Duu,wanawake wa mjini noooomaaaaaa!!!

Sitakutumia tena hela ukiniambia una shida,kumbe ndo ka mchezo kakoeeeeh!!

Ayii wewe, unapohitaji rescue ni lazima utegemee zaidi ya mtu mmoja maana waweza kuwa kwenye Mazingira ambayo ni ngumu kunirescue.

Sasa nikimuomba kaka yangu KIKUNGU kuna ubaya gani, wakati unajua ni kaka yangu!
 
Last edited by a moderator:

Wanaume ni wachache wanaopokonya vitu wanawake ila ukikuta mwanamke wameachana na jamaa yake ambae alikuwa anampa support analalamika mpaka anafikia kiwango cha hata kuchanganyikiwa na kukusema kwa watu mpaka utakoma kula vya wanawake lakini mbona kina kaka huwa wanatoa tu wakipigwa chini inwauma lakini maisha yanasonga mbele na akimpata mwingine bado atatoa, tatizo kinadada wengi sio utamaduni wao kumpa mwanaume na hata akimpa wakati mwingine inakuwa kama anamhonga kumshawishi
 
hapo umeona watatu tu waliokuja physically,je waliotuma hela kwa Mpesa au tigopesa ni wangapi?
 
mhh kijana samahani wewe ulisema ulikuwa kwenye foleni.uliwaonaje hao waliokuwa wanakuja na kuondoka?wao walikuwa wanaondoka na barabara ipi wakati kulikuwa na foleni kali mpaka ukapata muda wa kuyaona yote haya?au uliamua kupaki kabisa pembeni ili ushuhudie mpaka mwisho?sijakuelewa mkuu...
 

Mtoa mada alikuwa akiangalia kinachotendeka na hivyo hajui kabisa uhusiano uliopo kati ya huyo mwanamke na hao wanaume...hivyo si vema kuconclude kuwa "amewapanga wanaume" na kwamba si mwaminifu. Mtu akipata shida mara nyingi humtafuta mtu atakaye respond kwa haraka... Yamkini mmoja ni kaka yake, mwingine mpenzi au rafiki
 

Eeee, wajinga ndio waliwao. Ukitaka kula lazima ukubali kuliwa.
 
Hii ni hadithi ya kutungwa japo ina ukweli ndani yake.
 
TUKO WANGAPI? bora mimi kwetu ntuzu ni mkokoteni wa ngo'mbe tu hauishiwi kiwese.
 
Huenda kweli au yote kweli maana unapokuwa observer unaweza sema huyo malaya kumbe unapopata tatizo unaweza kupiga simu kwa watu wanne tofauti wakusaidie na wote waka-respond ukute alivyokuja wa kwanza akamweleza ukweli kuna jamaa mwingine amekuja.


Well said Jodoki...katika observertion nirahisi sana kuwa bias kwa kutafsiri jambo kutokana na mtazamo au imani yako juu ya hilo jambo na hivyo kupoteza ukweli halisi wa jambo lenyewe.
 
Hii ni hadithi ya kutungwa japo ina ukweli ndani yake.
Hmna uongo hata kidogo hakijatungwa kitu,kama unataka kuamini nenda kaulizie madreva taxi pale kinondoni makaburini tena wao ndio walimsaidia kusukuma hiyo gari!!!
 
hizi cctv za mitani bwanaa zina conclude vibayaa
wa kwanza ni chumba wake
wa pili kaka yake
wa tatu baba yake ndo mana akampa na pesa:loco:
 
Duh, hii topic yako imenikumbuka maneno ya King'asti ya jana "Kwani ukifolenishwa una wasiwasi gani wakati wewe ndo unakuwa mwanzo wa mstari? Mtaipata mwaka huu wallah!"

Kaazi kweli kweli......
 
Dah kweli msjini shule, wala huhitaji kutumia nguvu nyingi, ni akili kidogo tu! Na mang'ombe mjini hawaishi hata kidogo, wengine wanakuja kesho, wengine mwezi ujao hadi miaka yote ijayo. Kwahiyo ng'ombe wako siku zote jamani.
 

Best king'ast naomba basi title ya wimbo au jina la aliyeimba maana nimetoka kapa kule Utube...Mie niko poa kabisa namshukuru Mungu.

 
Last edited by a moderator:

Wakati mwingine mazingira huzungumza,sio mpaka mtu aseme!
 

swali la msingi ni kuwa yeye alisimama wapi au iyo foleni ilikuwa inamngoja uyo dada apate mafuta ndo isogee au.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…