Ea/ eia experts available at the lake zone

Ea/ eia experts available at the lake zone

bugorobi

Senior Member
Joined
Apr 17, 2013
Posts
107
Reaction score
36
Wanajamvi kwa yeyote mwenye mahitaji ya kufanyiwa tathimini za mazingira yaani EA na EIA kwa maeneo yote ya mikoa ya kanda ya ziwa tuwasiliane : elizabetiabd@gmail.com
 
Wewe mbwiko kweli, hizo ea n.k ndiyo nini? Unakurupuka tu, siyo wote tunaojua hivyo vifupi
 
Sio kila kitu ucomment! hayo ni maji marefu kwa kihiyo kama wewe!

Yaani huwa nashangaa mudawote watanzania tunakuwa nusunusu. sasa wewe umekurupuka badala useme hizo ni nini na wewe unaropoka ki mbwiko mbwiko mpaka hujapata hata mchangiaji
 
Endelea kupayuka mail zinamiminika na deal tunastrike!

Tatizo wewe ni mjiingaaa, hivi unaona dili gani kusema tu EA ni East Africa, na EIA ni East Internal Africa? Wewe hujui kwa kutoa virefu watu wengi wangekuelewa? You are soooo stupp'idyy msomi. Kama una elimu basi haijakukomboa mwehu weye. Mimi ulichoniudhi toka mwanzo ni kuweka kitangazo utafikiri wote tulikuwepo huko ulikosomea. Mfano wewe nikisema "wadau mwenye kuhitaji kufanya hesabu zake kwa kufuata IAS maeneo ya mwanza" unafikiri utanielewa? Acha kuwa na ufinyu wa fikra,
 
Tatizo wewe ni mjiingaaa, hivi unaona dili gani kusema tu EA ni East Africa, na EIA ni East Internal Africa? Wewe hujui kwa kutoa virefu watu wengi wangekuelewa? You are soooo stupp'idyy msomi. Kama una elimu basi haijakukomboa mwehu weye. Mimi ulichoniudhi toka mwanzo ni kuweka kitangazo utafikiri wote tulikuwepo huko ulikosomea. Mfano wewe nikisema "wadau mwenye kuhitaji kufanya hesabu zake kwa kufuata IAS maeneo ya mwanza" unafikiri utanielewa? Acha kuwa na ufinyu wa fikra,

Kwa kuwa fani haikuhusu! dawa ni kupiga kimya! Sijui kama matusi yanakusaidia! jenga hoja bila matusi ficha ujinga wako! nakupm static response kwa waliojua ininbox ili ujue kuwa sio kila jambo ni kudandia!

Kama unaona uelewi ni kuwa huna hitaji na hilo jambo! Au ndugu ni dalali?

Pole sana!
 
Nazani wewe chuo ulikuwa kilaza. Na kwa hilo unalo lifanya hutaweza kuja fanikiwa maana una hasira za kipuumbavu. Wewe badala ya kuomba msamaha kwa wateja unaleta kujigamba ndiyo inakusaidia nini? wewe suala lako si ni kuuza upate hela? hata kama nikikutukana matusi hupaswi kujali, ktk biashara focus on what you do to gain more clients!
 
watu mbona wagumu kuelewa amesema tathimin ya mazingira ama E.a that is envrnmental assessement
 
Back
Top Bottom