Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,704
- 3,036
Ndio maana awamu ile inakumbukwa sana. Maana aliyekuwa nacho anaongezewa
Ila tunataka kuona wote wale waliyoshtakiwa wanyolewe na huko jela wafanyishwe kazi ngumu.....Ndio maana awamu ile inakumbukwa sana. Maana aliyekuwa nacho anaongezewa
Hata wakurugenzi? Watakufa siku sio zao boss. Naomba watendewe haki na wafanye yale wanayopaswa kama wengine woteIla tunataka kuona wote wale waliyoshtakiwa wanyolewe na huko jela wafanyishwe kazi ngumu.....
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu upo...hii spin mnavyotaka lakini haina tofauti na robbing!
Wako keko hao jamaa wananyea ndooHawa jamaa, wangekuwa nchi za kiarabu wangekuwa washanyongwa, walio jaribu wote watakuwa na maelezo mazuri, sio watu hata kidogo, ni majambazi walio jihalalisha, ipo siku itatokea, jaribu kwani asie sikia la mkuu huvunjika guu.
Ni wapigaji wa watanzania wenzao. Wanasaidia kuendeleza umasikini miongoni wa watu, fikra zao za udanganyifu zimezidi mawazo ya watu wasio na hatia wenye nia ya kujiendeleza.
Kuendelea na biashara ya wizi kama wanayoifanya nafikiri kutakuwa na nguvu zagiza wanatumia kuificha serikali.
Epukeni na hili jambazi, walio jaribu na wakakaa kimya pengine wengi wao watakuwa wamejinyonga.
Bora mafisadi wa EPA mia mbili kuliko hili moja.
Jambazi hili jamani msijaribu!