Edward lowasa bungeni

Edward lowasa bungeni

Kati ya watu ndani ya CCM kidogo nilikuwa nawaheshimu huyu ni mmoja wapo,ila baada ya kitendo alichokiandaa kule Makuyuni dhidi ya Nassari nimemdharau kabisa.
Kama nitasikia siku moja pale ninapo abudu kuna harambee na wanamwita yeye,nitapinga kwa nguvu zote mtu mwenye mipango yakutaka kuua kiongozi mwenzake kupewa heshima hiyo. Kumbe ndani ya chama hicho wote ni walewale tuu

ni ukoo wa panya
 
hebu tuacheni unafiki hivi kweli kama kuna watu ambao wanasikiliza hotuba za majumuisho ya bajeti za wizara huwa hawasikii akitajwa?? karibu kila wizarakatajwa kachangia kwa maandish na hushukuruwa sasa mlitaka hadi asimame aseme ndipo mujua kachangia??

Lowassa sio mtu wa kusimama na ktoa povu kama hao wajinga wengine eti kwa kivuli cha kuwatete wananchi kumbe wanawaangamiza, the guy is smart and he knows how to play his cards well.

Yes the guy knows to play his cards well with you fools. He has not yet been able to play with other Tanzanians and that is why he was fired!
 
  • Kaka unakosea lowasa huwa hasaini posho bungeni alishakataaga kupokea posho ana miaka sita sasa ajapokea posho ya kikao chochote cha bunge na huwa ategemei kupga kelele bungen apate miradi jmbon anatumia ela ya mfukoni kwa kfup tu kwa sku vodacom kama shareholder mkuu anapata 1.2 bilion inapogonga saa sta usku upo???? tujadli hoja

unamaanisha milioni 1200 kwa siku?
 
Back
Top Bottom