donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,137
Daah, kuna jirani hapa alibariki ndoa jana usiku wa Pasaka, sasa kuna ka-mbuzi nakaona pale wanachelewesha kukachinja. sasa sijui kama ni kwa ajili ya sherehe au kamenunuliwa ili kufugwa. Hata hivyo sichezi mbali!
Daah, kuna jirani hapa alibariki ndoa jana usiku wa Pasaka, sasa kuna ka-mbuzi nakaona pale wanachelewesha kukachinja. sasa sijui kama ni kwa ajili ya sherehe au kamenunuliwa ili kufugwa. Hata hivyo sichezi mbali!
wali ng'ombe hapa ndo mpango mzima,jamaa wang kanipigia cm badae twende maeneo yakujidai
wa loliondo maeneo ya kujidai? we na mi 2 tunabanana q- bar,meeda sinza ndo maeneo ya kujidai,wenye kujidai wako sleepway,movenpick na kilimanjaro kempinsik na familia zao.yaani huoni kutoka kwako hadi upigiwe na mlalahoi mwenzako na mie?kama kweli mi na we tuko vizuri kuna haja gani ya kusubiri kuitwa na mtu?
USIJISAHAU PASAKA J5 HAIPO
Ndg yangu usijisahau matatizo ya maisha hayaishii leo,j5 tu tutaendelea na maumivu kwa kwenda mbele,kwa hiyo ile kidogo tuibalance kima cha chini hadi mwezi mei mwishoni ,tutafika?