Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,390
hatimaye aliyekuwa katibu wa CHADEMA mkoa wa Mbeya ndugu Edddo Makata ameteuliwa rasmi kuwa Kamishina wa chama cha NCCR-Mageuzi mkoa wa Mbeya.
hatimaye aliyekuwa katibu wa Chadema mkoa wa mbeya ndugu Edddo makata ameteuliwa rasmi kuwa Kamishina wa chama cha NCCR-Mageuzi mkoa wa Mbeya.
hatimaye aliyekuwa katibu wa CHADEMA mkoa wa Mbeya ndugu Edddo Makata ameteuliwa rasmi kuwa Kamishina wa chama cha NCCR-Mageuzi mkoa wa Mbeya.
hatimaye aliyekuwa katibu wa CHADEMA mkoa wa Mbeya ndugu Edddo Makata ameteuliwa rasmi kuwa Kamishina wa chama cha NCCR-Mageuzi mkoa wa Mbeya.
hatimaye aliyekuwa katibu wa CHADEMA mkoa wa Mbeya ndugu Edddo Makata ameteuliwa rasmi kuwa Kamishina wa chama cha NCCR-Mageuzi mkoa wa Mbeya.
Hiki cheo mbona sijakielewa au kimeanzaishiwa kwake tu na vipi majukumu yake
Mbatia huwa anabuni Vyeo kila siku, KISANDU baada ya Kukimbilia huko kilibuniwa Cheo akapewa, Yaani hata wewe ukihamia huko kitabuniwa Cheo, Unaweza shangaa unapewa cheo cha Mkurugenzi wa NCCR Taifa, au Raisi wa Secretariet ya NCCR Mageuzi Taifa, Mbatia ni Mjanja sana anabuni vyeo kuwafurahisha hao jamaa njaa
hatimaye aliyekuwa katibu wa CHADEMA mkoa wa Mbeya ndugu Edddo Makata ameteuliwa rasmi kuwa Kamishina wa chama cha NCCR-Mageuzi mkoa wa Mbeya.
Acha uongo kaka ben, huo ni unafiki. hujui lolote unaropoka tu, soma katiba ya nchi ibara ya 66 ili ukomae kifikraHongera Eddo Makata.Naamini utabadili muelekeo wa chama chako kinachousaliti upinzani kwa kuendeleza mahaba na CCM.Nakutakia kila lililojema katika uhusiano wako na mwenyekiti wako ikiwa utathubutu kweli kutekeleza haya.
NDIYO, tena tutashinda kwa kishindoHivi hiki chama kina mpango wa kuchukua nchi/dola?
wewe huwa ni mnafiki siku zote kazi yako ni kuongea uongo tuKuna mwingine alipewa cheo cha msaidizi maalum wa Mkiti
Mbatia huwa anabuni Vyeo kila siku, KISANDU baada ya Kukimbilia huko kilibuniwa Cheo akapewa, Yaani hata wewe ukihamia huko kitabuniwa Cheo, Unaweza shangaa unapewa cheo cha Mkurugenzi wa NCCR Taifa, au Raisi wa Secretariet ya NCCR Mageuzi Taifa, Mbatia ni Mjanja sana anabuni vyeo kuwafurahisha hao jamaa njaa
wewe huwa ni mnafiki siku zote kazi yako ni kuongea uongo tu