CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
E-governance (electronic Governance) ni mfumo wa kiutawala unaotumia njia za mawasiliano kama simu, internet n.k kufikisha huduma kwa wana-nchi kule waliko.
Mfano mwananchi anaweza kulipa Ada/kodi kupitia internet bila kulazimika kupanga foleni TRA
....HUKU kwetu, E - Governance ni viongozi kuingia FACE-BOOK?!!!
Wacha Raia wafesibuke...
Hapa chini ndio uchumu wa nchi ya Mugabe ulivyo sasa.
3 Eggs kwa 100 Billion Zimbabwean Dollars
Mfano mwananchi anaweza kulipa Ada/kodi kupitia internet bila kulazimika kupanga foleni TRA
....HUKU kwetu, E - Governance ni viongozi kuingia FACE-BOOK?!!!
Wacha Raia wafesibuke...
Hapa chini ndio uchumu wa nchi ya Mugabe ulivyo sasa.
3 Eggs kwa 100 Billion Zimbabwean Dollars