Duu hawa Panya...........balaaaa!

Nokla

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
3,190
Reaction score
1,780
Jamaa mmoja alikuwa anasumbuliwa na panya chumban kwake Akawategea sumu kwenye kitimoto, Asubuhi akakuta ujumbe SISI SOTE NI WAISLAMU JARIBU KWENYE SAMAKI!!!
 
Hata waislam wa kipindi hiki cha kikwete wanakula sn sasa hao panya labda hawakuwa na apetait tu. Hicho kitu kitamu balaaaa!
 
Ilikuwa ni kipindi cha mwezi mtukufu nini? Hata mangi jirani yangu analalamika "biashara ya kiti moto siyo kizuri kipindi cha mwezi mtukufu" Nadhani hata panya kipindi hicho walikuwa wamefunga
 
Hata waislam wa kipindi
hiki cha kikwete wanakula sn sasa hao panya labda hawakuwa na apetait
tu. Hicho kitu kitamu balaaaa!

kuna ustaadh huwa anakula akiwa amevaa yale makanzu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…