Dunia kuwachekea Magaidi wa Taliban kuvamia Ikulu itakuwa na madhara makubwa

Ile nchi ni failed state mkuu wanajeshi wengi walikuwa mamluki wa taliban ndio maana mkuu wa jeshi alifutwa kazi
Hahaaaa!!AU hata isipowatambua hao itawapunguzia nini?!tena zamu hii mbona wameteka miji kwa ustarabu tu?!!kwani hakukuwa na upinzani mkubwa, kama rais wa nchi amekimbia, huyo mwanajeshi anapigania nini? Hakuna mauaji makubwa yaliyofanyika, na kulikuwa na makubaliano na USA, kuwa wao wanaondoka hivyo, hivyo wasingetaka kuona wanashambuliwa wakati wanatoa watu wao na kweli hadi sasa, wao USA, wako busy kutoa watu wao wanaowahusu na hadi sasa uwanja wa ndege wa KABUL, uko chini ya majeshi ya nje!!!UN, kwa sasa hana la kufanya, zaidi ya kuwaacha tu waunde serikali yao, na USA, ameshasema pesa zote za serikali ya Afganistan, zilizoko USA, hawatazitoa kwa watalibani!!!wao washirika wako ni RUSSI, CHINA na Uturuki.
 
Mbona magaidi wa Iran kina Ayatollah walipoiondosha serikali halali ya Shah hukuilaumu UN
 
Ungeilaumu pia Serikali ya magaidi ya Zanzibar ya Afro Shiraz walipoipindua Serikali halali ya Jamshud
 
Nashukuru kwa katibu mkuu wa UN kuitisha mkutano wa dharura na kukemea hili jambo japo wametumia lugha laini sana ni kama wametoa baraka kwa magaidi ya taliban kuingia ikulu kwa unyang'anyi
N
Namshukuru balozi wa kudumu wa umoja wa mataifa nchini pakstani amekemea vikali huu upuuzi wa watu wasiostaarabika kuanzia akili mpaka mazingira yao

Nasikitika sana mataifa makubwa km USA na Uk na Russia wanazungumzia kuondoa raia wao tu lkn hawayakemei haya magaidi ya talban

Kwa siku ya jana tu toka magaidi yateke ikulu kumeanza kuripotiwa uvunjifu wa haki za bunadamu km mauaji ya kulipiza kusasi nk
Km mbakumbuka kipindi haya majamaa yalipokuwa yakitawala serkali zote duniani ziliyakata a isipokua nchi moja au mbili za kiarabu zisizostaarabika
Yalikuwa yamekataza watoto wa kike kusoma,yalikataza kuangalia tv na cinema imagine hawa magaidi wanata nn

Hawa wajinga wanapigana wamevaa makobas bado tunawachekea eti wanapigania dini
What a shame dunia inaelekea wapi?

Umoja wa Afrika inatakiwa itoe statement ya kutoitambua hii Serikali ya magaidi
Yes, Qutar, India, Saudi Arabia, Yemen, Kuwait, Iraq, Bangladesh, Morroco, Misri ,Sudan, Waislam wa Tanga-Nyikwa, hawa huwa wanawapinga sana wamarekani WALIPASWA WAO NDIO WAKAPAMBANE NA TWALIBAN, ama unaposema Ulimwengu ulitaka BABA MTAKATIFU AAMURU MAJESHI YA VATICAN yakaingilie huko AFGHAN?
 
Hao UN Ni takataka TU.

Wamesaidia Nini msumbiji ilipovamiwa na magaidi, au mpaka marekani aseme
 
Kinachotokea sio Cha kushangaza,
Serikali iliyokuepo ilkua ikipokea misaada lukuki.

Ila rushwa,ufisadi na ubadhirifu vilitawala.
keki ya taifa ilikua inaliwa na wachache sana.

Viongoz waliishi maisha ghali sana ilhali wananchi,wafanyakazi,wanajeshi na polisi wakiishi maisha magumu.

SIO kwamba
Mgambo wa Taleban Afghanistan kuingia ikulu na nchi haikua na jeshi.

Bali jeshi la serikali lipo,
ila wanajeshi wamegoma kupigana na taleban.

Wameamua kuungana na wananchi kuwaunga mkono Taleban.

Icho ndicho kinachotokea
 
Kabla ya kuanza kutupia lawama jiulize kwa nini jeshi la Afghanistan limewakabidhi Taliban nchi bwereree tu bila purukushani yoyote.
 
Nashukuru kwa katibu mkuu wa UN kuitisha mkutano wa dharura na kukemea hili jambo japo wametumia lugha laini sana ni kama wametoa baraka kwa magaidi ya taliban kuingia ikulu kwa unyang'anyi
N
Namshukuru balozi wa kudumu wa umoja wa mataifa nchini pakstani amekemea vikali huu upuuzi wa watu wasiostaarabika kuanzia akili mpaka mazingira yao

Nasikitika sana mataifa makubwa km USA na Uk na Russia wanazungumzia kuondoa raia wao tu lkn hawayakemei haya magaidi ya talban

Kwa siku ya jana tu toka magaidi yateke ikulu kumeanza kuripotiwa uvunjifu wa haki za bunadamu km mauaji ya kulipiza kusasi nk
Km mbakumbuka kipindi haya majamaa yalipokuwa yakitawala serkali zote duniani ziliyakata a isipokua nchi moja au mbili za kiarabu zisizostaarabika
Yalikuwa yamekataza watoto wa kike kusoma,yalikataza kuangalia tv na cinema imagine hawa magaidi wanata nn

Hawa wajinga wanapigana wamevaa makobas bado tunawachekea eti wanapigania dini
What a shame dunia inaelekea wapi?

Umoja wa Afrika inatakiwa itoe statement ya kutoitambua hii Serikali ya magaidi
Taliban wanatofauti gani na utawala wa ccm mbona wao wanatambulika
 
Mamluki wengi walikuepo jeshini walisaliti jeshi na kuanza kutumikia talban kisirisiri ndio maana mkuu wa jeshi alitimuliwa kazi
Kabla ya kuanza kutupia lawama jiulize kwa nini jeshi la Afghanistan limewakabidhi Taliban nchi bwereree tu bila purukushani yoyote.
 
Wananchi wa walioungana na talban ni kina nani hao?
Hawa waliojazana airport ya kabul na mpaka wa pakstani wakiitaka kukimbia nchi yao?
Kinachotokea sio Cha kushangaza,
Serikali iliyokuepo ilkua ikipokea misaada lukuki.

Ila rushwa,ufisadi na ubadhirifu vilitawala.
keki ya taifa ilikua inaliwa na wachache sana.

Viongoz waliishi maisha ghali sana ilhali wananchi,wafanyakazi,wanajeshi na polisi wakiishi maisha magumu.

SIO kwamba
Mgambo wa Taleban Afghanistan kuingia ikulu na nchi haikua na jeshi.

Bali jeshi la serikali lipo,
ila wanajeshi wamegoma kupigana na taleban.

Wameamua kuungana na wananchi kuwaunga mkono Taleban.

Icho ndicho kinachotokea
 
Back
Top Bottom