No kwelibtume siyo huru lakini kipindi cha kikwete kulikuwa hakuna udikteta kwani wanaweza kulinda kura zao na wanaruhusiwa mawakala wao kuingia na hakutakuwa na urembo wa polisi kikulazimisha kulikopitiliza kama awamu hii chini ya utawala wa udikteta.Kama tume sio huru wabunge wa chadema waliwezaje kushinda chaguzi na kuwa wabunge? Mfano akina mbowe,sugu,godbless Lema ,Msigwa,MDEE ,MNYIKA nk waliwezaje kuwa wabunge kama tume sio huru? hizo ni porojo baada ya kushindwa
Maana mwenyewe dikteta amesema nikulipe mshahara na marupurupu halafu kutangazwa mpinzani? Ndiyo maana inabidi utumie nguvu nyingi hata kutoa roho za watu.
Hata 2015 mbona yalikamatwa mabox ambayo yamesha pigwa kura kabla ya kuiongoza vituoni? Vunjo waliamua kumfungia kada wa CCM na mabox yake mpaka uchaguzi umalizike, ingekuwa kipindi hiki cha dikteta hao waliokamata hayo mabox wangepigwa na polisi na kubambikiwa kesi.
Tatizo tume siyo huru + udikteta yaani kitu hatari kimeongezeka