Easy Finance matapeli?

Hawa jamaa, wangekuwa nchi za kiarabu wangekuwa washanyongwa, walio jaribu wote watakuwa na maelezo mazuri, sio watu hata kidogo, ni majambazi walio jihalalisha, ipo siku itatokea, jaribu kwani asie sikia la mkuu huvunjika guu.
Ni wapigaji wa watanzania wenzao. Wanasaidia kuendeleza umasikini miongoni wa watu, fikra zao za udanganyifu zimezidi mawazo ya watu wasio na hatia wenye nia ya kujiendeleza.
Kuendelea na biashara ya wizi kama wanayoifanya nafikiri kutakuwa na nguvu zagiza wanatumia kuificha serikali.
Epukeni na hili jambazi, walio jaribu na wakakaa kimya pengine wengi wao watakuwa wamejinyonga.

Bora mafisadi wa EPA mia mbili kuliko hili moja.

Jambazi hili jamani msijaribu!
Wako keko hao jamaa wananyea ndoo
 
Back
Top Bottom