Edward Lowassa: Chui wa makaratasi

Ndugu zangu wana JFR,vita kati ya haki na uovu,mema na rushwa,uadilifu na ufisadi.Vita hivi vyote vinaweza kufanyika kwenye uwanja mmoja wa mapambano lakini hakika yake ni kwamba wale walio kwenye upande wa haki,mema na uadilifu lazima watashinda tu,haijalishi ni kwa kiasi gani waovu watakuwa na vitisho kwa sababu hawana nidhamu ya vita lazima watashindwa tu,Lowasa ni nani kati ya Watanzania mamilioni waliowaadilifu mpaka awachafue kwa rushwa na ufisadi,ninachojua nikiwa Mtanzania wenya akili timamu Lowasa hawezi tena kuendelea kuliharibu taifa letu,ni vyema kwa wale waliokaribu naye wakamshauri akajitakase ili asubiri haki yake mbiguni,Tanzania ni zaidi ya CCM na Lowasa.

Utakuwa ni wenda wazimu tu kwa mtu anayesihi ana akili timamu kuendelea kumshabikia Lowasa kwenye urais,hivi watanzania wa kumsikiliza Lowasa kwenye kampeni watatoka wapi,ni bora tukawa na tawsira kati ya LOWASA na Dr SLAA nani atasikilizwa na wananchi,Lowasa akipitishwa na CCM,sisi watanzania wapenda haki tutajiandaa kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha kuwa nchi iko mikononi salaama na kwa watu waadilifu lakini si Lowasa hata kama itakuwa ni kwa kumwanga damu ni bora vita ya miaka sita kuliko kuwa na Lowasa ikulu hata kwa miaka miwili.
 
Mimi namuona mh EL ni kiongozu tunayemuhitaji zama hizi. Achilia mbali hizo kashfa anazobebeshwa. Kiukweli EL ndiye anayefaa kuwa rais wa nchi hii. Unafikiri ni kwa nini JK anashindwa kuiongoza serikali yake? Jibu ni rahisi sana ni kwa kuwa mtendaji mkuu hana. Alipokuwepo EL serikali ilikuwa ina uhai sana kabla ya yeye kujiuzulu. Hata JK analijua hili na anajuta sana kumkosa EL kwenye serikali yake!

EL ni president material na hilo lipo wazi kabisa. Aluta continua mh EL sisi watz wapenda maendeleo twakuhitaji sana na tupo na wewe bega kwa bega!
 
Ndugu zangu wana JFR,vita kati ya haki na uovu,mema na rushwa,uadilifu na ufisadi.Vita hivi vyote vinaweza kufanyika kwenye uwanja mmoja wa mapambano lakini hakika yake ni kwamba wale walio kwenye upande wa haki,mema na uadilifu lazima watashinda tu,haijalishi ni kwa kiasi gani waovu watakuwa na vitisho kwa sababu hawana nidhamu ya vita lazima watashindwa tu,Lowasa ni nani kati ya Watanzania mamilioni waliowaadilifu mpaka awachafue kwa rushwa na ufisadi,ninachojua nikiwa Mtanzania wenya akili timamu Lowasa hawezi tena kuendelea kuliharibu taifa letu,ni vyema kwa wale waliokaribu naye wakamshauri akajitakase ili asubiri haki yake mbiguni,Tanzania ni zaidi ya CCM na Lowasa.

Utakuwa ni wenda wazimu tu kwa mtu anayesihi ana akili timamu kuendelea kumshabikia Lowasa kwenye urais,hivi watanzania wa kumsikiliza Lowasa kwenye kampeni watatoka wapi,ni bora tukawa na tawsira kati ya LOWASA na Dr SLAA nani atasikilizwa na wananchi,Lowasa akipitishwa na CCM,sisi watanzania wapenda haki tutajiandaa kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha kuwa nchi iko mikononi salaama na kwa watu waadilifu lakini si Lowasa hata kama itakuwa ni kwa kumwanga damu ni bora vita ya miaka sita kuliko kuwa na Lowasa ikulu hata kwa miaka miwili.
Your very wrong brother! Hapa unaongelea chuki zaidi jitahidi kuwa na busara badala ya kuufanya ima ukuelewe kama unavyonena.
 
Ndugu zangu wana JFR,vita kati ya haki na uovu,mema na rushwa,uadilifu na ufisadi.Vita hivi vyote vinaweza kufanyika kwenye uwanja mmoja wa mapambano lakini hakika yake ni kwamba wale walio kwenye upande wa haki,mema na uadilifu lazima watashinda tu,haijalishi ni kwa kiasi gani waovu watakuwa na vitisho kwa sababu hawana nidhamu ya vita lazima watashindwa tu,Lowasa ni nani kati ya Watanzania mamilioni waliowaadilifu mpaka awachafue kwa rushwa na ufisadi,ninachojua nikiwa Mtanzania wenya akili timamu Lowasa hawezi tena kuendelea kuliharibu taifa letu,ni vyema kwa wale waliokaribu naye wakamshauri akajitakase ili asubiri haki yake mbiguni,Tanzania ni zaidi ya CCM na Lowasa.

Utakuwa ni wenda wazimu tu kwa mtu anayesihi ana akili timamu kuendelea kumshabikia Lowasa kwenye urais,hivi watanzania wa kumsikiliza Lowasa kwenye kampeni watatoka wapi,ni bora tukawa na tawsira kati ya LOWASA na Dr SLAA nani atasikilizwa na wananchi,Lowasa akipitishwa na CCM,sisi watanzania wapenda haki tutajiandaa kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha kuwa nchi iko mikononi salaama na kwa watu waadilifu lakini si Lowasa hata kama itakuwa ni kwa kumwanga damu ni bora vita ya miaka sita kuliko kuwa na Lowasa ikulu hata kwa miaka miwili.
Kama upeo wako ni huu kwa nini usibaki tu kijiweni kunywa kahawa na kashata kuliko kuleta hapa fikra duni na dhaifu kama hizi. In short umejivua nguo na sasa umebaki uchi.
 
If EL was a paper tiger and a mere barking dog who never bites, as you argue, why his challengers fuss about everytime he makes a public appearance. The commotion spawned by his activism is irresisitibly gigantic and is exhibitive of how stupendous its effect is on his political foes. Bending over backwards to try to play down the impact and influence of the whilom PM is metaphorically similar to a bird which hides its head under the sand to avoid its enemy. I think the productive approach, at this point of time, to be deployed of by anti-Lowassians, would be to firstly accept that Lowassa is a formidable 2015 presidential contender and thereafter they should start study the techniques on how to engage him.
 
......huyu ............ akifika 2015 akatambike!!:thinking::thinking::thinking:

Loh we Bigirita we ndo mganga wake nini? Jamaa kakosea masharti au? Mbona umebold??

Hivi nyie mnaosema kuwa uchaguzi wa Arumeru utakuwa wa haki na huru mna maanisha nini? Tangu lini na wapi chaguzi za nchi hii zikawa huru na haki??...............
 
Hivi kumbe ulibwia chan'gaa nyingi sana. Naona unaendelea kuitapika tu.

Kuna jambo nilisahau kuhusu huyu paper tiger, anajua kuhonga, hampi mtu pesa zaidi ya anayostahili. Niliobserve alivyokuwa akimshauri Sumari 2005 wajumbe wapi wa kuwahonga na kiasi gani. Anajua nani wa kupewa 5000 na nani wa kupewa 50,000. Hapa JF mpo wengi kwenye payroll yake ila wewe sifahamu kama ni wa 5000 au 50,000.
 
Kimsingi Mh Lowasa yupo sawa na anafaa licha ya katiba ya jamhuri ya muungano kumruhusu, tumechoka na viongozi wa kutengenezewa, mwacheni Mh Edward na kama kuna mwingine ajitokeze mapema ili watz wawe na muda wa kutosha wa kuwapima, kama wewe umampinga Lowasa watanzania wenzako wanamkubali na huo mchezo uliochezwa na akina Mwakiembe na Sita watanzania hawdanganyiki tena. Usibaki tuu kumpinga bali tuambie huyo unaedhani anafaa ili watz wawe na fursa ya kuchagua. Wana JF tuwe makini sana na hawa wanaotaka kukandamiza demokrasia ya mtu, kila mtu ana haki isipokua asivunje sheria.

Hatuhitaji kumpima tena, tulishafanya hivyo na kubaini HATUFAI KABISA! Si ndio maana tukamlazimisha ajiuzulu, la sivyo tungemng'oa kwa nguvu na ungekuwa mwisho wake kisiasa.
 
If EL was a paper tiger and a mere barking dog who never bites, as you argue, why his challengers fuss about everytime he makes a public appearance. The commotion spawned by his activism is irresisitibly gigantic and is exhibitive of how stupendous its effect is on his political foes. Bending over backwards to try to play down the impact and influence of the whilom PM is metaphorically similar to a bird which hides its head under the sand to avoid its enemy. I think the productive approach, at this point of time, to be deployed of by anti-Lowassians, would be to firstly accept that Lowassa is a formidable 2015 presidential contender and thereafter they should start study the techniques on how to engage him.

He has managed to convince them he is a real tiger, a dog that can bite! No one is playing him down, we just stating the fact, refusing be carried away by his acting skills and believing the show he is putting before us is real.
 
Mimi namuona mh EL ni kiongozu tunayemuhitaji zama hizi. Achilia mbali hizo kashfa anazobebeshwa. Kiukweli EL ndiye anayefaa kuwa rais wa nchi hii. Unafikiri ni kwa nini JK anashindwa kuiongoza serikali yake? Jibu ni rahisi sana ni kwa kuwa mtendaji mkuu hana. Alipokuwepo EL serikali ilikuwa ina uhai sana kabla ya yeye kujiuzulu. Hata JK analijua hili na anajuta sana kumkosa EL kwenye serikali yake!

EL ni president material na hilo lipo wazi kabisa. Aluta continua mh EL sisi watz wapenda maendeleo twakuhitaji sana na tupo na wewe bega kwa bega!

Kweli we kiroba!
 
Waziri mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kashfa ya Richmond na mbunge wa Monduli Edward Ngoyai Lowassa si chochote kama anavyotaka tuamini. Ni chui wa wakaratasi, ni mbwa anayebweka sana lakini hakika hawezi kung'ata. Ni mwigizaji by profession na maisha yake yote ya kisiasa amekuwa anaigiza na kuna watu wa kutosha wanaoamini maigizo haya ni halisia! Of course alisoma degree ya "Theater Art"

Anajua fika hawezi kuwa rais wa nchi hii, afya yake haimruhusu na hawezi kuteuliwa na chama chake licha ya ukweli kwamba hata akiteuliwa uwezekano wa chama chake kushinda Urais kwa wapiga kura na mwamko utakaokuwepo 2015 ni mdogo na yeye anafahamu hilo. Swali: Kwanini anajifanya urais anautaka wakati anajua kamwe hili haliwezekani? Ili kuendelea kuwa relevant lazima atuaminishe anaweza kuwa raisi wa nchi hii siku moja, hicho kinafanya wajinga kadhaa wambabaikie na anakusudia kuliendeleza hilo kwa kipindi. Siku akisema hautaki uraisi he is finished!

Nikiangalia juzi alivyokuwa akihangaika kupenyeza pesa ya kuhonga wajumbe Arumeru Mashariki na namna ambavyo alilazimika kutumia watu wa Monduli zaidi nabaini hana mtandao mkubwa kama nilivyodhani awali. Ndio ana watu wake ndani ya CCM na serikalini aliowaweka katika kipindi chake kifupi cha uwaziri mkuu lakini nje ya hapo he is almost nothin! Nafahamu juhudi zake kuwanunua baadhi wa watu CDM lakini hazitafanya kazi. Nje ya CCM na serikalini hana lwake na ataendele akuanguakia pua kama alivyoangukia pua alipojaribu kumweka Batilda Arusha mjini.

Karibu Arumeru Mashariki Edward!

Hapa tukichukulia ile Chemical Change na physical Change nagundua kuwa huku kwenye Physical kuna mpaka kiama ndani yake..So EL aangalie vizuri Israel kasimama kwenye Office akipekua mafail ajui ni what next,,,
 
Pengine ktk ishu
ya kumuua nyerere
na yeye alikuwemo,
ili kuficha siri kaahidiwa
uraisi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom