lonewolf ranger
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 476
- 149
ghana naona wameanza kuwapiga misumari!
Angemfanyia baloteli au Gatuso
Hahaha pangetifuka
Hasa Gennaro ndo ingekuwa balaa maana mjomba havingi yule
Cavani hakumpiga kofi wala nini...... Ila jamaa kafungiwa kucheza Copa America.
Uruguay kisasi kimewarudia. Alichofanya Suarez South Africa kwenye kombe la dunia kwa kudaka mpira wa Goli wakicheza na Ghana, iliuma sana.
![]()
Da! Ninavyojijua, sahizi ningekuwa gerezani!
Kibao hakitoshi.Angempiga sita za usoni ili kutoa funzo kwa wengine wenye tabia hii chafu.