Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Maneno kuntu sana !CUF ni wenzetu katika UKAWA
Shida zao ni shida zetu, vita vyao ni vita vyetu,
kushindwa kwao ni kushindwa Kwetu, ushindi wao ni ushindi wetu.
Kuna walioomba nguvu wakawezeshwa. We huoni ajabu mtu ana miaka 58 anapiga up down up down hata Fransis Cheka mwenyewe hoi!Huyu mzee itakuwa aliambiwa achague kati ya utajiri na hekima yeye alichagua hekima na busara ndiyo maana Mungu akampa na utajiri.
Pamoja comradeKuna walioomba nguvu wakawezeshwa. We huoni ajabu mtu ana miaka 58 anapiga up down up down hata Fransis Cheka mwenyewe hoi!
Kusudio la Mungu huwa linaonekana maana halitumii nguvu, vitisho wala hila zozote. Ni full shangwe na furaha!Kama kusudi ni la Mungu atafanikiwa na kama siyo la Mungu hatafanikiwa.
Alichokipanga Mungu mwanadamu anaweza kukichelewesha tu lakini hawezi kuzuia kusudio la Mungu.Kusudio la Mungu huwa linaonekana maana halitumii nguvu, vitisho wala hila zozote. Ni full shangwe na furaha!
zuuzuzuu eti?Propesa lipumba kajimaliza kabisa kisiasa, amekuwa kama zuzu