Kaka mimi nimezaliwa Migo migo na kukulia hapo ila hizo mambo huwa sitakagi kuziintertain kabisa ndio maana viwanja vya namna hiyo town huwa naviepuka, then sikutegemea kukutana na huo ushenzi huku chuga
Kakaa hatariii hizo amapiano zikipigwa ndio wanachanganyikiwa, kuna ile ya rayvany sijui anasema onyesha boxer, basi vile vihanisi vikawa vimebinua makalio kabisa huku wamepandisha vibrauzi vyao juu
Hivi yule Dada wa Jf anajiitaga nani? Anakuaga na sorry za South sana, mara ya mwisho niliwahi kusoma story yake kuwa wanataka kuona na kuchukua mtoto, I think walisema walipata mtoto, kitu kama black culture something like that
Hivi yule Dada wa Jf anajiitaga nani? Anakuaga na sorry za South sana, mara ya mwisho niliwahi kusoma story yake kuwa wanataka kuona na kuchukua mtoto, I think walisema walipata mtoto, kitu kama black culture something like that