E FM sio vizuri kumtumia Maestro kumshambulia Mo Dewji

E FM sio vizuri kumtumia Maestro kumshambulia Mo Dewji

Soka Ndio Maisha Yangu

Senior Member
Joined
Nov 27, 2024
Posts
110
Reaction score
377
Ibrahim Masoud Maetsro amewahi kuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya Simba, hivyo hakuna shaka anapata habari nyingi za Simba kutoka kwa viongozi wenzake wa zamani, Maestro anapozungumza anaongea vitu ndani ya Simba vinavyoendelea.

Viongozi wa zamani wa Simba wanamtumia yeye kutumia redio kumkandia Mo Dewji kwa maslahi yake binafsi.

Hata hili suala la kuwa Simba hadi leo hakuna hata mchezaji mmoja aliesajiliwa sio la uongo, ameambiwa na watu wa ndani kabisa.

Sasa kimaadili Maestro kutumia media anayofanyia kazi kuchokonoa na kuzusha mtafaruku ndani ya Simba sio sawa hata kidogo.

Kila kinachoendelea ndani ya Simba yeye anakipinga tu.

Halafu mfatilie haisemi bodi ya wakurugenzi ila yeye anam attack Mo Dewji.

It is a general rule kama uliwahi kuongoza Simba halafu unatumia media kukosoa mambo yanayoendelea ndani ya uongozi unapaswa kukaa pembeni, usitumie media kuharibu brand ya Simba.

Inaonekana mpango uliopo ss ni kumvuruga Mo aachie timu ili wajanja wanaondaliwa waichukue, Mo kashaweka Bilion 87 had ss, unawezaje kumuondoa kizembe zembe namna hii, hawezi kuachia timu ss hv hata iweje, hata mkimpigisha shoti yeye anakwenda nayo had ajue mwisho wake.

Angalieni watani zetu GSM ndio wanaongoza Yanga, wanasajili wao na leo tumeona Balla Conte akistorika kwa kucheza chess na Injinia Hersi, kazi ipo msimu ujao kama hatukula mkono au 10 sijui
 
Ibrahim Masoud Maetsro amewahi kuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya Simba, hivyo hakuna shaka anapata habari nyingi za Simba kutoka kwa viongozi wenzake wa zamani, Maestro anapozungumza anaongea vitu ndani ya Simba vinavyoendelea.

Viongozi wa zamani wa Simba wanamtumia yeye kutumia redio kumkandia Mo Dewji kwa maslahi yake binafsi.

Hata hili suala la kuwa Simba hadi leo hakuna hata mchezaji mmoja aliesajiliwa sio la uongo, ameambiwa na watu wa ndani kabisa.

Sasa kimaadili Maestro kutumia media anayofanyia kazi kuchokonoa na kuzusha mtafaruku ndani ya Simba sio sawa hata kidogo.

Kila kinachoendelea ndani ya Simba yeye anakipinga tu.

Halafu mfatilie haisemi bodi ya wakurugenzi ila yeye anam attack Mo Dewji.

It is a general rule kama uliwahi kuongoza Simba halafu unatumia media kukosoa mambo yanayoendelea ndani ya uongozi unapaswa kukaa pembeni, usitumie media kuharibu brand ya Simba.

Inaonekana mpango uliopo ss ni kumvuruga Mo aachie timu ili wajanja wanaondaliwa waichukue, Mo kashaweka Bilion 87 had ss, unawezaje kumuondoa kizembe zembe namna hii, hawezi kuachia timu ss hv hata iweje, hata mkimpigisha shoti yeye anakwenda nayo had ajue mwisho wake.

Angalieni watani zetu GSM ndio wanaongoza Yanga, wanasajili wao na leo tumeona Balla Conte akistorika kwa kucheza chess na Injinia Hersi, kazi ipo msimu ujao kama hatukula mkono au 10 sijui
safari hii mpk GSM ikae pembeni ya sanda pale,ndo tutelewana vizuri
 
Kubwa zaidi makolo wana umasikini wa viongozi,
hao ndo wamesababisha wawe na umasikini wa kushinda mechi za dabi,
hao hao ndo sababu ya umasikini wa vikombe.
 
Hizi propaganda unazoanzishia thread humu hazitasaidia wewe kapuku ..waambie na hao makapuku wenzako waliokutuma ...kama mnataka mo aondoke kama Kuna kidume kweli alietahiriwa amwekee mo dewji bilioni 100+ kwenye akaunti yake ...muache hizi kelele za kipumbavu.
 
Hiyo bil. 87 unayosema Mo ameweka imethibitishwa na Auditor gani au inabidi tuamini kwa kuwa Mo kasema?
Uache umbumbumbu
 
Chukua hiyo
 

Attachments

  • Screenshot_2025-07-18-18-54-39-34_1c337646f29875672b5a61192b9010f9.jpg
    Screenshot_2025-07-18-18-54-39-34_1c337646f29875672b5a61192b9010f9.jpg
    561.4 KB · Views: 16
Kazi kweli kweli. Wenzenu wanasajili, nyinyi ndiyo kwanza mko kwenye malumbano. Baadaye mnaokoteza magarasa, halafu mkikosa ubingwa mnamlalamikia GSM kudhamini timu 8 kwenye ligi!
 
Back
Top Bottom