Mzee Chinga,
Damn! Ulikuwa wapi siku zote bro? Hii forum inahitaji watu kama wewe BOLD! na Strong! I mean all the respect kwa JJ na supporters, lakini do not dis-miss this kid Chinga, bravo! let JJ ajibu maswali fair kutoka kwa mwana-forum hii ambayo hata JJ anaiheshimu siku zote kuwa ina watu wanaoelewa ndio maana hajaenda darhotwire,
I mean, please let the kid aulize yanayomkera na Chadema jamani, hapa hakuna free pass, unataka kuwepo hapa lazima upewe joto we all go through this kila siku, acheni mambo ya golden glove hapa,
Mzee O,
Muache kijana aulize maswali, and more respect kwa JJ, so far hajakasirika maana anaelewa kwa wale tulioko bongo na siasa, haya ni mambo ya kawaida, sasa mtatisha vijana waogope kuuliza maswali hapa WHY? No Chinga endeleea na maswali, kuna nisiyoafiki kati ya maswali yake lakini I like the attitude ambayo ni mawe tu!