Aishah2016
JF-Expert Member
- Jun 11, 2016
- 2,225
- 2,482
[emoji1] [emoji1]Vivueni[emoji15] [emoji23]
Hizo nyonyo kazipiga jeki mno
Ni Mungu yupi akupe mke Leo ili kesho umwache. Mungu hafanyi biashara za kihasara namna hiyo. Ukichukua umechukua mtajuana mbele hukoMungu wa Yakobo Mungu wa Isaka naomba unipe kama huyu nikae nae wiki mbili!!!
Kwa mfano wewe amekuvutia nini??Achana kabisa na black girls... Wanavutia etiiii
Hahahah jamani watu wanavyosifia tamu utadhani ugali kwa dagaa [emoji2] [emoji2] [emoji2]Tamu sana hizo makitu hasa ukizijulia
Hahahah ila vichengavichenga vinaliwa kwa sababu ya shida tu mkuu [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Haya bwana mkuu
Amini duniani watu ni kama mchele. Kuna mchele wenyewe kama huyo hapo juu na vichengavichenga vya mchele. Ila vyote tunavila.