Dunia simama nishuke

Ayaaa ushaniharibia kwa manzi angu. Anajua ni picha ya mchepuko na kadiri ninavyozidi kumwelewesha ndivyo anapanic zaidi.. Nitarudi akitulia
 
Ayaaa ushaniharibia kwa manzi angu. Anajua ni picha ya mchepuko na kadiri ninavyozidi kumwelewesha ndivyo anapanic zaidi.. Nitarudi akitulia
Ata sio kweli, kwani hakuangali hali yako ilivyo kiuchumi maana king'oa kitu kama kile lazima uwe imara sokoni
 
Marahabaaa.... Nakuona nakuona unatiririka tu na mifano yako ya michele... Ha ha ha

Not to that extent
bibi bhana.

Niombee nipate chema kizuri cha kukileta ukione kabla haujafa bibi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…