Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,409
- 31,394
- Thread starter
- #61
UCHAGUZI WA MAREKANI
Kampeni za uchaguzi wa Marekani zinaendelea kwa kasi. Mwishoni mwa wiki hii chama cha Republican kitakuwa na mkutano wao Tampabay, Florida kumuidhinisha Mitt Romney na Paul Ryan kama wagombea wa chama chao.
Baada ya hapo Democrats nao watafanya mkutano wao Carolina kwa minajili hiyo hiyo.
Ikumbukwe kuwa mwaka 2008 Demo walianza kufanya mkutano mkuu wa taifa kwanza wakifuatiwa na Republican.
Hii haitokei kwa kuwahi au kuchelewa bali utaratibu maalumu ambao tutaufafanua.
Uchaguzi wa Marekani ni tofauti na huu wa hapa nyumabani au wa commonwealth countries nyingi. Wao Rais hachaguliwi moja kwa moja kwa kura za wananchi (popular vote). Wana utaratibu wao unaoitwa electral college. Nisisitize kuwa utaratibu wa marekani si wao peke yao kuna nchi na hata vyama vya siasa kama Labour cha Uingereza vina utumia.
Kinachomchagua rais wa marekani ni kura ya mtu lakini si moja kwa moja bali kupitia utaratibu tutakaouleza.
Rais anachaguliwa kwa utaribu gani,tarehe zinapangwa vipi na majimbo gani yenye ushawishi katika kura ni baadhi ya mambo tutakayoyaangalia kwa ukaribu sana katika kipindi hiki.
Itaendelea.......
Kampeni za uchaguzi wa Marekani zinaendelea kwa kasi. Mwishoni mwa wiki hii chama cha Republican kitakuwa na mkutano wao Tampabay, Florida kumuidhinisha Mitt Romney na Paul Ryan kama wagombea wa chama chao.
Baada ya hapo Democrats nao watafanya mkutano wao Carolina kwa minajili hiyo hiyo.
Ikumbukwe kuwa mwaka 2008 Demo walianza kufanya mkutano mkuu wa taifa kwanza wakifuatiwa na Republican.
Hii haitokei kwa kuwahi au kuchelewa bali utaratibu maalumu ambao tutaufafanua.
Uchaguzi wa Marekani ni tofauti na huu wa hapa nyumabani au wa commonwealth countries nyingi. Wao Rais hachaguliwi moja kwa moja kwa kura za wananchi (popular vote). Wana utaratibu wao unaoitwa electral college. Nisisitize kuwa utaratibu wa marekani si wao peke yao kuna nchi na hata vyama vya siasa kama Labour cha Uingereza vina utumia.
Kinachomchagua rais wa marekani ni kura ya mtu lakini si moja kwa moja bali kupitia utaratibu tutakaouleza.
Rais anachaguliwa kwa utaribu gani,tarehe zinapangwa vipi na majimbo gani yenye ushawishi katika kura ni baadhi ya mambo tutakayoyaangalia kwa ukaribu sana katika kipindi hiki.
Itaendelea.......