DVR,Camera na router zinauzwa

DVR,Camera na router zinauzwa

kizo83

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2016
Posts
354
Reaction score
335
DVR yenye screen hapo hapo pamoja na camera zake 4 pia na router zinauzwa,zimetumika muda mfupi sana.

Hii inawafaa kwa wale wanaotaka kufunga security camera nyumbani,dukani n.k.

DVR hii inasupport kuweza kuona kinachoendelea sehemu uliyofunga camera zako kwa kupitia simu yako ya mkononi kwa kuunganisha na hiyo router na modem.

Ni PM kama utahitaji.

0685171861.

Bei ni 300,000/= tu.

IMG_20180504_210140.jpg
IMG_20180504_210130.jpg
IMG_20180504_210110.jpg
 
DVR yenye screen hapo hapo pamoja na camera zake 4 pia na router zinauzwa,zimetumika muda mfupi sana.

Hii inawafaa kwa wale wanaotaka kufunga security camera nyumbani,dukani n.k.

DVR hii inasupport kuweza kuona kinachoendelea sehemu uliyofunga camera zako kwa kupitia simu yako ya mkononi kwa kuunganisha na hiyo router na modem.

Ni PM kama utahitaji.

0685171861.

Bei ni 300,000/= tu.

View attachment 765980View attachment 765981View attachment 765982
Laki 3?? Camera nne + dvr duh kwa nn unauza
 
Back
Top Bottom