mbaghato chaka
JF-Expert Member
- Jun 6, 2021
- 521
- 663
Gaidi ndan ya nchi ykeNashukuru kwa katibu mkuu wa UN kuitisha mkutano wa dharura na kukemea hili jambo japo wametumia lugha laini sana ni kama wametoa baraka kwa magaidi ya taliban kuingia ikulu kwa unyang'anyi
Namshukuru balozi wa kudumu wa umoja wa mataifa nchini Pakistan amekemea vikali huu upuuzi wa watu wasiostaarabika kuanzia akili mpaka mazingira yao
Nasikitika sana mataifa makubwa km USA na UK na Russia wanazungumzia kuondoa raia wao tu lakini hawayakemei haya magaidi ya taliban
Kwa siku ya jana tu toka magaidi yateke ikulu kumeanza kuripotiwa uvunjifu wa haki za binadamu kama mauaji ya kulipiza kisasi nk
Km mbakumbuka kipindi haya majamaa yalipokuwa yakitawala serikali zote duniani ziliyakataa isipokuwa nchi moja au mbili za kiarabu zisizostaarabika.
Yalikuwa yamekataza watoto wa kike kusoma,yalikataza kuangalia tv na cinema imagine hawa magaidi wanata nn
Hawa wajinga wanapigana wamevaa makobas bado tunawachekea eti wanapigania dini
What a shame dunia inaelekea wapi?
Umoja wa Afrika inatakiwa itoe statement ya kutoitambua hii Serikali ya magaidi.