Eddo aula NCCR-Mageuzi

Eddo aula NCCR-Mageuzi

wewe ndo unatkiwa kuisoma make ni Chama chako, mimi niisome inisaidie nini? si bora ni kasome magazeti ya Shigongo?

ni kweli bora ya kusoma magazeti ya shigongo kuliko hiyo mikaratasi ya hao jamaa
 
soma katiba ya nccr-mageuzi siyo kuropga na kusikia, mmekalia ushabiki badala ya kuwa na data

deogratius kisandu, rais mtarajiwa unajibu hoja kwa stail ya ajabu, jipange, nilipata kukwambia ulipotoa thread ya kuutaka urais na si kama ukiteuliwa kugombea, nilisema kuwa mmefata ruzuku tu baada ya zile za cdm kutumika kwa harakati kama m4c,poleni sana nccr, mikakati ya kuikomboa tz haiko kizembe zembe kama ufanyavyo,muulize mbowe, hapendi lelemama ni kazi tu na wapo wanaombeza but matunda ya kazi yake mtayaona soon! Jipange kisandu kuwa mpinzan wa kwel sio kujichekesha kwa ccm, mambo mengi yapo hovyo then ccm wakiwaalika kwenye tafrija zao mnachekacheka. Just use any oppotunities that come to you 4 building tanzania yenye maendeleo.
 
ndiyo, tena tutashinda kwa kishindo

deogratius comment zako zinaonesha upo nccr kuinyong'onyesha, inatia huruma kwa harakat za nccr, hatukuchafui,ila nasema kama una ndoto nccr itakuja shinda tz nenda kalime tu kwan utapoteza muda.cdm hawakuanza kwa kasi walijipanga muda mrefu, walijua hatua za mabadiliko niny hamko hivyo mko kiushabiki tu.
 
Kabla ya chadema kuchukua nchi MUNGU ATAWANG'OA kwanza funza wote.. Na mchwa!
 
Mbatia huwa anabuni Vyeo kila siku, KISANDU baada ya Kukimbilia huko kilibuniwa Cheo akapewa, Yaani hata wewe ukihamia huko kitabuniwa Cheo, Unaweza shangaa unapewa cheo cha Mkurugenzi wa NCCR Taifa, au Raisi wa Secretariet ya NCCR Mageuzi Taifa, Mbatia ni Mjanja sana anabuni vyeo kuwafurahisha hao jamaa njaa

Mbatia ana vyeo!!!!!!!
 
Acha uongo kaka ben, huo ni unafiki. hujui lolote unaropoka tu, soma katiba ya nchi ibara ya 66 ili ukomae kifikra

Alichopost Ben na ulivyojibu ni vitu viwili tofauti! Nachelea kutoamini kwamba hii ni chuki binafsi.
 
Sidhani kama eddo aula, ungeandika amekula garasa.
 
Huko ni kuula au ameliwa ??? siamini kama kuna kula hapo!
 
Hivi huyu jamaa kasoma chuo gani vile..!vyuo vingine bora vifutwe tu kama ndo vinazalisha makapi km haya
 
Huyo mbatia mjanja mjanja tu mwangalie akiongea anavyo fumba mambo na kujifanya anatafakari kama kuku anakunywa maji kuond oa aibu.huwezi kutumikia mabwana wawili ccm na nccr hata vitabu vya dini vimekataza.
 
Sasa kakimbilia kwenye chama ambacho hatakujinadi kwamba yeye yuko huko atakuwa anaona aibu sana labda KAMA NA YEYE ANATAKA KUWA MBUNGE WA VITU MAALUMU
 
Unawezaje kubishania chama ambacho kinajiita cha upinzani, lkn mwenyekiti wake Taifa amepewa ubunge na mwenyekiti wa chama tawala Taifa, hii ni zarau, ametuharibia sana Chama Mbatia,
 
Unawezaje kubishania chama ambacho kinajiita cha upinzani, lkn mwenyekiti wake Taifa amepewa ubunge na mwenyekiti wa chama tawala Taifa, hii ni zarau, ametuharibia sana Chama Mbatia,
 
Hiki cheo mbona sijakielewa au kimeanzaishiwa kwake tu na vipi majukumu yake

Kuna vyeo vipo vacant kwa ajili ya makapi mfano ni kile cheo cha kisandu, Yani Eddo kwisha habari yake...!tunachoweza kusema kisiasa ni RIP
 
Back
Top Bottom