Edward Lowassa: Pasipo Tume Huru ya Uchaguzi, CCM itaendelea kutangazwa mshindi kila siku

Sasa kaanza kuongea mambo ya msingi sana kuhusu uchaguzi.
Hakuna cha kaanza wala kamalizia. Haya mambo huwa yanakumbukwa mara uchaguzi unapoisha. Wakati watu wakiwa na uchungu. Siku mbili tatu zikiisha utasikia 2020 ndiyo mwisha wa CCM. Au hata kama kuna uchaguzi mwibgine mdogo utaanza kuona picha za mafuriko ya mikutano ya wapinzani zikionyeshwa kila sehemu huku wakijigamba kiama cha CCM kimefika. Mara ukija uchaguzi ubabe ukitumika wanakumbuka tena tume! Vicious circle inaendelea...
 
Kama tume sio huru wabunge wa chadema waliwezaje kushinda chaguzi na kuwa wabunge? Mfano akina mbowe,sugu,godbless Lema ,Msigwa,MDEE ,MNYIKA nk waliwezaje kuwa wabunge kama tume sio huru? hizo ni porojo baada ya kushindwa
Labda walitaka washinde majimbo yote, right?
 
Kama tume sio huru wabunge wa chadema waliwezaje kushinda chaguzi na kuwa wabunge? Mfano akina mbowe,sugu,godbless Lema ,Msigwa,MDEE ,MNYIKA nk waliwezaje kuwa wabunge kama tume sio huru? hizo ni porojo baada ya kushindwa
kipindi walichoshinda wao wasimamizi wa uchaguzi hawakuwa hawa makada wa ccm walioshindwa kura za maoni.
 
Kama kituo tu alichopiga yeye kura wamepata kura moja haoni chama kimepoteza mvuto?? Na inawezekana hata yeye amemchagua mgombea wa CCM.
 
TUME IJITEGEMEE KWA KILA KITU.
yaani kiongozi wa NEC anachaguliwa NA RAIS?
Huu ni ujinga wa hali ya juu.
upinzani tuamke.sio kwa vita Bali kisheria.
yaani MTU yeyote asichaguliwe na rais kuwa kiongozi wa tume..na hata wasimamizi wa uchaguzi.wasiwe wateuliwa wa rais..
 
Mkuu kwenye uchaguzi wa 2015 chadema walishinda majimbo 34 swali LA kujiuliza,hayo majimbo 34 walishinda kwa time gani ya uchaguzi?
Tatizo kubwa LA upinzani wa Tanzania ni kupinga kila kitu wakati wananchi wanaona kitu serikali inafanya.
Hiyo moja lakini pili,viongozi wenu wanaohamia ccm wanazidi kuwaumbua kwa msimamp yenu ya kichama kwamba mbunge su diwani hawapaswi kuzungumza ns mawaziri au wakuu wa wilaya au mikoa au viongozi wa serikali,sasa unapoingia kwenye uchaguzi wananchi unawahaidi mini ikiwa hutakuwa na ushirikiano na watawala? Hapo mnapokosea.
Unachangia kwa mihemko zaidi kiasi kwamba fikira nyumbulifu zinabaki nje kabisa na jirani ya mishipa yako!!
 
He was there with all powers to change not only the software but also the hardware. He did nothing. Once powerless, he is now complaining. ..and chatterboxes-cum-wildebeests are thumbing up! Very strange.
Hata walioko kwenye nafasi za uongozi kwa sasa wanapaswa walitumie hili kama somo.
Huwa nawashangaa sana sumay na lowasa kwa malalamiko haya. Wakati wao ni architecture wa mfumo huu wa hovyo
 
Ni dhahiri kwamba ni LAZIMA kupata aina ya uongozi katika upinzani wa kimapinduzi. Yaani Chadema ni ANC sasa inatakiwa PAC kuleta katiba.
 
Wapinzani wa Tanzania wana uwezo mdogo sana wa kufikiri
Leo lowassa amefanikiwa tena kuviza akili zao
Tume hii ni zao la lowassa,alikua akipata ushindi wa kishindo kila akigombea ubunge
Tatizo sio tume,tatizo uongozi umekosa mbinu za ushindi aidha kwa kuchoka au kuzidiwa tu na ccm
 
Hapo ndipo watu tunajiuliza hivi hawa viongozi wa Chadema wana akili timamu kweli? unaingia kwenye uchaguzi unaojua kuwa kwa vyovyote vile utashindwa tu
Mimi naona wana akili kuliko wewe wasingeingia tungejuaje? Kwa kuhisi tu.
N.a. pia siyo kweli wabunge wote wa CCM wanatangazwa lakini hawashindi uchaguzi ni baadhi.
Kuna sehemuunaona kabisa CCM imeshindwa ki halali kwa mfano Jimbo la Lusinde, huwa anashindwa kihalala provided na taahira wake
Kwa hiyo hawaweki nguvu nyingi mahali wanao kubalika.
Sehemu ambayo hawakubafili ndiyo wanaamua kutumia ubabe
 
Back
Top Bottom