Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,201
Sauti kwenye hiyo video ya kiume huyo ukikutana nae lazima ujiulize tu labla sura lakini mwili hapanaAtabadilishwa na muhogo mkuu Wala haitaji kutumia gharama![]()
Sauti kwenye hiyo video ya kiume huyo ukikutana nae lazima ujiulize tu labla sura lakini mwili hapanaAtabadilishwa na muhogo mkuu Wala haitaji kutumia gharama![]()
Mkuu hapa umeongopa .... before ya huyu mzee kufanya surgery family yake tayari ilishakuwa maarufu sana tena sana ... ilikuwa tayari kim kesha vujisha sex tape aliyo kuwa ana ngonoka na ray jay ..pia ilikuwa tayari kim ameshaanzisha show yao ya keeping up the kadarshians na kina khloe walikuwa wameshapata umaarufu tayari ...Asingefanya hivyo nadhani hata hiyo familia yake isingekuwa tajiri na umaarufu wowote ule, kuwaelewa Freemansony lazima uwe na akili ya ziada....
Ni ngumu kufafanua kwa undani, kiufupi katimiza masharti baina yake na wale aliyowekeana mikataba nao, wale walioifikisha hiyo familia mahali ilipo sasa....Unataka kumaanisha nini mkuu
Hiyo family achana nayo mkuu ...imevurugwa hatari ..hao wako macho mbele kwenye pesa ..bimkubwa wao mwenyewe kina kim ambaye ndiye alikuwa mke wa huyo mzee shemale .Shida ya huyu jamaa kageuza watoto wake wa kike kuwa role models wake!
Maisha ya watoto wake yamemchanganya kiasi nae anataka afikie walipofikia. Stupid
Dunia ina mtihani na maajabu kwa kweliNi ngumu kufafanua kwa undani, kiufupi katimiza masharti baina yake na wale aliyowekeana mikataba nao, wale walioifikisha hiyo familia mahali ilipo sasa....
Hizo zilikuwa Ni hatua kuelekea hitimisho mzee kujibadili alivyojibadili, kukamilisha mkataba, yaani yooote yalokuwa yanatokea ktk familia hiyo hayakutokea kwa bahati mbaya yalishapangwa, kuwaelewa Freemansony yatakwa uwe na akili ya ziada, wanafanya kitu huwezi kuamini akili ya kawaida Kama kilipangwa...Mkuu hapa umeongopa .... before ya huyu mzee kufanya surgery family yake tayari ilishakuwa maarufu sana tena sana ... ilikuwa tayari kim kesha vujisha sex tape aliyo kuwa ana ngonoka na ray jay ..pia ilikuwa tayari kim ameshaanzisha show yao ya keeping up the kadarshians na kina khloe walikuwa wameshapata umaarufu tayari ...
Tangu mwaka 2011 hiyo family ilikuwa imeshakuwa maarufu . Na wengine tulikuwa tunaitazama show yao kupitia BET channel
Hapo sasa nimekuelewa awali hauku fafanua vyema " ulipaswa kusema kwamba " ametimiza masharti aliyowekewa awali kabla ya hiyo family kuwa ya watu matajiri ....Hizo zilikuwa Ni hatua kuelekea hitimisho mzee kujibadili alivyojibadili, kukamilisha mkataba, yaani yooote yalokuwa yanatokea ktk familia hiyo hayakutokea kwa bahati mbaya yalishapangwa, kuwaelewa Freemansony yatakwa uwe na akili ya ziada, wanafanya kitu huwezi kuamini akili ya kawaida Kama kilipangwa...
Walishalaaniwa hao, unaweza kukuta wanasukumiana Moto wao kwa wao....Hivi mzazi kama huyo ukisema umkatae utapata laana pia![]()
Maana aisee ajabu kwa kweli kutoka kuitwa baba mpaka mama, shetani ana shangaa na yeye🤣🤣🤣🤣Walishalaaniwa hao, unaweza kukuta wanasukumiana Moto wao kwa wao....
Maana aisee ajabu kwa kweli kutoka kuitwa baba mpaka mama, shetani ana shangaa na yeye![]()

freemansory Wana ulimwengu wao mkuu, sio huu wakuamini laana....hata Mzazi wako ruksa kumsukumia motoAaah wacha wewe!hhahaa samahani mkuu "nikazani "inajualikana kwa wotekumbe "nimezani" sivyo
Wewe sasa hivi Simiyu ni mji bhana kidogo tumeanza kuelimika mara ya mwisho kufika Simiyu ni lini?labda anaishi uswekeni huko... simiyu ndan ndan huko...a.k.a nhobolwa!
😅😅last yrWewe sasa hivi Simiyu ni mji bhana kidogo tumeanza kuelimika mara ya mwisho kufika Simiyu ni lini?
ww ulizani najua basi😅Aaah wacha wewe!
View attachment 977953
Huyu wa kati nae vipi 🤣🤣🤣🤣sura imegoma kubadilika au?
Binadamu hawaangalii sura mkuuSauti kwenye hiyo video ya kiume huyo ukikutana nae lazima ujiulize tu labla sura lakini mwili hapana
