hahhaha sawa na kumlinganisha best naso na chris brown!!!! huyo mabele bado sana, inshort angekua anatangaza taarifa ya habari tu vipindi vya swagg havimfai
hahahaaaa! umenikumbusha kuna siku nilimbahatisha kwa bahati mbaya star tv yaani nilichoka mwili na roho, yaani ni mshamba hatari alafu anajifanya mjanja, yaani hapo ni kumdhalilisha t-bway kwakweli
Daah t bway najua watuu wana mwelewa kwa swaga zake
Ila dogo anaonekana ana copy swagaz tuu..
Ilaa akitafuta swaga zake yeye kama yeye atakua mtam ka mcharo