EA ecosystems law hits snag

EA ecosystems law hits snag

Samahani mkuu sikuwepo kijiweni week hii kuchangia,naona mengi yamenipita. Labda niulize kuna uhakika gani kwamba hoja alowakilisha sio msimamo wetu kulingana na sera za chama tawala. Kumbuka kwamba sisi wengine tunaodai mwongozo yaani kuwepo kwa dira ya kitaifa, ni kutokana na maswala kama haya ambayo mtu yeyote anaweza kufanya maamuzi yake binafsi kwa kisingizio cha uzalendo.

Na kwa bahati mbaya zaidi ni kwamba Watanzaniua kwa ujumka wetu hatufahamu maana ya SIASA na matumizi yake kiasi kwamba mtu yeyote anayejiona msomi anaweka fikra zake mbele kwa kutumia logic kupinga ama kukubaliana na wazo japokuwa pinzani kiitikadi na sera za chama ama dira ya kitaifa. Kifupi naweza sema Tanzania kisiasa tuna mfumo wa demokrasia wa wagombea binafsi kwa kupitia mwamvuli wa chama tu. Kila mbunge wetu anawajibika kwa wananchi kwa jinsi anavyojisikia huru hivyo kutafsirika kama ndio uzalendo. Ni vichekesho vitupu kwa muumini kumtumikia Yesu lakini usifuate biblia....

Mbunge aliitoa kama hoja binafsi, ndipo wabunge wa nchi nyingine wakaikubali.
Kama hoja yake binafsi ilikuwa ni msimamo wetu, kwa nini sasa wazizi husika anamshauri Rais asitie saini?
Huyo mbunge, waziri, na Rais si wanatoka chama tawala?
 
livefire,

..I think the problems is to equate Tanzanians concerns to "excuses". The EAC defence protocal is a good example: why would member states, other than Tanzania, sign on to a defence protocal that does not address a critical issue such as what to do with an aggressive member state that starts a war with another country within or outside the community?

..In my opinion, technocrats frm other member states either do not conduct thorough research, or do not listen to their counterparts frm Tanzania unless they raise hell in the public. Kwasababu all the time these protocals have ended up being corrected to reflect Tanzanias position.

How do you address such an issue. Simple. the answer lies in history. In the East African region, no country has ever demanded war with fellow members state. Neither have governments within EA entered strained diplomatic relations. From your thought, one may see this as a plot is to advance within the bloc, unequivocal advocacy for a rife ideology of a looming full-blown-war. A time for posturing with past events and experiences that were meant to be self-serving rather than having a regional interests at heart, at the expense regional development and integration is really eating this region's time and potential for growth. If you are bold enough relinquish, EAC and its headquarters to other willing and cooperative partners. Leave The EAC alone or it may be a conduit for graft vices. The EA defense pact to only reflect Tanzania's position, only goes on to show a self centered attitude. For progressive intergration people must tug along as a unit.
 
Mbunge aliitoa kama hoja binafsi, ndipo wabunge wa nchi nyingine wakaikubali.
Kama hoja yake binafsi ilikuwa ni msimamo wetu, kwa nini sasa wazizi husika anamshauri Rais asitie saini?
Huyo mbunge, waziri, na Rais si wanatoka chama tawala?
Ndio tatizo la kuchagua wabunge wenye sifa ya kujieleza kiingereza badala ya mbunge anayejua nafasi ya Tanzania ktk jumuiya na mwenye uwezo wa udadisi ktk maswala nyeti yanayotugusa. Hivyo sii kosa la rais maana mbunge tunamchagua bungeni kwa vishawishi vya takrima na kadhalika. Ni muhimu tuwe na mwongozo wa Kitaifa kama hatuna basi kila mbunge atafikiria kivyake maana alipitishwa kwa sifa zisizohusiana kabisa na msimamo wetu. Lakini bado rais anaweza kabisa kutoweka saini muswada huo hivyo tunejifunza taratibu ktk maswala haya na sidhani kaa kesho tutayarudia makosa ya kuchagua wabunge wauza sura na lugha za ulaghai..
 
How do you address such an issue. Simple. the answer lies in history. In the East African region, no country has ever demanded war with fellow members state. Neither have governments within EA entered strained diplomatic relations. From your thought, one may see this as a plot is to advance within the bloc, unequivocal advocacy for a rife ideology of a looming full-blown-war. A time for posturing with past events and experiences that were meant to be self-serving rather than having a regional interests at heart, at the expense regional development and integration is really eating this region's time and potential for growth. If you are bold enough relinquish, EAC and its headquarters to other willing and cooperative partners. Leave The EAC alone or it may be a conduit for graft vices. The EA defense pact to only reflect Tanzania's position, only goes on to show a self centered attitude. For progressive intergration people must tug along as a unit.

Kabaridi,

..umesahau Kenya vs Uganda on Migingo?

..pia nakukumbusha Uganda vs Rwanda inside DRC.

..tena Tanzania vs Uganda in 1972,1978.

..na tena Kenya vs Uganda, when Kenya allowed the Israelis to refuel in Nairobi.

..So based on history, Tanzanias position is justifiable when it demands that the defence protocal must be specific on what to do with a member state that pursues aggressive military policy against another country within or outside the community.

..Not sure on if SADC defence protocal is the same as the one proposed by the EAC. If that is true then Tanzania has every right to withdraw or abstain from SADC defence protocal. Also there is no reason for Tanzania to sign on to two defence protocals that r seriously flawed. Again, if ur assertion r true, then most probably Tanzanias position with regard to the proposed EAC defence protocal is derived from the bad experience[DRC war] we have had with SADC defence protocal.

..Kuhusu self centered attitudes, the feeling is mutual. Tanzanians too feel that Kenya is putting her national agenda first and EAC interests are only secondary. Tanzania and Kenya, being the big brothers within the community, need to work together to iron out our differences.

NB:

..Hapo kwenye RED, kama Kenya mnaona hamuwezi kuishi na wa-Tanzania ur welcome to move the EAC headquarters to Rwanda, Burundi, where ever u feel that will serve ur interests. Infact, this was once attempted but I dont know why member states back tracked.
 
Kabaridi,

..umesahau Kenya vs Uganda on Migingo?

..pia nakukumbusha Uganda vs Rwanda inside DRC.

..tena Tanzania vs Uganda in 1972,1978.

..na tena Kenya vs Uganda, when Kenya allowed the Israelis to refuel in Nairobi.

..So based on history, Tanzanias position is justifiable when it demands that the defence protocal must be specific on what to do with a member state that pursues aggressive military policy against another country within or outside the community.

..Not sure on if SADC defence protocal is the same as the one proposed by the EAC. If that is true then Tanzania has every right to withdraw or abstain from SADC defence protocal. Also there is no reason for Tanzania to sign on to two defence protocals that r seriously flawed. Again, if ur assertion r true, then most probably Tanzanias position with regard to the proposed EAC defence protocal is derived from the bad experience[DRC war] we have had with SADC defence protocal.

..Kuhusu self centered attitudes, the feeling is mutual. Tanzanians too feel that Kenya is putting her national agenda first and EAC interests are only secondary. Tanzania and Kenya, being the big brothers within the community, need to work together to iron out our differences.

NB:

..Hapo kwenye RED, kama Kenya mnaona hamuwezi kuishi na wa-Tanzania ur welcome to move the EAC headquarters to Rwanda, Burundi, where ever u feel that will serve ur interests. Infact, this was once attempted but I dont know why member states back tracked.

Hapo Kwenye Red......Kenya's sovereignty has been put to the test many times. First with regard to the Migingo issue. There was no military aggression by Kenya. The Ugandan delegation was called to Nairobi and all that trouble was resolved for good. That shows that kenya resolves to dialogue before turning to aggression and military options with its neighbors

Two...interestingly Isreali contingent was not at war with Uganda during "Operation Thunderbold" There were on a rescue mission to save an Israeli airplane at Uganda's Entebbe Airport. Their refuelling at nairobi does not indicate any collusion with external govts.


You interestingly quote all war eventualities at east and central Africa DRC, Uganda, but southern africa, has had its fair share of security-lapses triggered through political instability. In Namibia, there were a political and security dilemma caused by a separatist movement. Namibia was under attack. The list is endless not forgetting mozambique and Frelimo trigerring political instability and securty threats, not forgetiing Angola and decades of civil war.

So kenya will keep on providing diplomacy for free without charge. Learn! All member states in EA should learn from kenya
 
Hapo Kwenye Red......Kenya's sovereignty has been put to the test many times. First with regard to the Migingo issue. There was no military aggression by Kenya. The Ugandan delegation was called to Nairobi and all that trouble was resolved for good. That shows that kenya resolves to dialogue before turning to aggression and military options with its neighbors

Two...interestingly Isreali contingent was not at war with Uganda during "Operation Thunderbold" There were on a rescue mission to save an Israeli airplane at Uganda's Entebbe Airport. Their refuelling at nairobi does not indicate any collusion with external govts.


You interestingly quote all war eventualities at east and central Africa DRC, Uganda, but southern africa, has had its fair share of security-lapses triggered through political instability. In Namibia, there were a political and security dilemma caused by a separatist movement. Namibia was under attack. The list is endless not forgetting mozambique and Frelimo trigerring political instability and securty threats, not forgetiing Angola and decades of civil war.

So kenya will keep on providing diplomacy for free without charge. Learn! All member states in EA should learn from kenya

Kabaridi,

..U can call "Operation Thunderbolt" what ever u want to call but it resulted in several Ugandan soldier getting killed. After the attack/raid/rescue in Entebe, the Israeli planes refueled in Nairobi Kenya. I am really not convinced that Kenya did not conspire with the Israelis against Uganda??

..In Mozambique Kenya and South Africa were financing Renamo bandits and causing instability in that country. Zimbabwe and Tanzania went to war in support of Frelimo and the ppl of Mozambique. It is only recently[during Mkapa's tenure] that the bodies of our fallen soldiers were returned home frm Mozambique and laid to rest in Naliendele in southern Tanzania. Thanks to Kenya and their friends the South African boers.

..Vita vya Angola was just too complex, I prefer not to drag this debate into it. Having said that, I really suspect that Kenya was helping Jonas Savimbi and South Africans.

..Tanzania tunataka kujua hiyo defence protocal ita-deal vipi na issues kama ile ya Uganda ku-train wapiganaji wa Mwakenya, au Rwanda kuvamia Congo bila sababu za msingi, au yale mashambulizi ya Uganda vs Kenya during the 80s.
 
Kabaridi,

..U can call "Operation Thunderbolt" what ever u want to call but it resulted in several Ugandan soldier getting killed. After the attack/raid/rescue in Entebe, the Israeli planes refueled in Nairobi Kenya. I am really not convinced that Kenya did not conspire with the Israelis against Uganda??

..In Mozambique Kenya and South Africa were financing Renamo bandits and causing instability in that country. Zimbabwe and Tanzania went to war in support of Frelimo and the ppl of Mozambique. It is only recently[during Mkapa's tenure] that the bodies of our fallen soldiers were returned home frm Mozambique and laid to rest in Naliendele in southern Tanzania. Thanks to Kenya and their friends the South African boers.

..Vita vya Angola was just too complex, I prefer not to drag this debate into it. Having said that, I really suspect that Kenya was helping Jonas Savimbi and South Africans.

..Tanzania tunataka kujua hiyo defence protocal ita-deal vipi na issues kama ile ya Uganda ku-train wapiganaji wa Mwakenya, au Rwanda kuvamia Congo bila sababu za msingi, au yale mashambulizi ya Uganda vs Kenya during the 80s.

Isreali were on a mission to rescue an Isreali airline with numerous Israeli Passengers on onboard at Entebbe airstrip. That is when the forces loyal to idi amin were running basak. I doubt your claims that kenya had anything to do with Renamo bandits. All I can recall was the peace keeping mission of kenya navy's 15th batallion at namibia, nothing else.

Angola na kufundisha/coaching wapiganaji wa Mi2 nchini DRC what have you to say about that. Niko na hiyo protocal ya SADC and I don not see how it has categorically adressed your interest and position as a member state.
 
Isreali were on a mission to rescue an Isreali airline with numerous Israeli Passengers on onboard at Entebbe airstrip. That is when the forces loyal to idi amin were running basak. I doubt your claims that kenya had anything to do with Renamo bandits. All I can recall was the peace keeping mission of kenya navy's 15th batallion at namibia, nothing else.

Angola na kufundisha/coaching wapiganaji wa Mi2 nchini DRC what have you to say about that. Niko na hiyo protocal ya SADC and I don not see how it has categorically adressed your interest and position as a member state.


Kabaridi,

..If SADC defence protocal is as flawed as EAC protocal then Tanzania has every right to abstain from both of them.

..The war in DRC put Tanzania in a very bad spot diplomatically. We allowed Uganda to import her weapons thru' D'Salaam port when there was every indication that Uganda would use them to attack a SADC member and allies in DRC. At the same time Mkapa's administration was claiming that there were supporting the peace process in DRC. Mahusiano yetu na DRC yalikuwa mabaya kiasi kwamba Kabila Sr hakuhudhuria mazishi ya Mwalimu Nyerere.

..Kwa mtizamo wangu we should not repeat the same mistake twice. If Tanzania is going to sign on to EAC defence protocal then we have to make sure that it is better than the SADC protocal. On top of we must not contradict our foreign and defence policies taking into consideration that we r also signatories to the SADC defence protocal.

..mimi sidhani kama Kenya inaweza kusaini mkataba wa ulinzi wa EAC hata kama una-conflict makubaliano yake na nchi za IGAD. Pia itakuwa ni makosa kwa Tanzania kujaribu ku-dictate Kenya's foreign and defence policies.

..pia mimi sijui Kenya imewahi kushiriki wapi militarily. Tanzania tumeshakwenda Seychelles,Comorro,Uganda, Mozambique,Zimbabwe,Angola,Namibia,na DRC. Kenya imefanya nini militarily in our region??

NB:

..Kenya walikuwa wakisaidia Renamo and Apartheid South Afrika kuipiga vita Mozambique. There is evidence that supports that. Hiyo ndiyo ikapelekea Mozambique wakapinga participation ya Kenya kwenye peace talks. Lakini hayo yamepita tuzungumzie future.

..
 
Kabaridi,

..If SADC defence protocal is as flawed as EAC protocal then Tanzania has every right to abstain from both of them.

..The war in DRC put Tanzania in a very bad spot diplomatically. We allowed Uganda to import her weapons thru' D'Salaam port when there was every indication that Uganda would use them to attack a SADC member and allies in DRC. At the same time Mkapa's administration was claiming that there were supporting the peace process in DRC. Mahusiano yetu na DRC yalikuwa mabaya kiasi kwamba Kabila Sr hakuhudhuria mazishi ya Mwalimu Nyerere.

..Kwa mtizamo wangu we should not repeat the same mistake twice. If Tanzania is going to sign on to EAC defence protocal then we have to make sure that it is better than the SADC protocal. On top of we must not contradict our foreign and defence policies taking into consideration that we r also signatories to the SADC defence protocal.

..mimi sidhani kama Kenya inaweza kusaini mkataba wa ulinzi wa EAC hata kama una-conflict makubaliano yake na nchi za IGAD. Pia itakuwa ni makosa kwa Tanzania kujaribu ku-dictate Kenya's foreign and defence policies.

..pia mimi sijui Kenya imewahi kushiriki wapi militarily. Tanzania tumeshakwenda Seychelles,Comorro,Uganda, Mozambique,Zimbabwe,Angola,Namibia,na DRC. Kenya imefanya nini militarily in our region??

NB:

..Kenya walikuwa wakisaidia Renamo and Apartheid South Afrika kuipiga vita Mozambique. There is evidence that supports that. Hiyo ndiyo ikapelekea Mozambique wakapinga participation ya Kenya kwenye peace talks. Lakini hayo yamepita tuzungumzie future.

..

Nina huo mkataba JokaKuu na nimekuwekea hapa kama attachment.http://www.iss.co.za/af/RegOrg/unity_to_union/pdfs/sadc/defpact.pdf let me be direct, your role in these countries was not trying to address security-lapses or banditry/instability. It was less of peace-keeping in these regions like most of you want us to believe and more of an unequivocal concoction of Tanzania's political symbolism. For instance, you mid-wived the formation process of FRELIMO in DAR-ES-SALAAM, true of false? Central African Republics and Tanzania's territory from 2002 has been a lurking zone for bandits from Rwanda and DRC to walk to-and-fro to stage attacks.

Kenya has been reluctant all these years to use the tax-payers money to send troops any where but somalia. Kenya does not harbour militia the way Ethiopia does merrile and oromo-liberation-front. Somalia and Alshabaab. Tanzania has had a hand in those countries you have mentioned. Yet Kenya has chosen to uphold diplomacy amidst threats that continously seek to obscure our very own mortality. You remember Migingo was resolved amicably and there are no more suspicions. As I said you should take free diplomacy lessons, learn from such events.

Second....from the history of 69-74, Renamo bandits were closley sponsored by the Rhodesian/zimbabwe/southAfrica/mozambique government and West-Germany. M7 realizing Uganda's importation of Arms via Dar-es-salaam was a cheap-ploy to stay cool and unnoticed it being a landlocked country. UG could not beat the fact that kenya its own port.

Third......When you look at the IGAD structure, it was mainly meant to address a permanent solution of the rampant famine crisis at the horn. It is more of humanitarian assistance outfit/organization than military/defense. When you look at the SADC defence protocal, the same protocal that was that was agreed upon under MKapa is not categorical on Tanzania's position like you demand in EAC defense protocal. The pact has been improved on many times but has not address your position.
 
Dr Nangale ndiye aliyeleta huo uchuro?

Huo u-Dr. Kaupatia chuo gani!!!! Nina hakika hakurudishwa tena EALA, kama hiyo ni kweli that serves him RIGHT-huyo mtu hatufahi hata kidogo.
 
Kabaridi,

..If SADC defence protocal is as flawed as EAC protocal then Tanzania has every right to abstain from both of them.

..The war in DRC put Tanzania in a very bad spot diplomatically. We allowed Uganda to import her weapons thru' D'Salaam port when there was every indication that Uganda would use them to attack a SADC member and allies in DRC. At the same time Mkapa's administration was claiming that there were supporting the peace process in DRC. Mahusiano yetu na DRC yalikuwa mabaya kiasi kwamba Kabila Sr hakuhudhuria mazishi ya Mwalimu Nyerere.

..Kwa mtizamo wangu we should not repeat the same mistake twice. If Tanzania is going to sign on to EAC defence protocal then we have to make sure that it is better than the SADC protocal. On top of we must not contradict our foreign and defence policies taking into consideration that we r also signatories to the SADC defence protocal.

..mimi sidhani kama Kenya inaweza kusaini mkataba wa ulinzi wa EAC hata kama una-conflict makubaliano yake na nchi za IGAD. Pia itakuwa ni makosa kwa Tanzania kujaribu ku-dictate Kenya's foreign and defence policies.

..pia mimi sijui Kenya imewahi kushiriki wapi militarily. Tanzania tumeshakwenda Seychelles,Comorro,Uganda, Mozambique,Zimbabwe,Angola,Namibia,na DRC. Kenya imefanya nini militarily in our region??

NB:

..Kenya walikuwa wakisaidia Renamo and Apartheid South Afrika kuipiga vita Mozambique. There is evidence that supports that. Hiyo ndiyo ikapelekea Mozambique wakapinga participation ya Kenya kwenye peace talks. Lakini hayo yamepita tuzungumzie future.

..

Mkuu haya atuwezi kuya-sweep under the carpet eti "yamepita", uliyo zungumza humu ndiyo true colour za ndugu zetu hawa - mimi sina hakika kama wamebadirika chochote - posts nyingi zao humu zinajidhihilisha hivyo na wala tusijidanganye. Mzee Mandela baada ya kutoka kifungoni/gerezani aliwahi kutoa comment fulani kuhusu jirani zetu hawa alikuwa anawajua fika kwamba viongozi wake walikuwa wanaweka spana kwenye vita vya UKOMBOZI kusini mwa Africa, wanashirikiana na makaburu na wapinga ukombozi wa watu weusi - "nimesema viongozi wao na si raia wa Kenya"

Kenya aikuwahi kushiriki popote militarily katika ukombozi kusini mwa Afrika, cha ajabu nchi zikisha jikomboa ndiyo wanakuwa wa kwanza kutaka kwenda kuwekeza, kutaka kuvuna ambacho hawakupanda; viongozi wenye traits za mjaja kuwahi nani atataka kushirikiana nao!! Siwasemi vibaya lakini mnapashwa kubadirika tabia.

Juzi hapa Waziri SITA alisema kumbe mahindi tuliyokuwa tunawapa hili tuwaepushe na baa la njaa nchini mwao, wenyewe wanachukua mahidi wanakwenda kusaga kwenye masheni wanapata UNGA wanaweka kwenye mifuko na kwenda kuhuza unga kusini mwa SUDANI!! si hilo tu - kasema vile vile kwamba wafugaji wenye mifugo wakivuka mipaka kwenda kuhuza mifugo Kenya, Polisi wa Kenya wanawatisha wafugaji kwa kuwambia mifugo yao ina ugojwa na NDIGANA li kwa hiyo watakabiliwa na kufungo cha muda mrefu, wafugaji wanakimbia na kuacha mifugo yao! Mifugo inaswagwa na mapolisi kupelekwa kwenye kiwanda cha kusindika nyama, wanachinjwa na kusindikwa kwenye makopo na kwenda kuhuza Mashariki ya KATI! - sasa kwa akili za kawaida ni nani ambaye atataka kushirikiana na watu ambao hawaeleweki vizuri! Kuna mambo mengine mengi Waziri Sita ambayo alizungumzia kuhusu majirani zetu hawa ambayo yalinifanya niamini kwamba hawajabadirika chochote jinsi wanavyo ichukulia Tanzania na raia wake - 'am sorry kulisema hilo.

One more thing - If EAC defence protocol is highly flawed then Tanzania has every right under the SUN to abstain from it, who needs a Mickey Mouse defence protocol!
 
Mkuu haya atuwezi kuya-sweep under the carpet eti "yamepita", uliyo zungumza humu ndiyo true colour za ndugu zetu hawa - mimi sina hakika kama wamebadirika chochote - posts nyingi zao humu zinajidhihilisha hivyo na wala tusijidanganye. Mzee Mandela baada ya kutoka kifungoni/gerezani aliwahi kutoa comment fulani kuhusu jirani zetu hawa alikuwa anawajua fika kwamba viongozi wake walikuwa wanaweka spana kwenye vita vya UKOMBOZI kusini mwa Africa, wanashirikiana na makaburu na wapinga ukombozi wa watu weusi - "nimesema viongozi wao na si raia wa Kenya"

Kenya aikuwahi kushiriki popote militarily katika ukombozi kusini mwa Afrika, cha ajabu nchi zikisha jikomboa ndiyo wanakuwa wa kwanza kutaka kwenda kuwekeza, kutaka kuvuna ambacho hawakupanda; viongozi wenye traits za mjaja kuwahi nani atataka kushirikiana nao!! Siwasemi vibaya lakini mnapashwa kubadirika tabia.

Juzi hapa Waziri SITA alisema kumbe mahindi tuliyokuwa tunawapa hili tuwaepushe na baa la njaa nchini mwao, wenyewe wanachukua mahidi wanakwenda kusaga kwenye masheni wanapata UNGA wanaweka kwenye mifuko na kwenda kuhuza unga kusini mwa SUDANI!! si hilo tu - kasema vile vile kwamba wafugaji wenye mifugo wakivuka mipaka kwenda kuhuza mifugo Kenya, Polisi wa Kenya wanawatisha wafugaji kwa kuwambia mifugo yao ina ugojwa na NDIGANA li kwa hiyo watakabiliwa na kufungo cha muda mrefu, wafugaji wanakimbia na kuacha mifugo yao! Mifugo inaswagwa na mapolisi kupelekwa kwenye kiwanda cha kusindika nyama, wanachinjwa na kusindikwa kwenye makopo na kwenda kuhuza Mashariki ya KATI! - sasa kwa akili za kawaida ni nani ambaye atataka kushirikiana na watu ambao hawaeleweki vizuri! Kuna mambo mengine mengi Waziri Sita ambayo alizungumzia kuhusu majirani zetu hawa ambayo yalinifanya niamini kwamba hawajabadirika chochote jinsi wanavyo ichukulia Tanzania na raia wake - 'am sorry kulisema hilo.

One more thing - If EAC defence protocol is highly flawed then Tanzania has every right under the SUN to abstain from it, who needs a Mickey Mouse defence protocol!

Wakati huu Naona kwa kweli Watanzania wanatumia kile mwingereza anita Scotch-the-earth-exit. Kuvuruga matokeo ya EAC. Waafrika tumebaki kueneza siasa katika mikutano hii. Hakuna misingi za kujadili maendeleo za siku zijazo. Huku mukiwa mumebaki kutambua SADC.

Mzee mandela alifungwa gerezani miaka thelathini na tano. Huu ndio udhaifu wa mataifa ya SADC yanadhihirisha. Huku Mzee kenyatta alipokuwa akililiwa aachiliwe huru na mataifa kutoka ulaya na wananchi wa kenya, mataifa ya hapo SADC yangelilia kuachiliwa kwa mandela. Ni hivi majuzi miaka za tisini ndipo mandela aliachiliwa na Serikali ya makaburu kwa marekani kusititiza. Kenya's military policy si ya kuingilia mataifa huru rahisi kama ambavyo tunaona Tanzania ilivofanya katika historia. Muliingia comoros islands, hata na DRC, sio kwa resolution za AU/UN. Hili ni jambo hatari!
 
Wakati huu Naona kwa kweli Watanzania wanatumia kile mwingereza anita Scotch-the-earth-exit. Kuvuruga matokeo ya EAC. Waafrika tumebaki kueneza siasa katika mikutano hii. Hakuna misingi za kujadili maendeleo za siku zijazo. Huku mukiwa mumebaki kutambua SADC.

Mzee mandela alifungwa gerezani miaka thelathini na tano. Huu ndio udhaifu wa mataifa ya SADC yanadhihirisha. Huku Mzee kenyatta alipokuwa akililiwa aachiliwe huru na mataifa kutoka ulaya na wananchi wa kenya, mataifa ya hapo SADC yangelilia kuachiliwa kwa mandela. Ni hivi majuzi miaka za tisini ndipo mandela aliachiliwa na Serikali ya makaburu kwa marekani kusititiza. Kenya's military policy si ya kuingilia mataifa huru rahisi kama ambavyo tunaona Tanzania ilivofanya katika historia. Muliingia comoros islands, hata na DRC, sio kwa resolution za AU/UN. Hili ni jambo hatari!

Kabaridi,

..if u believe kwamba nchi za Kiafrika hazikufanya juhudi yoyote ile kuhakikisha Mandela na Afrika nzima inakuwa huru then I dont know how we can help. i am trying to be careful with my words, but could u be so clueless??

..pia kwanini mnaiogopa na kuipiga vita SADC?? Inanishangaza sana kwasababu Kenya mpo kwenye COMESA ambayo inajumuisha nchi karibu zote za SADC pamoja na EAC.

..at some point hii economic block lazima uinganishe EAC na SADC. ama kuhusu mtizamo wa Tanzania ni kwamba wananchi, narudia wananchi, wamekataa masuala ya ARDHI kwa wakati huu. may b wataondoa msimamo wao in the future, lakini at this time wamesema HAPANA kwenye suala la ARDHI.

..mimi naamini tukielekeza masuala yetu kwenye mambo ya UCHUMI[trade,investment,infrastructure,..] na kuachana na siasa EAC[defence,federation,land] itasonga mbele kwa kasi nzuri tu.

NB:

..Tanzania hatukuingilia nchi yoyote ile huru[an independent country] bila kualikwa na serikali ya nchi hiyo.

..mara nyingine hakuna haja ya kusubiri resolution za OAU/AU na UN. did u really expect a UN resolution inayowataka watu wa Mozambique kuchukua silaha against utawala wa Mreno[portuguese]??
 
Wakati huu Naona kwa kweli Watanzania wanatumia kile mwingereza anita Scotch-the-earth-exit. Kuvuruga matokeo ya EAC. Waafrika tumebaki kueneza siasa katika mikutano hii. Hakuna misingi za kujadili maendeleo za siku zijazo. Huku mukiwa mumebaki kutambua SADC.

Mzee mandela alifungwa gerezani miaka thelathini na tano. Huu ndio udhaifu wa mataifa ya SADC yanadhihirisha. Huku Mzee kenyatta alipokuwa akililiwa aachiliwe huru na mataifa kutoka ulaya na wananchi wa kenya, mataifa ya hapo SADC yangelilia kuachiliwa kwa mandela. Ni hivi majuzi miaka za tisini ndipo mandela aliachiliwa na Serikali ya makaburu kwa marekani kusititiza. Kenya's military policy si ya kuingilia mataifa huru rahisi kama ambavyo tunaona Tanzania ilivofanya katika historia. Muliingia comoros islands, hata na DRC, sio kwa resolution za AU/UN. Hili ni jambo hatari!

With due respect Mr. Kabaridi, nilikuwa nasoma sana post zako kuhusu TANZANIA hasa inapokuja kwenye mambo ya ukombozi wa Wafrica wenzetu kusini mwa Africa - nasikitika kukwambia kwamba mara nyingi unapenda sana ku-distort role ya nchi yetu katika nyanja hii, unapenda sana kuonyesha wasomaji wa makala yako kwamba Tanzania ni nchi inayopenda sana kuvamia/kujingiza katika nchi nyingine - sijuhi kwa nini una-maintain stance HIYO!!

Kuna mengi ningependa kusema lakini ntaji-confine kwa haya mawili ya mwisho nayo ni: Comoro na DRC.


  • COMORO.
Watanzania hawakujingiza/kuvamia COMORO bila ya kuitwa kutoa msaada, hili kukomesha matendo ya kihuni yaliyokuwa yanafanywa na mwanajeshi jeuri ambaye alikuwa na nia ya kuvigawa visiwa hivyo vipande vipande, kumbuka Watanzania wana ndugu zao wa damu katika kisiwa cha COMORO, ebu twambie tangu tumeweka mambo
sawa huko umewahi kusikia tena rabsha yoyote - sasa hivi raia wanaishi kwa AMANI. Je tulikosea nini hapo! Labda nikuhulize kitu, hivi Ufaransa ilikuwa inataka kuchukua hatua gani ya kumdhibiti mwanajeshi huyo jeuri?


  • DRC.
Hapa sijuhi unazumgumzia DRS ya Kabila Sr. au Kabila Jr! Kama ni Kabila Sr. nataka kukufahamisha kwamba mtu huyu aliwahi kuishi Tanzania kwa muda mrefu akijishughulisha na Biashara na mambo yake ya UKOMBOZI, mtoto wake Kabila Jr kasoma hapa Tanzania Primary na Sekondary na anajuha kuzungumza kiswahili fasaha, sasa walipo anza harakati zao za ukombozi za kumung'oa Mobutu wakisaidiana na nchi rafiki walipo fanikiwa, Kabila mwenyewe kuomba Tanzania isaidie katika kufundisha jeshi lake na kutoa mafunzo vile vile kwa jeshi la POLISI - haya ni mambo ya kawaida tu, sikuwahi kufatilia kilicho kuja tokea baadae lakini ninacho juwa ni kwamba for some reason Tanzania aliamua ku-withdraw instructors waliyo pelekwa huko kutoa mafunzo baada ya Rwanda nadhani na Uganda kufanya mambo ambayo TANZANIA aikutaka kuwa part of IT. Sasa labda mwenzangu unaweza kuwa na plausible explanation - maana unaonekana unaijuwa TANZANIA like back of your hand, wakati hujawahi kuishi au kufanya kazi Tanzania!

Yaani mtu wa nje akisoma makala yako kuhusu Tanzania especially kuhusu mambo ya ukombozi na role Tanzania iliyo-play katika harakati hizi, nakuona unapendela sana kutoa a very -ve impression at all TIMES 'am sorry kukwambia huko obsessed na hilo sijuhi kwa nini!!! Mtu akisoma kwa umakini makala zako nyingi kuhusu eti Tanzania inapenda sana kuvamia nchi nyingine huru bila ridhaa ya UN/AU anaweza kudhani post zako ni handout za aidha CIA au MI5 na dossier ya kina Tony Brair kuhusu imaginary WMD.

Labda nimalizie kwa kukuhakikishi kwamba Tanzania inapenda maendeleo sana na kushirikiana na nchi nyingine, lakini siyo ya kuhuza utu na nchi yetu kukidhi matakwa ya watu wenye an hidden agenda. Haya mambo ya kusema tunaeneza siasa kwenye mikutano yanatoka wapi, tusipo kubaliana na nyiyi katika issues fulani fulani ambazo hazija kaa sawa basi mna-interpret hiyo kama kueneza siasa! Kwani kuna dhambi gani nchi inapotaka kujuridhisha kwamba nchi nyingine zisichukulie upole wa Watanzania kama ni dalili za kuonyesha kwamba tuko WEAK kwa hiyo tunaweza kuwa manipulated left,right and the center like a puppet - Waigereza uliyo wa-quote humu wana msemo wao usemao "Once bitten TWICE SHY" msifikili Watanzania tumesahau ukatili wenu mlioufanya baada ya kuvunjika Africa Mashariki mka-grab kila kitu typical "GRAB EVERY MALI AVAILABLE" je TANZANIA ina uhakika gani kama kweli nyinyi mumebadadirika na kujifunza kuishi na binadamu wenzenu kwa kuheshimiana, wenzetu usema actions speaks VOLUME kwa hili wala tusiende mbali tuangalie makala zenu mnazo ziandika kuhusu TANZANIA, je unaweza kuniangalia usoni na ukasema bila wasi wasi kwamba nchi yenu ina nia nzuri kuhusu TANZANIA? Mbona Waganda, Wanyarwanda, Warundi baadae Sudan na DRC wote hao hawako vocal kuhusu TANZANIA kama nyinyi.

Mambo kuhusu michango ya Mzee Mandela na Mzee Kenyatta katika mambo ya ukombozi ya mwafrica, naona hiyo topic ntaizungumzia baadae. Tunawekana sawa hapa Mr. Kabaridi wala usinifikilie VIBAYA.
 
With due respect Mr. Kabaridi, nilikuwa nasoma sana post zako kuhusu TANZANIA hasa inapokuja kwenye mambo ya ukombozi wa Wafrica wenzetu kusini mwa Africa - nasikitika kukwambia kwamba mara nyingi unapenda sana ku-distort role ya nchi yetu katika nyanja hii, unapenda sana kuonyesha wasomaji wa makala yako kwamba Tanzania ni nchi inayopenda sana kuvamia/kujingiza katika nchi nyingine - sijuhi kwa nini una-maintain stance HIYO!!

Kuna mengi ningependa kusema lakini ntaji-confine kwa haya mawili ya mwisho nayo ni: Comoro na DRC.


  • COMORO.
Watanzania hawakujingiza/kuvamia COMORO bila ya kuitwa kutoa msaada, hili kukomesha matendo ya kihuni yaliyokuwa yanafanywa na mwanajeshi jeuri ambaye alikuwa na nia ya kuvigawa visiwa hivyo vipande vipande, kumbuka Watanzania wana ndugu zao wa damu katika kisiwa cha COMORO, ebu twambie tangu tumeweka mambo
sawa huko umewahi kusikia tena rabsha yoyote - sasa hivi raia wanaishi kwa AMANI. Je tulikosea nini hapo! Labda nikuhulize kitu, hivi Ufaransa ilikuwa inataka kuchukua hatua gani ya kumdhibiti mwanajeshi huyo jeuri?


  • DRC.
Hapa sijuhi unazumgumzia DRS ya Kabila Sr. au Kabila Jr! Kama ni Kabila Sr. nataka kukufahamisha kwamba mtu huyu aliwahi kuishi Tanzania kwa muda mrefu akijishughulisha na Biashara na mambo yake ya UKOMBOZI, mtoto wake Kabila Jr kasoma hapa Tanzania Primary na Sekondary na anajuha kuzungumza kiswahili fasaha, sasa walipo anza harakati zao za ukombozi za kumung'oa Mobutu wakisaidiana na nchi rafiki walipo fanikiwa, Kabila mwenyewe kuomba Tanzania isaidie katika kufundisha jeshi lake na kutoa mafunzo vile vile kwa jeshi la POLISI - haya ni mambo ya kawaida tu, sikuwahi kufatilia kilicho kuja tokea baadae lakini ninacho juwa ni kwamba for some reason Tanzania aliamua ku-withdraw instructors waliyo pelekwa huko kutoa mafunzo baada ya Rwanda nadhani na Uganda kufanya mambo ambayo TANZANIA aikutaka kuwa part of IT. Sasa labda mwenzangu unaweza kuwa na plausible explanation - maana unaonekana unaijuwa TANZANIA like back of your hand, wakati hujawahi kuishi au kufanya kazi Tanzania!

Yaani mtu wa nje akisoma makala yako kuhusu Tanzania especially kuhusu mambo ya ukombozi na role Tanzania iliyo-play katika harakati hizi, nakuona unapendela sana kutoa a very -ve impression at all TIMES 'am sorry kukwambia huko obsessed na hilo sijuhi kwa nini!!! Mtu akisoma kwa umakini makala zako nyingi kuhusu eti Tanzania inapenda sana kuvamia nchi nyingine huru bila ridhaa ya UN/AU anaweza kudhani post zako ni handout za aidha CIA au MI5 na dossier ya kina Tony Brair kuhusu imaginary WMD.

Labda nimalizie kwa kukuhakikishi kwamba Tanzania inapenda maendeleo sana na kushirikiana na nchi nyingine, lakini siyo ya kuhuza utu na nchi yetu kukidhi matakwa ya watu wenye an hidden agenda. Haya mambo ya kusema tunaeneza siasa kwenye mikutano yanatoka wapi, tusipo kubaliana na nyiyi katika issues fulani fulani ambazo hazija kaa sawa basi mna-interpret hiyo kama kueneza siasa! Kwani kuna dhambi gani nchi inapotaka kujuridhisha kwamba nchi nyingine zisichukulie upole wa Watanzania kama ni dalili za kuonyesha kwamba tuko WEAK kwa hiyo tunaweza kuwa manipulated left,right and the center like a puppet - Waigereza uliyo wa-quote humu wana msemo wao usemao "Once bitten TWICE SHY" msifikili Watanzania tumesahau ukatili wenu mlioufanya baada ya kuvunjika Africa Mashariki mka-grab kila kitu typical "GRAB EVERY MALI AVAILABLE" je TANZANIA ina uhakika gani kama kweli nyinyi mumebadadirika na kujifunza kuishi na binadamu wenzenu kwa kuheshimiana, wenzetu usema actions speaks VOLUME kwa hili wala tusiende mbali tuangalie makala zenu mnazo ziandika kuhusu TANZANIA, je unaweza kuniangalia usoni na ukasema bila wasi wasi kwamba nchi yenu ina nia nzuri kuhusu TANZANIA? Mbona Waganda, Wanyarwanda, Warundi baadae Sudan na DRC wote hao hawako vocal kuhusu TANZANIA kama nyinyi.

Mambo kuhusu michango ya Mzee Mandela na Mzee Kenyatta katika mambo ya ukombozi ya mwafrica, naona hiyo topic ntaizungumzia baadae. Tunawekana sawa hapa Mr. Kabaridi wala usinifikilie VIBAYA.

Bukyanagandi,

..asante kwa mchango wako huu.

..huyu mtu Kabaridi amenisikitisha sana.

..hana habari kwamba Tanzania,Zambia,Mozambique,Zimbabwe, Botswana, kote huko kulikuwa na wakimbizi pamoja na kambi za mafunzo ya kijeshi kwa wazalendo wa South Africa.

..hajui kwamba watu wamepoteza maisha ktk nchi hizo kutokana na kuhifadhi wakimbizi hao.

..hapa Tanzania tulishawahi kushambuliwa na makaburu ambao walituma manowari yao na kushambulia D'Salaam.

..vita ya Seychelles na Comoro[we were there in the 80s too] yote ilikuwa ni muendelezo wa vita kubwa zaidi ya ukombozi wa Southern Africa.

..tuna askari wetu wamekufa wakipigana Mozambique wakati wa kumtoa Mreno, na wakati wa vita na RENAMO[which was supported by Kenya, and Apartheid SA]. Tumepokea miili yao wakati Mkapa ni Raisi na kuwazika tena kwenye makaburi ya mashujaa ya Naliendele.

..Mozambique wana nishani ya ushujaa inaitwa the "MEDAL OF NACHINGWEA" . Harakati za ukombozi wa Mozambique zilianzia Nachingwea, Tanzania. sasa huyu Kabaridi atueleze where in the world Kenya imepewa heshima na kumbukumbu kama hiyo.

..hiyo yote ni kueleza mchango wa Tanzania na nchi nyingine za Kiafrika ktk kupigania heshima,utu, na uhuru wa Mwafrika.
 
JokaKuu,

Wacha niseme wazi wazi walichosema wahenga; Fimbo ya mbali haiuwi nyoka. Watanzania na JWTZ wameweza kuonyesha laxity hususan ikija kwa masuala ya usalama katika Afrika mashiriki. Hii agenda ya Tanzania kujaribu kubalkanize sehemu za Afrika Kusini kisiasa wakati EA iko motoni ni jambo tunawaza bila kupata majibu. Wacha niwape hongera kwa Suala la NACHINGWEA. Ingawa nianze kwa kusema, katika kanda hili, je! mumeweza sajili JWTZ kwenye EASF (East-African-Standby-force)? Watanzania ikija kwa maswala ulinzi ya EA, tunaona uvuguvugu kwenu na hili ndilo tunakuwa na hofu kuhusu kuachia TZ uendeshaji wa EAC. Mumekuwa hamuaminiki. Utakumbuka wakati ule mwaka wa sitini na tano, kenya ilipokuwa ikijaribiwa na serikali ya somalia ikishirikiana pamoja na Russia na Uingereza wakati wa vita vya shifta. Hakuna aliyejitolea kutusaidia kijeshi. Kenya pekee na rasilimali zake, mwenyezi Mungu atulinde, ndio ilibaki ikitapatapa kujikwamua kutoka hilo shambulizi la wasomalia/Shifta war. Ambalo tulinisurika.

Wakati unaona Waganda wakikimbilia kujiweka katika boots na kuingia Somalia si utani. Wanajua kutokana na historia kuwa umoja na ushirikiano katika kuleta usalama katika kanda hili la EA ni muhimu. Ndio utakuta wao waganda ndio wamejaza strong-force kule AMISOM. Hasa uvuguvugu wenu unaendelea kudhihirika EA ukizingatia Ugaidi Umezidi. Wakati huu, hakuna atayetushukuru, we are doing a thanklesss job in Somalia na kwingineko kujaribu na kurejesha amani. Wakati wote huo tumekuwa na wapiganaji kutoka Ethiopia, Somalia na hata Sudan wakiingia mipakani kenya kufanya uhalifu, kunyakua mali na kuondoka, kufanya mauaji ya wananchi wa kenya. Lakini kenya imesalia katika diplomasia kuzisuluhisha.

Labda nimalizie kwa kukuhakikishi kwamba Tanzania inapenda maendeleo sana na kushirikiana na nchi nyingine, lakini siyo ya kuhuza utu na nchi yetu kukidhi matakwa ya watu wenye an hidden agenda. Haya mambo ya kusema tunaeneza siasa kwenye mikutano yanatoka wapi, tusipo kubaliana na nyiyi katika issues fulani fulani ambazo hazija kaa sawa basi mna-interpret hiyo kama kueneza siasa!
Bukyanagandi tunaweza zungumza hadi siku zijazo kuhusu ushirikiano wenu. Kwanza kumbuka kenya has been noted for its preference of diplomacy and non-military approach towards external aggression. Wakati huu nilivyozungumzia Jokakuu hapo awali kuhusu jinsi Uganda wanachukua kila nafasi EA, iwe ni jambo lolote lile kiuchumi, kisiasa, au kijeshi. Msingi wenu wa ushirikiano na roho yenu watanzania iko SADC. Mimi sina scripts za CIA, wal M15 ila ninazungumzia kuhusu Africa na historia. Hapo SADC nchi nyingi zimekaa katika vita-vya-wenyewe-kwa-wenyewe. Vita za kushinikizwa na wanasiasa wakereketwa wa nchi hizo. Ninashangaa nchi yenu inatazamia kuhifadhi ujambazi wa aina hii. Wakati Jokakuu anazungumzia kuhusu ORDER OF NACHINGWEA, isiwe munatunukiwa kufadhili ujambazi wa aina huo. Katika hii Sera Tanzania imeeanguka mtihani. Sera ya kutojitambulisha na wakereketwa wa kisiasa ambao wamelipwa kufanya uhalifu na wa nchi geni kutoka Afrika kusini kuja Afrika Mashariki kuleta vurugu EA. Utagundua kenya haina majambazi au makundi ya wakereketwa wa kisiasa kutoka nchi geni kutafuta sehemu za kufanya uhalifu wao. Weka mjadala huu alive, nitasafiri lakini Jumatatu nitakuwemo pamoja nanyi.
 
JokaKuu,

Wacha niseme wazi wazi walichosema wahenga; Fimbo ya mbali haiuwi nyoka. Watanzania na JWTZ wameweza kuonyesha laxity hususan ikija kwa masuala ya usalama katika Afrika mashiriki. Hii agenda ya Tanzania kujaribu kubalkanize sehemu za Afrika Kusini kisiasa wakati EA iko motoni ni jambo tunawaza bila kupata majibu. Wacha niwape hongera kwa Suala la NACHINGWEA. Ingawa nianze kwa kusema, katika kanda hili, je! mumeweza sajili JWTZ kwenye EASF (East-African-Standby-force)? Watanzania ikija kwa maswala ulinzi ya EA, tunaona uvuguvugu kwenu na hili ndilo tunakuwa na hofu kuhusu kuachia TZ uendeshaji wa EAC. Mumekuwa hamuaminiki. Utakumbuka wakati ule mwaka wa sitini na tano, kenya ilipokuwa ikijaribiwa na serikali ya somalia ikishirikiana pamoja na Russia na Uingereza wakati wa vita vya shifta. Hakuna aliyejitolea kutusaidia kijeshi. Kenya pekee na rasilimali zake, mwenyezi Mungu atulinde, ndio ilibaki ikitapatapa kujikwamua kutoka hilo shambulizi la wasomalia/Shifta war. Ambalo tulinisurika.

Wakati unaona Waganda wakikimbilia kujiweka katika boots na kuingia Somalia si utani. Wanajua kutokana na historia kuwa umoja na ushirikiano katika kuleta usalama katika kanda hili la EA ni muhimu. Ndio utakuta wao waganda ndio wamejaza strong-force kule AMISOM. Hasa uvuguvugu wenu unaendelea kudhihirika EA ukizingatia Ugaidi Umezidi. Wakati huu, hakuna atayetushukuru, we are doing a thanklesss job in Somalia na kwingineko kujaribu na kurejesha amani. Wakati wote huo tumekuwa na wapiganaji kutoka Ethiopia, Somalia na hata Sudan wakiingia mipakani kenya kufanya uhalifu, kunyakua mali na kuondoka, kufanya mauaji ya wananchi wa kenya. Lakini kenya imesalia katika diplomasia kuzisuluhisha.


Bukyanagandi tunaweza zungumza hadi siku zijazo kuhusu ushirikiano wenu. Kwanza kumbuka kenya has been noted for its preference of diplomacy and non-military approach towards external aggression. Wakati huu nilivyozungumzia Jokakuu hapo awali kuhusu jinsi Uganda wanachukua kila nafasi EA, iwe ni jambo lolote lile kiuchumi, kisiasa, au kijeshi. Msingi wenu wa ushirikiano na roho yenu watanzania iko SADC. Mimi sina scripts za CIA, wal M15 ila ninazungumzia kuhusu Africa na historia. Hapo SADC nchi nyingi zimekaa katika vita-vya-wenyewe-kwa-wenyewe. Vita za kushinikizwa na wanasiasa wakereketwa wa nchi hizo. Ninashangaa nchi yenu inatazamia kuhifadhi ujambazi wa aina hii. Wakati Jokakuu anazungumzia kuhusu ORDER OF NACHINGWEA, isiwe munatunukiwa kufadhili ujambazi wa aina huo. Katika hii Sera Tanzania imeeanguka mtihani. Sera ya kutojitambulisha na wakereketwa wa kisiasa ambao wamelipwa kufanya uhalifu na wa nchi geni kutoka Afrika kusini kuja Afrika Mashariki kuleta vurugu EA. Utagundua kenya haina majambazi au makundi ya wakereketwa wa kisiasa kutoka nchi geni kutafuta sehemu za kufanya uhalifu wao. Weka mjadala huu alive, nitasafiri lakini Jumatatu nitakuwemo pamoja nanyi.

Kabaridi,

..kwanza miaka ya 60 all the way to 80s tulikuwa busy na shughuli za vita ya ukombozi ya Southern Africa. sasa hapo sidhani kama tungeweza kuji-stretch mpaka kuja kuwasaidia masuala ya Shifta.

..pia JWTZ ilianzishwa in 1964/65 baada ya Tanganyika Rifles kuvunjwa walipojaribu kumpindua Mwalimu Nyerere.

..kukumbusha, in 1965 Tanzania ilikata economic and diplomatic relations with UK tuki-protest msimamo wa UK ku-recognize na kuwapa silaha Rhodesia. That really hurt us economically, but it was a sacrifice we readily took for the dignity of Africans.

..kuhusu ku-balkanize Southern Africa hicho ni kitu kipya nimekisikia leo. Our involvement in the Southern African region imeishia ktk kushirikiana na vyama vya wapigania uhuru tu. Baada ya kupatikana uhuru we have never really interfered with their internal affairs and politics.

..Hapa East Africa, Tanzania ndiyo iliyo-train jeshi na polisi wa Uganda baada ya Amini kuanguka. Hata leo Uganda,Seycheles,Botswana, na nchi nyingine za Africa zinaleta maofisa wake ku-train at the TMA[tz military academy]. Pia tumetoa offer ya ku-train wanajeshi wa Somalia ktk ardhi ya Tanzania. I dont know if that is a good idea.

..kuhusu masuala ya amani, tume-facilitate peace talks za Burundi na Rwanda. Unakumbuka Arusha accords? Pia JWTZ imekwenda kulinda amani Liberia,Siera Leone, Darfur, na hata Lebanon.

..I dont know about EA standby Force, lakini najua there have been several joint military exercises baina ya majeshi ya Kenya,Tanzania,na Uganda. Kama ni standby force kwa shughuli za uokoaji itakuwa ni good idea lakini masuala ya vita-vita Tanzania hatuna habari hiyo tena. Sisi tuna mahusiano mazuri na majirani zetu wooote.

..With Somalia mimi naamini Kenya has to take up a leadership role. Nakubaliana na wewe kwamba "fimbo ya mbali haiuwi nyoka" hao ni majirani zenu wa-Kenya hivyo ni lazima nyinyi muwe nchi ya kwanza kusaidia ku-stabilize Somalia mkitumia nguvu zenu za Kijeshi,Kiuchumi,na Kidiplomasia. I took u too long, lakini kila mwenye nia njema atapenda mfanikiwe na juhudi zenu za sasa hivi Somalia.

..mwisho, hakujawahi kutokea vita-vya-wenyewe-kwa-wenyewe baina ya nchi za SADC. ila lazima tukiri kwamba suala la Zimbabwe limekuwa mtihani mkubwa sana kwa wanachama wa SADC.
 
Huo muswada unatoa maana zipi juu ya transboundary ecosystems? Unasema transboundary ecosystems katika Afrika Mashariki ni zipi?

Kama kuna mtu anaweza kuwa na muswada huo,basi aulete hapa ili mjadala uwe wa maana zaidi. Kwa sababu transboundary ecosystems katika jumuiya ni Maziwa Victoria na Tanganyika, Mito Mara na Nile. Mlima Kilimanjaro (vijito na bionuwai yake);Serengeti-Masai Mara ecosystem na Bahari ya Hindi.

Sasa katika hayo,sioni wapi Sitta anapata hofu na shaka. Kama Tanzania tuna sheria ambazo bado zinaheshimiwa na nchi nyingine za jumuiya,wasiwasi wa nini? Halafu pia ile EA Protocol and Treaty imeongelewa suala la kuharmonise sheria zozote zitakazotungwa na jumuiya ili kuepuka mkanganyiko na muingiliano wa sera na sheria katika nchi za jumuiya.

Mimi naona sheria hii itakuwa na manufaa zaidi kwa Tanzania kama wabunge tuliowatuma wataumiza vichwa vyao. Kwani uwepo wa commission hiyo kutaweza kuleta environmental standards ambazo zitaondoa makelele kama yale yaliyotokea pale Lake Natron (Soda Ash Project) na Serengeti (ujenzi wa barabara). Hii itategemea sana na namna wabunge wetu watakavyojadili na kutoa michango yao;na muundo wa commission husika.

Hapa tunaweza kuwalaumu wakenya,wakati wanaopaswa kulaumiwa ni hao wawakilishi wetu ambao hawafahamu nini kimewapeleka huko kwenye EALA! Tunapeleka watu bogus EALA,halafu tunatarajia kupata maamuzi ya kueleweka,kweli?!
 
Sijui ni nani aliye/anayeandaa vitabu vya historia ya Kenya ndani ya bara la Africa? Huyo mtu ni mahiri sana maana amefanikiwa kuaminisha watu mambo anayotaka yeye huyo mwaandaji. Historia ya Kenya kwenye ukombozi wa nchi nyingi Africa si nzuri, there are scars of biblical propotions na lingekuwa jambo la kiungawana kutumia historia kama mwalimu ili kuboresha mambo huko mbeleni. Wakati nchi nyingi zijitoa kwa "pesa na maisha" na kushinikiza trade embargos na Afrika Kusini, serikali ya Kenya waliona opportunity nzuri ya kufanya biashara na makaburu! Hili ni doa baya sana. Sina hakika wananchi wa Kenya walijua kwa kina hili? tuachie hapo.

Pia ni vema tuelezane historia ya Tanzania na nchi SADC. Najua Kenya for reasons only known to them hawapendi sana kusikia hili jina - SADC. Lakini nchi nyingi za SADC na Tanzania wanatoka mbali. Tanzania ilitumika kama kambi kwa nchi nyingi zilizokuwa zinapigania uhuru. Na walikaa Tanzania kwa gharama za watanzania. Viongozi wengi wakiwemo Sam Nujoma, Thabo Mbeki, Chissano na wengine wengi wameishi Tanzania wakati wa harakati za kudai uhuru. Chissano anaongea kiswahili safi utadhani ni mdengereko. Ukitaka kujua just kidogo tu mchango wa Tanzania kwenye uhuru wa nchi kusini mwa Afrika kaa na mtu kama Chissano. Point ninayotaka kuiweka hapa ni kwamba relations kati ya Tanzania na nchi za SADC is beyond trade, siasa, etc. Ni historia ndefu iliyojaa matukio mengi including watu kupoteza maisha kwenye harakati za uhuru.

Mtu kama Joseph Kabila na baba yake Kabila sr wote walikuwa hapa bongo na hata sasa hivi ndugu zake Joseph (Kabila jr) wanaishi Dar. Wao wamefika, mambo ya DRC ni ya Joseph as far as they are concerned. Wakati anachukua madaraka Joseph alikuwa anaongea vizuri Kiswahili kuliko kilingala. It is a mini scandal lakini kajitahidi kujua lugha yao.

How about EAC
Hii ni second edition ya EAC. Ya kwanza ilivunjika and by the power of (holy spirit?) Kenya walichuka mpaka mbao! Tanzania walibaki mdogo wazi! So, it is only natural that tunapojaribu kujenga jumuiya mpya kutoingiza 'sintofahamu' kwenye process. Ninavyofahamu mimi, Kenya wangetaka sana ku-fast track huu muungano. Msimamo wa Tanzania wa kutaka kwenda hatua kwa hatua umekuwa unatafsiriwa kama 'vuguvugu'. Na mara nyingi SADC inaonekana kama 'jini' linalompa Tanzania kigugumizi.

Ili EAC ya sasa iende mbele ni lazima kukubaliana mambo ya pamoja bila kuathiri agreement au niseme mipango ya ndani ya member state. Watanzania wengi sana hawana hamu na hiki kinachoitwa EAC, lakini wengependa kuwa mahusiano mazuri kibiashara (na sio hizi ngonjera za federation). Na kwa hakika ardhi ni very sensitive subject. Kwa sasa kuna kelele nyingi sana kwa sababu serikali imewapa wawekezeji ardhi kwenye baadhi ya mikoa. Kuingiza ardhi kwenye EAC ni mbaya kuliko Rais wa marekani abadili dini angali akiwa white house na kuwa mwislam. Inawezekana lakini inabidi rais awe na kichwa cha mwendawazimu ili afanye hivyo.

Kuhusu ushiriki wa Tanzania kwenye migororo kwenye ukanda wa EA, mara nyingi migogoro hii inakuwa ndani. Mfano Burundi na Rwanda. Lakini hata hivyo Tanzania imekuwa ndio home away from home kwa watu wengi toka hizi nchi. Na kwa taarifa tu wakimbizi toka Burundi wapo toka 1972.

Kwa upande wa Somalia, kama utakumbuka hii operation ya sasa kwa mfano (operation linda nchi) wakati inaanza mawasiliano ndani ya EAC hayakuwa clear. Nchi wanachama walisema wazi hawajaelewa ni nini hasa lengo la hiyo operation. Na mambo yalikuwa hivyo hadi pale wakubwa walipokutana London. Hata hivyo nakubali geographically, Kenya inadhurika zaidi na matatizo ya Somalia hivyo wanakuwa wa kwanza ku-react. Kwa upaande wa Tanzania, knowing what we know ni vigumu kwangu mimi kuamini kwa mfano leo hii Tanzania ikiwa kwenye mgogoro na nchi jirani i.e Malawi au Zambia, Kenya watasaidia. Labda kama mambo yamebadilika siku hizi lakini historia ya Kenya inaweza kutupa dira!.

NB: Kibaridi, Mandela alikaa jela miaka 27 na sio 35.
 
Last edited by a moderator:
Huo muswada unatoa maana zipi juu ya transboundary ecosystems? Unasema transboundary ecosystems katika Afrika Mashariki ni zipi?

Kama Tanzania tuna sheria ambazo bado zinaheshimiwa na nchi nyingine za jumuiya,wasiwasi wa nini? Halafu pia ile EA Protocol and Treaty imeongelewa suala la kuharmonise sheria zozote zitakazotungwa na jumuiya ili kuepuka mkanganyiko na muingiliano wa sera na sheria katika nchi za jumuiya.

Mimi naona sheria hii itakuwa na manufaa zaidi kwa Tanzania kama wabunge tuliowatuma wataumiza vichwa vyao. Kwani uwepo wa commission hiyo kutaweza kuleta environmental standards ambazo zitaondoa makelele kama yale yaliyotokea pale Lake Natron (Soda Ash Project) na Serengeti (ujenzi wa barabara). Hii itategemea sana na namna wabunge wetu watakavyojadili na kutoa michango yao;na muundo wa commission husika.

Well said, well done Mkuu - lakini swali ni: Hivi hizo sheria zitaheshimika kweli au tutabaki tunapoteza muda katika maswala ya ku-ammend clauses fulani fulani, going back and forth like a YOYO!

Hapa tunaweza kuwalaumu wakenya,wakati wanaopaswa kulaumiwa ni hao wawakilishi wetu ambao hawafahamu nini kimewapeleka huko kwenye EALA! Tunapeleka watu bogus EALA,halafu tunatarajia kupata maamuzi ya kueleweka,kweli?!

Ni kweli Wakenya wana-exploit mwanya wa wawakilishi wetu kutokuwa makini katika mijadala kwenye Bunge la EALA, sijuhi hii inatokana na nini - njaa au kutomudu vema kuzungumza kingereza! Mimi niko very much concerned na baadhi ya wabunge walio teuliwa juzi - infact naweza kutaja jina, huyu Ms Rose Bhanji she speaks a very refined English lakini alipo ulizwa maswali kuhusu mambo ya Jumuhia ya Africa Mashariki na anawezaje kusimamia maslahi ya TAIFA letu? Alishindwa miserably kujibu swali! alionekana wazi alikuwa hajafanya homework ipasavyo! Nilishangaa sana alipo kuwa kwenye orodha ya wale walio pata kura nyingi!!

Juzi juzi Spika wa Bunge Mh. Anna Makinda (Mb) she didn't mince words, alimwambia Rhose kwamba alionekana anakwenda nyumbani kwa Barozi wa Kenya! Rhose kasahau kabisa kuhusu mambo ya "Conflict of Interest" haya ameyafanya hapa Dar, je akienda Arusha ambako atumuoni atafanya nini? Can you rule out anything! - Mimi ningekuwa na uwezo katika bunge hili ningependekeza avuliwe ubunge wa EALA kwa kuwa nyenendo zake zinatia shaka sana, tumuache aendelee na kazi zake kwenye BENKI.

Jembe letu pale ni Makongoro Nyerere akifuatiwa na Kimbisa.
 
Back
Top Bottom