Edward hosea live on itv

Edward hosea live on itv

notmar

Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
81
Reaction score
1
Mkuu wa TAKUKURU ,edward hosea yuko live kwenye kipindi cha dk 45 ITV.
 
Mkuu wa TAKUKURU ,edward hosea yuko live kwenye kipindi cha dk 45 ITV.

Jamani don disturb. I am watching Citizen Live at 9.

huyo hosea anasema nini cha maana.

si amewekwa takukuru ili kuziba mianya ya inayoweza kuwasaidia watu kuona uoza wa rushwa ulivyo serikalini?
 
Hoseah hana lolote wala chochote chaguo la Lowasa na Kikwete kusema penye Rushwa hakuna Rushwa na kukama watendaji wa kata na mahakama za mwanzo tu! hata Traffic Polisi wamemshinda.

Mi ninge kuwa yeye ningejiuzuru kwa kushindwa kazi
 
Hana lolote la kunishawishi nimsikilize, kazi kukabana na rusha ya alfu 5 kwa makarani wa mahakama huku wakubwa wakijineemekea
 
Hana lolote la kunishawishi nimsikilize, kazi kukabana na rusha ya alfu 5 kwa makarani wa mahakama huku wakubwa wakijineemekea

He does't deserve all that publicity.Ni fisadi mwingine tu.
 
hilo ndio tatizo la kutumwa kumchafua mtu fulani humu kwenye jamii forum...hivi hatuna mambo ya mendeleo kujadiliana hadi ionekane mi-comment yako tu kumponda jembe la pccb hosea...!!! kweli mwenye macho haambiwi aone, mijenerali ya jeshi la wananci tumeishuhudia ikipandishwa kizimbani siku chache zilizopita, hivi katika historia ya bongo lini iliwahi kutokea mijenerali ya jeshi ikaguswa...jamaa amethubutu; mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni wajameni...tuache kuwasemea wehu wanaotutuma kuchafua watu humu...
 
Back
Top Bottom