha nyerere sembuse lowasa,mnamtisha nani nyie msio wazarendo kwa taifa lenu na watumwa wa genge la wezi?
 
Hatumpitish mtu eti kwa kuwa ni maarufu bali kwa kuwa ni mwadilifu jiulze nani mwadilifu ndan ya chama.
 
mwaka 1995 kwenye NEC nyerere alimwambia ccm haitafuti rais maarufu inatafuta rais msafi na mwadirifu,je ajipime yeye kwa kigezo hicha anafaa.


Unaugua ugonjwa wa EL..political fever...na utakoma...EL ndio Rais ajaye...vua nguo inama wanaume tunakuja...paka na ky kabisaaa...hatutaki shidaaa..!!
 
Bado kampen hazjaanza kachoka hvyo...
 

Attachments

  • 1434544874772.jpg
    22.9 KB · Views: 90
#teamlowassa wanaweweseka.....I wrote and said it here on JF with confidence LOWASSA Hawezi Kuwa mteule wa CCM!

july 12th nitakazia tena maandiko yangu!!!!!!!!!!
 
MPEKUZI
Tanzania Entertainment News,Politics News ,Celebrity Gossip and Live Updates
HomeDisclaimerPrivacy PolicyAdvertise Here

Wednesday, June 17, 2015
Urais 2015: Mafuriko Ya LOWASSA Yatua Singida Kwa Kishindo.......Apata Wadhamni 22, 758


Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wea Monduli, Mh. Edward Lowassa, akitoa hotuba ya shukrani kwenye makao makuu ya CCM mkoa wa Singida baada ya kupata wadhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
-
Mh. Lowassa ameweka rekodi mpya baada ya kupata wadhamini 22, 758 tangu aanze kutafuta wadhamini mapema mwezi huu


Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia -wana CCM na wakazi wa Manispaa ya Singida- waklati akiondoka makao makuu ya CCM mkoani Singida Juni 16, 2015 baada ya kupata wadhamini.



Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono wana CCM na wakazi wa Manispaa ya Singida wakati akiondoka makao makuu ya CCM mkoani Singida, Juni 16, 2015 baada ya kupata wadhamini.



Mpekuzi blog

Tupe Maoni Yako( Matusi Hapana )


‹
›
Home
View web version
 
mwaka 1995 kwenye NEC nyerere alimwambia ccm haitafuti rais maarufu inatafuta rais msafi na mwadirifu,je ajipime yeye kwa kigezo hicha anafaa.

Who is nyerere? Acha kuabudu watu wewe!!!
 
Huyu mzee inawezekana ana matatizo ya kisaikolojia. sio bure, kisa cha kupoteza muda na kuwapa watu kazi zisizo na sababu ni nini?

Hivi kuna mtu anayeambiwa akalete vitu 30 halafu analeta vitu elf ishirini naa?

Yani hivi vituko na ulimbukeni vinaonesha hana jipya na nia yake ni kuwa raisi basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…