Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 17,895
- 25,945
Aman iwe nanyi wapendwa wa jukwaa
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Kwa sasa si america wala si london au africa dunia nzima kwa sasa kuna ongezeko la single mother
Kitendo hicho kimeweza kumushitua had msomi wa chuo kikua cha marekan ambaye ni profesa CLINTON MAYALA katika maelezo yake amedai kuwa umoja wa mataifa unatakiwa uangalie namna ya kumaliza tatizo hili la single mother ili nao wapate waume wa kuwaoa
Pia amedai elimu itolewe kwa watu kuhisiana na mazara ya single mother
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app
Husika na kichwa cha habar hapo juu
Kwa sasa si america wala si london au africa dunia nzima kwa sasa kuna ongezeko la single mother
Kitendo hicho kimeweza kumushitua had msomi wa chuo kikua cha marekan ambaye ni profesa CLINTON MAYALA katika maelezo yake amedai kuwa umoja wa mataifa unatakiwa uangalie namna ya kumaliza tatizo hili la single mother ili nao wapate waume wa kuwaoa
Pia amedai elimu itolewe kwa watu kuhisiana na mazara ya single mother
LONDON BABY
Sent using Jamii Forums mobile app