Ngongoseke
JF-Expert Member
- Jan 1, 2012
- 3,203
- 1,462
Nlipokwenda libya kumtafuta Seif al-islam ndio nikajua kumbe waswahili hatuna tulichoanzisha hata lugha tumekopa kwa warabu tena kwa kiwango kikubwa mno! Kuna maneno nlikuwa najua yakibantu kumbe ni yao,mfano,
1,Afande
2,Sumu
3,Dirisha
Hebu endeleza na yako unayoyajua!!
Hivi wataalum wetu wa kiswahili kina Prof safari wameshindwa kuleta maneno mbadala ili tutumie lugha yetu kamili bila kuazima?
1,Afande
2,Sumu
3,Dirisha
Hebu endeleza na yako unayoyajua!!
Hivi wataalum wetu wa kiswahili kina Prof safari wameshindwa kuleta maneno mbadala ili tutumie lugha yetu kamili bila kuazima?