Edward Lowassa Mwaka 2015 ataingia Ikulu au Segerea?

Edward Lowassa Mwaka 2015 ataingia Ikulu au Segerea?

Hii inaweza kuwa nilaana kama vijana tutakuwa na mawazo mgando kwa kupewa vielf kumikumi nakuanzakupotosha uma hii ni hatari sana kama kunawatu wanahangaika kufua kaniki ili iwe na rangi nyeipe .EL nifisad tu.

Nivema umeliona hilo,ila ujue ni njaa ndio inawatoa akili.
 
Lowasa ndie anatakiwa kuwa president na sio vinginevyo
 
Lowasa nikiongozi Mzuri, kwa maana ya kuwa mbunge wa monduli ila anakosa sifa yakinifu za kumuwezesha kuwa raisi wa Nchi. Sithani kama ni aina ya kiongizi tunaye muhitaji katika nafasi ya Uraisi.
 
Ikulu siyo chaka la majambazi na mafisadi.asilimia kubwa ya watz ni masikini na wanahitaji mtu mwenye uchungu na upeo wa kuliondoa kundi hili kubwa kutoka katika lindi la umaskini.huyo Lowasa nimjuaye mimi leo hii awe rais wa nchi hii maskini tutakimbilia wapi? si ndio utakuwa muda wa akina karamagi,Rostam na marafiki zao kugawana rasilimali za nchi hii.

Lowasa ameonyesha tabia ya wizi na ufisadi tangu akiwa kijana wakati akiwa kitengo cha maafa.

Nashangaa sana watu wanaomtetea Lowasa,sijui wamepatwa na nini au wana maslahi binafsi.kwa akili ya kawaida Lowas amekuwa kiongozi wa nchii kwa miongo kadhaa utajiri alionao ni kodi za watz....Najua hoja hii ya utajiri wa Lowasa kutokana na kodi za walalahoi itapingwa lakini huo ndo ukweli.kuna wasukuma wangapi na wamasai wanamiliki maelfu ya ng'ombe lakini hawajapata kuwa matajiri kama huyu mwizi Lowasa.

Nawasihi watz tuache ushabiki wa kikanda na kichma tuchague mtu sahihi kwa maslahi ya wengi na hasa tabaka la chini.

Wasalam
 
We are not kiding mr.lowasa is admired by many. Let me believe that if happen to be our president iz blessing for tanzanian to enjoy national cake because of his creativity. Chama chochote atakacho gombea ataupata urais. Silipwi just opinion also realty
 
Ni makosa tunayotegemea watanzania kufanya. Kwani hakna wengne zaidi ya lowassa
 
Hii inaweza kuwa nilaana kama vijana tutakuwa na mawazo mgando kwa kupewa vielf kumikumi nakuanzakupotosha uma hii ni hatari sana kama kunawatu wanahangaika kufua kaniki ili iwe na rangi nyeipe .EL nifisad tu.

Tuorodheshe mahakama ht moja ambayo inakesi yake ya ufisadi km ilivyo kwa wengine
 
Lowasa nikiongozi Mzuri, kwa maana ya kuwa mbunge wa monduli ila anakosa sifa yakinifu za kumuwezesha kuwa raisi wa Nchi. Sithani kama ni aina ya kiongizi tunaye muhitaji katika nafasi ya Uraisi.

EL ndio kiongozi tunayemuhitaji cc ambao ni wapanga folen wkt was kupiga kura
 
We are not kiding mr.lowasa is admired by many. Let me believe that if happen to be our president iz blessing for tanzanian to enjoy national cake because of his creativity. Chama chochote atakacho gombea ataupata urais. Silipwi just opinion also realty

Excellent
 
We are not kiding mr.lowasa is admired by many. Let me believe that if happen to be our president iz blessing for tanzanian to enjoy national cake because of his creativity. Chama chochote atakacho gombea ataupata urais. Silipwi just opinion also realty
 
Huyu fisadi Lowassa miezi michache iliyopita alipokuwa anagawa mamilioni ya pesa katika nyumba za ibada makanisa na misikiti aliulizwa hizo pesa amezipata wapi? Akadai ni pesa za marafiki zake, akaombwa atoe list ya majina hdharani ya hao marafiki zake na kiasi ambacho kila rafiki ametoa akang'aa macho mpaka leo list hiyo haijatoa.

Juzi juzi alidai utajiri wake ni ng'ombe 800 miaka micahche ya nyuma aliweka mtandaoni marejesho ya mkopo wa shilini 450 ambazo fisadi Lowassa aliwakopesha Wasomali walioingia nchini kama wawekezaji katika sekta ya nyumba za kuishi. Cha kustaajabisha pamoja na kuweka documents hizo mtandaoni lakini hakuweka documents za kuonyesha Wasomali hao wakipokea mkopo huo wa shilingi 450 million toka kwa fisadi Lowassa. Kama aliweka documents za marejesho mtandaoni kipi kinamshinda kuweka documents hizo kuonyesha Wasomali hao kupokea mkopo huo wa shilingi 450 million?

Huyu ni fisadi ambaye hastahili kuingia Ikulu, Watanzania tumechoka Ikulu kuendelea kufanywa mahali haramu na hawa mafisadi ambao hawana sifa ya uongozi. Huyu fisadi pamoja na kushika nyadhifa mbali mbali za uongozi Serikalini tangu awamu ya kwanza hadi ya nne hana sifa hata moja ya kuonyesha kwamba anastahili kuiongoza Tanzania.
 
nyie akina nani

Nilikusheshimu sana ulipoleta mada hii lakini kumbe ni wale wale wapuuzi wa wama, napenda utambue hivi, kama CCM itataka kuanguka 2015 ithubutu kutuletea mgombea mwingine tofauti na LOWASA
 
Back
Top Bottom