LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
Jumanne ya tarehe 3 may, eda sanga alitoa maoni kupitia tbc1, kama mwanahabari mstaafu, kuadhimisha siku ya habari, kuwa habari zinazoandikwa siku hizi zote ni za uongo. Nataka kumjuza kuwa enzi zao za kuripoti habari za mabwana zao huku wakinukuu "hayo yalisemwa na..." zimekwisha. Hizi ni enzi za habari za uchambuzi, na siyo kufanywa vinywa vya wakubwa wao.