ECOWAS troop meet no resistance

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
44,563
82,960
Naangalia Aljazeera taarifa ni kuwa majeshi ya washirika hayajapata upinzani wowote kutoka majeshi ya dikiteita Jammey
 
Kwa kauli hii unategemea watapata vikwazo gani?
“I am not going to involve my soldiers in a stupid fight. I love my men,” he added. “If they [the Senegalese] come in, we are here like this,” Badjie said, putting his hands up in a surrender gesture
 
The Gambia!!Wana wanajeshi 2,500 tu nchi nzima,wakati jeshi la Ardhi likiwa na wanajeshi 1000 tu,jeshi la anga hawazidi 1000,la maji wako kati ya 75-100

Makamu wa Rais kakimbilia Senegal,Mawaziri karibu watatu wamelala mbele na Mwanasheria wake amekimbilia Senegal.

Mkuu wa majeshi kasema hawezi kuruhusu vijana wake kupigana sbb ugomvi uliopo ni wa kisiasa,hawezi kuwaingiza vijana wake kwenye vita ya kijinga
 
Kumuonea tu. Ingekuwa Mohammed Buhari wa Nigeria amekatalia madarakani ECOWAS wangevamia Nigeria? Huku Afrika Mashariki kuna mwamba kama Museveni, mnaweza kumvamia?
Tofautisha haya mambo. Museven tume ilimtangaza ndo mshindi wakati Gambia aliyetangazwa mshindi ni mwingine na aliyeng'ang'ania madaraka ni mwingine. Kuna utofauti mkubwa kati ya hao wawili, Museven akifanya alichofanya huyo wa Gambia ndo tunaweza hoji uhalali au double standard.

Pia, kumbuka wanaofanya hiyo OPERATION ni ECOWAS sasa huku kwetu ikitokea hivyo inabidi EAC ijiongeze, swali EAC inaweza?
 
Tofautisha haya mambo. Museven tume ilimtangaza ndo mshindi wakati Gambia aliyetangazwa mshindi ni mwingine na aliyeng'ang'ania madaraka ni mwingine. Kuna utofauti mkubwa kati ya hao wawili, Museven akifanya alichofanya huyo wa Gambia ndo tunaweza hoji uhalali au double standard.

Pia, kumbuka wanaofanya hiyo OPERATION ni ECOWAS sasa huku kwetu ikitokea hivyo inabidi EAC ijiongeze, swali EAC inaweza?
Hapana, wote madikiteita hawawezi
 
Back
Top Bottom