e-GA inahujumiwa

olimpio

JF-Expert Member
Apr 5, 2023
402
834
Miezi takribani sita imepita niliandika juu ya njama za viongozi waandamizi wa serikali kuihujumu mamlaka ya serikal mtandao(e-GA). Mipango ya e-GA kuzuiwa kufanya majukumu ya uundaji wa mifumo ya serikali ili waandamizi watafute kampuni binafsi kufanya hayo imeanza kufanikiwa.

Leo Wizara ya TEHAMA imeingia makubaliano na NMB ili NMB iwe inalipwa na serikali kutengeneza mifumo ya TEHAMA ya serikali.

Kwa mujibu wa MOU iliyo sainiwa leo , NMB atatoa wataalamu wa TEHAMA(Software developers) kutengeneza mfumo utakao replace NIDA na RITA ,kama mnavyofahamu ,serikali inakuja na jamii number ,namba ambayo mtoto akizaliwa atakuwa nayo na atakua nayo ,initiative nzuri sana lakiniiiii, kulikua na ulazima gani wa mradi nyeti kama huu kupewa taasisi binafsi? wafanyakazi wa NMB wana proper vetting kuanza kushika mifumo ya siri namna hii?

Achana na jamii bima, ESB ambayo tayari ipo e-GA na inafanya kazi, Wizara ya TEHAMA imeamuru NMB kupewa tender kupitia MOU hio wao ndio watengeneze ESB ya serikali, yaani mawasiliano ya mifumo yote ya serikali ananyang'anywa e-GA na anapewa NMB why?

Hivi nchi hii tuna mawaziri wanaofikiria kweli? Haya ndio mambo ya waziri alikuja na kufuta physics akasema iwe physics with chemistry, waziri huyo wa zamani alifuta masomo ya biashara na kilimo pia kabla ya serikali ku reverse maamuzi hayo, lakini kama mnakumbuka kuna watanzania walifutiwa masomo hayo.

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa maslahi ya nani?

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa kumkomoa nani?



1706298776660.png
 
Miezi takribani sita imepita niliandika juu ya njama za viongozi waandamizi wa serikali kuihujumu mamlaka ya serikal mtandao(e-GA). Mipango ya e-GA kuzuiwa kufanya majukumu ya uundaji wa mifumo ya serikali ili waandamizi watafute kampuni binafsi kufanya hayo imeanza kufanikiwa.

Leo Wizara ya TEHAMA imeingia makubaliano na NMB ili NMB iwe inalipwa na serikali kutengeneza mifumo ya TEHAMA ya serikali.

Kwa mujibu wa MOU iliyo sainiwa leo , NMB atatoa wataalamu wa TEHAMA(Software developers) kutengeneza mfumo utakao replace NIDA na RITA ,kama mnavyofahamu ,serikali inakuja na jamii number ,namba ambayo mtoto akizaliwa atakuwa nayo na atakua nayo ,initiative nzuri sana lakiniiiii, kulikua na ulazima gani wa mradi nyeti kama huu kupewa taasisi binafsi? wafanyakazi wa NMB wana proper vetting kuanza kushika mifumo ya siri namna hii?

Achana na jamii bima, ESB ambayo tayari ipo e-GA na inafanya kazi, Wizara ya TEHAMA imeamuru NMB kupewa tender kupitia MOU hio wao ndio watengeneze ESB ya serikali, yaani mawasiliano ya mifumo yote ya serikali ananyang'anywa e-GA na anapewa NMB why?

Hivi nchi hii tuna mawaziri wanaofikiria kweli? Haya ndio mambo ya waziri alikuja na kufuta physics akasema iwe physics with chemistry, waziri huyo wa zamani alifuta masomo ya biashara na kilimo pia kabla ya serikali ku reverse maamuzi hayo, lakini kama mnakumbuka kuna watanzania walifutiwa masomo hayo.

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa maslahi ya nani?

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa kumkomoa nani?



View attachment 2883959
Inasikitisha sana, hapo utakuta rais mwenye keshapewa 10% yake wala hana habari!

NB: Unashangaa hilo? Kuna kipindi TANESCO walinunua mfumo india kwa mabilioni wakati eGA wangeweza fanya hiyo kazi.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Miezi takribani sita imepita niliandika juu ya njama za viongozi waandamizi wa serikali kuihujumu mamlaka ya serikal mtandao(e-GA). Mipango ya e-GA kuzuiwa kufanya majukumu ya uundaji wa mifumo ya serikali ili waandamizi watafute kampuni binafsi kufanya hayo imeanza kufanikiwa.

Leo Wizara ya TEHAMA imeingia makubaliano na NMB ili NMB iwe inalipwa na serikali kutengeneza mifumo ya TEHAMA ya serikali.

Kwa mujibu wa MOU iliyo sainiwa leo , NMB atatoa wataalamu wa TEHAMA(Software developers) kutengeneza mfumo utakao replace NIDA na RITA ,kama mnavyofahamu ,serikali inakuja na jamii number ,namba ambayo mtoto akizaliwa atakuwa nayo na atakua nayo ,initiative nzuri sana lakiniiiii, kulikua na ulazima gani wa mradi nyeti kama huu kupewa taasisi binafsi? wafanyakazi wa NMB wana proper vetting kuanza kushika mifumo ya siri namna hii?

Achana na jamii bima, ESB ambayo tayari ipo e-GA na inafanya kazi, Wizara ya TEHAMA imeamuru NMB kupewa tender kupitia MOU hio wao ndio watengeneze ESB ya serikali, yaani mawasiliano ya mifumo yote ya serikali ananyang'anywa e-GA na anapewa NMB why?

Hivi nchi hii tuna mawaziri wanaofikiria kweli? Haya ndio mambo ya waziri alikuja na kufuta physics akasema iwe physics with chemistry, waziri huyo wa zamani alifuta masomo ya biashara na kilimo pia kabla ya serikali ku reverse maamuzi hayo, lakini kama mnakumbuka kuna watanzania walifutiwa masomo hayo.

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa maslahi ya nani?

Waziri wa TEHAMA unaua e-GA kwa kumkomoa nani?



View attachment 2883959

Yaleyale ya January Makamba kuleta kampuni binafsi la wahindi kwa mabilioni ya fedha la NIKONEKT alafu hakuna kilichofanyika
 
Miezi takribani sita imepita niliandika juu ya njama za viongozi waandamizi wa serikali kuihujumu mamlaka ya serikal mtandao(e-GA). Mipango ya e-GA kuzuiwa kufanya majukumu ya uundaji wa mifumo ya serikali ili waandamizi watafute kampuni binafsi kufanya hayo imeanza kufanikiwa.
Wabongo tupunguze ujuaji, kwamba NMB ihujumu serikali!! wakati serikali inamiliki 40% ya benki hiyo?
 
Yaleyale ya January Makamba kuleta kampuni binafsi la wahindi kwa mabilioni ya fedha la NIKONEKT alafu hakuna kilichofanyik

Sasa mnataka mtengeneze mifumo ya fedha kwa kutumia open source application ambazo usalama wake ni tia maji,
Mnadhani kwa vile unajua kutengeneza basi, kila kitu kinawezekana kama vile ulivyofanya project yako ya chuo
GEPG imetengenezwa kwa open source? are you real serious asking this qn?
yaani mifumo yote iliyotengenezwa na e-GA imetengenezwa kwa open source au sio?
 
Wabongo tupunguze ujuaji, kwamba NMB ihujumu serikali!! wakati serikali inamiliki 40% ya benki hiyo?
Hujui unachokiongea?
yaani kisa ni NMB msign kuipa billions of money kutengeneza mifumo ambayo tayari ipo serikalini?
ESB ipo up and running pale e-GA ,unataka kutengeneza nyingine ili ugundue nini?
watu wanapiga hela mnaendekeza unazi
 
Nitacommeny kitaalamu maana ni tasnia yangu.
Kwa Tanzania IT wa mashirika binafsi na wa serikalini ni mbingu na ardhi.
IT wanatengeneza system mbovu kuanzia user interface, nzito kuload na withoutdated technology.
Nitajie mfumo wowote wa serikali usiointegrate na private sector ulio stable.
 
Nitacommeny kitaalamu maana ni tasnia yangu.
Kwa Tanzania IT wa mashirika binafsi na wa serikalini ni mbingu na ardhi.
IT wanatengeneza system mbovu kuanzia user interface, nzito kuload na withoutdated technology.
Nitajie mfumo wowote wa serikali usiointegrate na private sector ulio stable.
bahati mbaya sana hujataka kuangalia e-GA wanachokifanya , wana produce best software na nina uhakika una image ya mifumo ya serikalini miaka 10 iliyopita huna experience latest ya mifumo ya serikali
 
Wabongo tupunguze ujuaji, kwamba NMB ihujumu serikali!! wakati serikali inamiliki 40% ya benki hiyo?
Wewe kichwa maji sana 40% ndio inakufanya uamini NMB apewe hiyo kazi?

-Wafanyakazi wa NMB wanalipwa na kuajiriwa na nani? What's the vetting process?
-sera ya usiri katika kazi NMB ipoje
-NMB ni taasisi ya kifedha, inawezekana vipi wapewe kazi ya mifumo ya kielectronic wakati business line yao ni kudeal na fedha na sio technology.
-Kumbuka mwenye hisa kubwa ndiye muamuzi mkuu, sasa serikali itaweza kusema nini kuhusu mambo yakienda tofauti?

Moja, tunaitaka NMB na SERIKALI watuwekee business license kwamba NMB pia wana deal na kuendesha biashara au huduma za kiteknilojia

Pili, mfumo wa ega unahusisha malipo na huduma mbalimbali kwa serikali, hivyo serikali ituhakikishie kuwa hakuna taarifa au malipo yatakayochepushwa kwenda NMB.

Tatu, sasa ni wakati wa ofisi ya CAG watumishi wake wachaguliwe hasa Chief officer asiteuliwe na rais ili awe huru kupitia na kukagua taasisi mbalimbali.

NB. Kuna mfumo wa malipo serikalini GePG hasa upande wa manunuzi ya umeme kuna wizi wa uchepushaji fedha za manunuzi ya umeme unafanyika huko, yaan ni kufuru huko hatari.
 
Kwani,kama ni open tender, na NMB ina watu wanaoweza kufanya hiyo kazi, tatizo lipo wapi?
Kama unadai issue ya taarifa nyeti, nani hawezi kuzifikia kama ni successful bidder(aliyeshinda tender)! Au unadhani kila developper anaweza kufanya hiyo kazi?
 
Kwani,kama ni open tender, na NMB ina watu wanaoweza kufanya hiyo kazi, tatizo lipo wapi?
Kama unadai issue ya taarifa nyeti, nani hawezi kuzifikia kama ni successful bidder(aliyeshinda tender)! Au unadhani kila developper anaweza kufanya hiyo kazi?
Umeanza kwa kusema "kama". Ungejihakikishia kabla ya kuandika. Kwani developer wa NMB wana akili gani kiasi developer wa e-GA hawana?
 
Sasa huyo GEPS unauona ni mfumo wa maana sana? Unahitaji exposure sana.
Mfumo kama 3 year project ya watoto wa chuo
Hawa watu bado sana, halafu inaonekana huyu yeye hata hajui hio mifumo imetengenezwa vipi
Ni kweli wanasource ujingaujinga kwa vile ipo mtandaoni wanadhani basi inawezekana
Ndio maana Microsoft au Google wanashindwa kufungua ofisi hapa, sababu wakiambiwa gharama za AWS au Azure, watajifanya kuwa wao wataleta mfumo rahisi ndio wanaenda kuokoteza mitandaoni kama project ya chuo
 
Kwani,kama ni open tender, na NMB ina watu wanaoweza kufanya hiyo kazi, tatizo lipo wapi?
Kama unadai issue ya taarifa nyeti, nani hawezi kuzifikia kama ni successful bidder(aliyeshinda tender)! Au unadhani kila developper anaweza kufanya hiyo kazi?
Hii ni single source tender, ili bidi iwe international competitive tender na iwe hadi 5 stage tender. Hapo wana deal na taarifa nyeti.

Ingekuwa international competitive tender NMB asingeweza kushinda hata hivyo NMB ana deal na pesa sasa kama anadeal pia na technology basi watuwekee hadharani business license tuione pia . Maana all current registered business tunazijua, kuna mafile na mafile yapo stored somewhere huko.
 
Back
Top Bottom