Sasa wewe ndio uchague, chura ila kichwani maji... Hadi dawa za watoto wakiiumwa uje uwpe wewe maana haelew ipi aliyombiwa ya mchana na ip ya usiku.... Au chura hamna kichwani yuko smart kila ukirudi mambo yameshaenda safi zamaaani?!!! Chaguo lako mjukuu wngu