Ebony FM mmetukosea JamiiForums

Ebony FM mmetukosea JamiiForums

We mwenyewe unaonekana kuegemea upande flan, kwa hiyo hamna shida yale ni maoni yake, unayakubali yachukue unayakataa achana nayo, sio kila kinachoongewa kitakuja upande wako, wakati mwingine unatakiwa kuvumilia
 
Maoni ni ngozi kila mtu anayo sema kuna mwenye nyeusi tii, ya njano, nyekundu, blue, udhurungi nk.
Jifunze kukubali ngozi ya mwenzio ndivyo alivyo umbwa.
 
Wakuu
Leo redio ebony FM ya mjini iringa Wakati wakitangaza kipindi chao(sikijui jina ila kinahusu habari kinakuwa hewani saa 11 jioni).

Walikua wakitangaza kuhusiana na majibizano yaliyotokea Jana baina ya askari polisi pamoja na waziri wa kilimo mstaafu bwana Malima lakini cha kushangaza wameegamia upande mmoja wa kuWalaumu maaskari kwa kutumia nguvu kwa viongozi wastaafu.

Na kubwa zaidi walitumia hoja zilizopo jamii forum huku mtangazaji akimalizia kwa kusema "alinena mchangiaji wa JamiiForums.

Wakuu kuna mambo nimeona hayapo sawa hapo...

MOSI: Tukio la Malima na Nape ni tofauti kabisa, kumbuka Nape alinyooshewa bastola na tukio la Malima risasi ilipigwa juu huku Malima akitumia kilichokuwa cheo cha uwaziri kuvunja sheria.

PILI: Ebony FM imejaribu kuidanganya jamii kuhusiana na maoni yaliyopo ndani ya hii forum kwa kuangalia upande mmoja kitu ambacho si cha kweli kwani kuna misimamo tofauti kuhusiana na suala hilo

Je, wadau mmelichukuliaje hilo suala?

Bashite eeee
 
Kwahiyo ulitaka asome kile ambacho kinge kufurahisha wewe? Ndio maana TBC inakufa
 
Hao Ebony washapigwaga stop hewani sababu ya kutangaza wudesi /uongo
 
Radio ndio ya kulaumiwa sio JF

Wao kama radio ni chombo kilichokamilika kina watendaji wake kama walikosa mwakilishi ni kosa lao kutumia kuiga habari
 
Back
Top Bottom