Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 664
We ninmpumbavu kweli, kwahiyo unafikiri ukimtukana au ukitumia maneno ya kejeli ndio itasaidia nini zaidi ya watu kama mimi kuja kukuvamia na kukuongezea matusi mengine na kuharibu siku yako tu, watu kama nyinyi mpo wengi humu JF na dawa yenu ni hii hii, ni nyundo juu ya nyundo pumbavu kabisa.Begi lina vitu vya thamani ya 4M na wewe unarelax tu umeliweka kwenye carrier unalala usingizi? How stupid of you mkuu? Umejifunza kitu?
Here are your options:
1. Pakata begi
2. Weka miguuni kwako. Likichafuka so what?
3. Weka kwenye carrier ila liwe ndani ya field of view yako bila kugeuza shingo. Maana yake weka kwenye carrier ya upande wa kinyume na siti ulizokaa kwa mbele kidogo ya siti uliyokaa. Kama umekaa kushoto weka kwenye carrier ya kulia siti mbili mbele and vice versa. Mkanda mmoja wa begi lako uning'inie ili ulitambue kirahisi.
Anaposhuka mtu / anaposogea kwenye carrier we unapiga jicho bila kugeuza shingo kuhakikisha usalama wa begi lako.