mputamaseko
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 1,401
- 948
Lowasa kawakosea nini jamani..inamaana hana uhuru wa kwenda kuangalia mpira...?? Punguzeni kuogopa jamani
Hawataruhusiwa kuingia uwanjani
Wataitwa wachochezi
tayari umeshapanic.Wanaangaika sana
Ukuta ni asubuhi broUKUTA vipi?
Si ndo hii tarehe 1 October?
Ukuta ni asubuhi bro
How?tayari umeshapanic.
Eeh Mwenyezi Mungu naomba unijalie nisiwe mwanasiasa kama siasa zenyewe ndivyo zilivyo.
Kwani vijana wa chadema ndio waandaaji wa mechi hiyo?Lowassa na Malim Seif kuhudhuria Mechi baina Yanga na Simba.
Hatimae Lowassa na Malim Seif amekubali Ombi la Vijana wa CHADEMA la kumtaka kuhudhuria mechi ya Simba na Yanga, itakayochezwa Uwanja wa Taifa Tarehe 1/10/2016. Lowassa amekubali Ombi hilo na ataambatana na viongozi mbalimbali ambao ni Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa NCCR James Mbatia, pamoja na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu
Kulikuwa na haja ya kitamgaza kuwa wataenda huko??Lowasa kawakosea nini jamani..inamaana hana uhuru wa kwenda kuangalia mpira...?? Punguzeni kuogopa jamani
So unawaogopa??Kulikuwa na haja ya kitamgaza kuwa wataenda huko??
Huoni wanaweza geuza siki hiyo watu kuichukulia kama ya mikutano ya kisiasa kutokana na influence waliyonayo.