Huyo Aurus Mabele simjui, TBway namjua but naye kwangu mimi siwezi nikakaa nikimsikiliza zaid ya dakika 5 bila kubadilisha channel coz kaumri kangu kamesogea kidogo, sema kwa watu wa rika la miaka 13 hadi 22 hivi viswaga vyake vya kitotototo vinawafaa