Nimekuwa nafuatilia vikao vya bunge mara nyingi lakini sijamsikia Lowasa akichangia lolote kwa jimbo lake au Taifa, ni nini anachofanya bungeni? au anasubiri posho ziingie!
Nimekuwa nafuatilia vikao vya bunge mara nyingi lakini sijamsikia Lowasa akichangia lolote kwa jimbo lake au Taifa, ni nini anachofanya bungeni? au anasubiri posho ziingie!
NAKURU; Nafikiri muda wote anapiga mahesabu ya kuchaguliwa na ccm kuwa mgombea wa urais lakini namhurumia kwani ili cc iliyowekwa na JK ni ya kumchinjia baharini, hivyo hatafika nec ambayo ndo tegemeo lake, pole sana kakaangu EL, nakushauri uanze kupanga karata zako upya tena mapema!
.GFSON WIN ; hebu tuacheni unafiki hivi kweli kama kuna watu ambao wanasikiliza hotuba za majumuisho ya bajeti za wizara huwa hawasikii akitajwa?? karibu kila wizarakatajwa kachangia kwa maandish na hushukuruwa sasa mlitaka hadi asimame aseme ndipo mujua kachangia??
Lowassa sio mtu wa kusimama na ktoa povu kama hao wajinga wengine eti kwa kivuli cha kuwatete wananchi kumbe wanawaangamiza, the guy is smart and he knows how to play his cards well
.yupo focused na issue moja tu urais uraia urais urais urais urais urais urais tu basi
NG'WANANGA;kwanza namdai:
1. ile mvua ya kutengeneza sijaiona.
2. alienda new zealand kujifunza kilimo cha mchicha lakini hana hata bustani ya mlenda kwake.
so kabla hajagusa ishu nyeti kama elimu, aanze kwanza kutekeleza hizo mbili.
BABA JUNJO; Anaumwa hujui Hilo? Ana ugonjwa wa kisukari kwa MUDs mrefu na hivyo macho take hataoni vyema. Msameheni.