Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,650
- 218,130
Akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa Shule za Wazazi za Chama cha Mapinduzi, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM, Dk Edmund Mndolwa, amedai kwamba kwenye awamu iliyopita walilazimishwa kukalia misumali na wala hakukuwa na hata chembe ya Utawala bora.
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?
Kikao hicho kimeitishwa na Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia alikuwa Mgeni Rasmi.
Chanzo: MwanaHalisi
Swali: Je, wale watetea Legacy bado wangalipo?