Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,745
- 2,338
Wakuu cijui kama hii ki2 hipo common kwenu na inaweza saidia ku avoid ku2mia pirated windows
Kuna Chalii wangu kaja leo nimuekee windows kaja na cd ina win 7 starter((zile wanapewa wanaonunua samsung Mini,kama recovery disc) na ACER laptop ambayo imepigwa chapa ya win 7 starter kwenye case ya cpu,,,nilipomaliza kumuekea nikaambiwa YOUU STILL HAVE THREE DAYS TO ACTIVATE
basi ghafla nika notice kwamba chini ya laptop yake kuna KEYS na nilipo angalia kwa mini laptop nyingi nikagundua pia nazo zina key kwa chini basi ni kaitumia ku-activate na nikaambiwa windows activated and is genuine,,,na baada ya hapo nika upgrade kwenda WIN 7 ULTIMATE na sasa huyo chalii wangu anatumia genuine win 7 ultimate
KUMBE SASA NINI KIFANYIKE?SISI KAMA WANA JUKWAA TUONESHANE USHIRIKIANO KWA HILI ,,,TUTAFUTE WENZETU WALIO NUNUA LAPTOP PRESCRIBED FOR WIN 8 WAANGALIE KWA CHINI NAKUZICHUKUA HIZO KEYS NA KWA ROHO SAFI ISIYO YA UCHOYO WAWEKE HAPA ILI TUACHE KU2MIA PIRATED WIN 8
KARIBUNI
Kuna Chalii wangu kaja leo nimuekee windows kaja na cd ina win 7 starter((zile wanapewa wanaonunua samsung Mini,kama recovery disc) na ACER laptop ambayo imepigwa chapa ya win 7 starter kwenye case ya cpu,,,nilipomaliza kumuekea nikaambiwa YOUU STILL HAVE THREE DAYS TO ACTIVATE
basi ghafla nika notice kwamba chini ya laptop yake kuna KEYS na nilipo angalia kwa mini laptop nyingi nikagundua pia nazo zina key kwa chini basi ni kaitumia ku-activate na nikaambiwa windows activated and is genuine,,,na baada ya hapo nika upgrade kwenda WIN 7 ULTIMATE na sasa huyo chalii wangu anatumia genuine win 7 ultimate
KUMBE SASA NINI KIFANYIKE?SISI KAMA WANA JUKWAA TUONESHANE USHIRIKIANO KWA HILI ,,,TUTAFUTE WENZETU WALIO NUNUA LAPTOP PRESCRIBED FOR WIN 8 WAANGALIE KWA CHINI NAKUZICHUKUA HIZO KEYS NA KWA ROHO SAFI ISIYO YA UCHOYO WAWEKE HAPA ILI TUACHE KU2MIA PIRATED WIN 8
KARIBUNI