kopites
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 8,381
- 10,042
nimejikuta natokea kumkubali tu lowasa,cjui kwa nini.Lowasa ni mdini......anatubagua wenye dini nyingine
nimejikuta natokea kumkubali tu lowasa,cjui kwa nini.Lowasa ni mdini......anatubagua wenye dini nyingine
unakosea sana nadhani wewe ni mgeni wa siasa za Tanzania,Lowassa kaanza kuitwa fisadi na ccm baadae dr slaa na zitto wakadandia hoja nakusambaza upuuzi huu kwa kila aliye kuwa hana uelewa watuhuma zidi ya lowassa
Walioanza kumuita Lowasa Fisadi ni CDM.....nashangaa wameacha kumuita hivyo bila kumpeleka mahakamani.....sisi tutaendelea kumuita hivyo mpaka yeye mwenyewe ajisafishe kwa ushahidi......uchafu ukiutoa chooni kisha uuweke sebuleni utanuka zaidi
Bado hujaonesha ushahidi wa yeye kuwa si fisadi
ubaya kautaka mwenyewe, anasema jk kaharibu uchumi wa nchi wakat yy ndo alikuwa msimamizi mkuu...!!
nimejikuta natokea kumkubali tu lowasa,cjui kwa nini.
Kwa nini Lowasa na CDM hawazungumzii ufisadi kwenye mikutano yao?......
ushaidi upi unaoutaka labda,wewe unae tuhumu leta ushahidi wako hapa
Tanzania haina utamaduni wa kupeleka mahakamani mafisadi. Mbona hata CHADEMA wanapiga makelele tu eti CCM mafisadi. Kuna hata mmoja ambaye wameshampeleka mahakamani? Hata Joka Makengeza ambaye ushahidi uko wazi kabisa? Au huyu aliyekiri kuwa alipewa pesa za mboga tu?
Na wewe twambie kwa nini matangazo na hotuba zote ni chagua Maghufuri. Hamna mahali kuna chagua ccm. Kwa nini? Mnasita nini kuipigia upatu ccm?
Acheni kutafuta huruma za kinafiki.
Lowassa ni miongoni mwa watanzania wachache wanaokula mema ya nchi hii.
Hii nchi tupo hapa sababu ya watu wachache aina ya Lowassa.
Kumwonea huruma Lowassa ni sawa na kumkashifu bibi yangu kijijini ambaye mpaka leo hata umeme haujui.!
ccm wanaweweseka, wanapolisi, mahakama, Takururu kwa nin wasimpeleke mahakamani? chama tawala kimekuwa kama chama cha upinzani? nani mtawala? chadema au ccm? chadema haina jukumu la kumpeleka waziri yeyote mahakamani kwa tuhuma za ufisadi, wao kazi yao ni kuibua ufisadi, na serikali kufanya uchunguzi na kuchukua hatua sitahiki. Kwani wezi hamjui mahali walipo? iba kuku uone utapelekwa wapi. kwa hivyo ccm achenk kudanganya watu kuwa lowasa fisadi.