James Rutasitara
Member
- Sep 16, 2017
- 22
- 87
Hi Good People.
Nimeoona ni vyema nikuhusishe kwenye hili jambo ili nijue kama unaweza kwa nafasi yako kufanya uchunguzi na kuondoa doubt ya haya ninayotaka kuyaongea ili na wewe uliwasilishe hili bungeni kwa lengo la kutaka kupima utashi wa serikali katika kuinua au kuua taasisi za kifedha,
Kabla ya kuedelea na hili naomba nikueleze kamba, private sector sio mshindani wa serikali bali ni partner wa serikali, ipo dhana ambayo serikali inajihadi kuimanisha hadhira kwamba private sector ni mshindani, this is totally wrong, ili kucatalize economic growth jambo kubwa ni kuhakikisha jamii inaelewa kwamba private sector engagement is inevitable.
Naomba nianze hvi.
Baada ya serikali kupitia TRA kuzibana benki kwa lengo la kuhakikisha zinacomply na e-tax banking, sasa hivi serikali imekuja na tender ambayo wanataka benk wakubaliane na TRA KWAMBA, kwa kila benki inayotakiwa kukusanya kodi za serikali lazima iweke deposit ya 10bil despite of the bank size na baada ya kudeposit hiyo pesa, bsi watapewa kibali cha kukuanya government tax na fao lao itakuwa ni 0.25% per collection.
Serikali inadhamilia kuua Banks, wapi tunaenda kupata 10bil? From creditors? From where?
Na hii ndo shida ya kuwa na watu ambao wako more of theory other than practical, sidhan kama mtu anayewaza sawa anaweza kuja na kitu kama hiki, this Government is more of control badala ya kufungua milango ya watu wengine washawishike na kuwekeza kwenye banking industry, practically,. Mimi ninapokusanya pesa ya serikali maana yake nadebit account ya mteja na kutuma pesa siku hiyo, why should I depost 10bil? Ingemake sense kubwa sana kama nadebit wateja and then nakaa na hiyo pesa kwa lengo la kuizalisha at lest 6months ili nijaribu kuangalia kama naweza kurecover 10bil niliyodeposit through Ivestiment. wao wanataka 10bil tupeleke BOT ikae pale kama ilivyo Statutory Minimum reserve, hii ni akili gani?
Serikali ina wafanyakazi 700max, private sector as a whole not less than 2.6mil. ili kucontrol unemployment rate lazima tuendelee kuencouradge private sector badala ya kuwasupress. Hivi haw watu wana nini vichwani mwao? Is it fine kwa hili wanalolifanya kweli? A lot of business are crossing down, people are loosing their jobs, multiplier effect is too massive lakini hili hawalioni?
Naomba kwa nafasi yako kama mbunge mwenye uchungu na nchi, tafuta tender moja au mbili ambazo zimetuma kwa banks usome kwa muda wako and then utafuta namna ya kuadress hili tatizo ndani ya bunge hili kabla halijaisha and then tujue namna ya kutoka hapa sababu kila mtu kwenye banking industry yuko kwenye cross road, we have a lot of pickels at the mid of this journey, tuliowatengemea watusaidie kutoka hapa ndo wa kwanza kuturudisha nyuma, dhamira ya hawa watu ni nini.
Nimeoona ni vyema nikuhusishe kwenye hili jambo ili nijue kama unaweza kwa nafasi yako kufanya uchunguzi na kuondoa doubt ya haya ninayotaka kuyaongea ili na wewe uliwasilishe hili bungeni kwa lengo la kutaka kupima utashi wa serikali katika kuinua au kuua taasisi za kifedha,
Kabla ya kuedelea na hili naomba nikueleze kamba, private sector sio mshindani wa serikali bali ni partner wa serikali, ipo dhana ambayo serikali inajihadi kuimanisha hadhira kwamba private sector ni mshindani, this is totally wrong, ili kucatalize economic growth jambo kubwa ni kuhakikisha jamii inaelewa kwamba private sector engagement is inevitable.
Naomba nianze hvi.
Baada ya serikali kupitia TRA kuzibana benki kwa lengo la kuhakikisha zinacomply na e-tax banking, sasa hivi serikali imekuja na tender ambayo wanataka benk wakubaliane na TRA KWAMBA, kwa kila benki inayotakiwa kukusanya kodi za serikali lazima iweke deposit ya 10bil despite of the bank size na baada ya kudeposit hiyo pesa, bsi watapewa kibali cha kukuanya government tax na fao lao itakuwa ni 0.25% per collection.
Serikali inadhamilia kuua Banks, wapi tunaenda kupata 10bil? From creditors? From where?
Na hii ndo shida ya kuwa na watu ambao wako more of theory other than practical, sidhan kama mtu anayewaza sawa anaweza kuja na kitu kama hiki, this Government is more of control badala ya kufungua milango ya watu wengine washawishike na kuwekeza kwenye banking industry, practically,. Mimi ninapokusanya pesa ya serikali maana yake nadebit account ya mteja na kutuma pesa siku hiyo, why should I depost 10bil? Ingemake sense kubwa sana kama nadebit wateja and then nakaa na hiyo pesa kwa lengo la kuizalisha at lest 6months ili nijaribu kuangalia kama naweza kurecover 10bil niliyodeposit through Ivestiment. wao wanataka 10bil tupeleke BOT ikae pale kama ilivyo Statutory Minimum reserve, hii ni akili gani?
Serikali ina wafanyakazi 700max, private sector as a whole not less than 2.6mil. ili kucontrol unemployment rate lazima tuendelee kuencouradge private sector badala ya kuwasupress. Hivi haw watu wana nini vichwani mwao? Is it fine kwa hili wanalolifanya kweli? A lot of business are crossing down, people are loosing their jobs, multiplier effect is too massive lakini hili hawalioni?
Naomba kwa nafasi yako kama mbunge mwenye uchungu na nchi, tafuta tender moja au mbili ambazo zimetuma kwa banks usome kwa muda wako and then utafuta namna ya kuadress hili tatizo ndani ya bunge hili kabla halijaisha and then tujue namna ya kutoka hapa sababu kila mtu kwenye banking industry yuko kwenye cross road, we have a lot of pickels at the mid of this journey, tuliowatengemea watusaidie kutoka hapa ndo wa kwanza kuturudisha nyuma, dhamira ya hawa watu ni nini.