Allien
JF-Expert Member
- Jul 6, 2008
- 5,546
- 1,861
sawa mkuu tuendelee kusubiri tuone kama itakawa hivyo.Kama watashusha itasaidia sana kuwaongezea wateja.Mimi hofu yangu ni kwamba Je ISP wetu wanauwezo wakununu hiyo 155 mbps? kama wapo ni wachache sana.
Mkuu kwa Mujibu wa SEACOM sasa hivi Wateja 8 wameshapatikana. Kwa uzoefu wangu hao wanaweza kuwa:
- TTCL
- SimbaNET
- Six Telcom
- UDSM ( Siyo UCC)
Sina uhakika makampuni ya simu kama:
- VODACOM
- ZANTEL
- CELTEL
- TIGO
Kwa kuwa sioni kama hiyo Internet ya 155 Mbps wataiuza vipi kwa watumiaji wa simu za kiganjani la laptop kupitia katika infrastructure zao ambazo ziko limited kuwapa wateja capacity au bandwidth kubwa kwa gharama nafuu. Of course uwezo wa kununua kutoka SEACOM wanao.