Dunia kusimama kuelekea mpambano wa kukata na shoka kati ya Anthony Joshua na Wladimir Klitschko

Jamani jamani klitschko sio wa kubeza nakumbuka pambano lake na lewis zilikua znapigwa ngumi jiwe na jamaa ana punch mbaya sana pambano liliisha baada ya kupasuka juu ya jicho ila alikua keshamzidi points lewis aisee labda uzee ila kwa uhodari hyo mrusi sio wa kumchukulia poa kabisaa....advantage ya Aj ni kuwa bado kijana na yuko fast kdgo but he must watch out
 
Castr utakuja kukubali tu kuwa AJ ni moto wa kuotea mbali... We hushangai kwa nini rank zimemlinganisha na wangapi,na akaonekana ni wa kufight na Klitschko?
Kuwa macho siku hiyo,utaenjoy game nakuhakikishia. Natabiri Klitschko atapigika tena KO, apende asipende
 
huyu jamaa ana mkono mzito sana na ana target Ila defensive yako sio nzuri sana wlad ana kazi kubwa sana hapa na umri wake
Unajua mkuu,boxing inategemea we una nguvu gani au una udhaifu gani.. Ukishaujua,ndo unajua upambane namna gani.

Sasa mabondia wengi hasa wanaopenda kupiga KO,huwa wako radhi kukuachia uso, ili we urushe ngumi na kumbe unaporusha,unaacha nafasi ya opponent kukurushia pia.. Na Mara nyingi hao wanaziamini ngumi zao ni ngumi jiwe,we utapiga yako,utamparaza,ye yake lazima upepesuke.
AJ ana style hiyo.
 
Pambano litakuwA gumu sana... AntonyJoshua asichukulie poa...

Akina Klitscko ni wazoefu katka ring na wana uwezo wa kusustain pain...

Its gonna be a big big show.

Mimi nipo kwa Joshua...

LADIES AND GENTLEMEN
Lets get ready to RUUUUUMBLEEEEEEEEEEEEEE....
 
Jamani jamani klitschko sio wa kubeza nakumbuka pambano lake na lewis zilikua znapigwa ngumi jiwe na jamaa ana punch mbaya sana pambano liliisha baada ya kupasuka juu ya jicho ila alikua keshamzidi points lewis aisee labda uzee ila kwa uhodari hyo mrusi sio wa kumchukulia poa kabisaa....advantage ya Aj ni kuwa bado kijana na yuko fast kdgo but he must watch out
lewis alipigana na vitali sio wlad
 
Uzi mzuri sana. Ila nashindwa nichangie wapi kwa hawa vijana chipukizi japo mmoja kijana mzee. Ukweli jamani mm pick niliyofikia wakati huo wa masumbwi leo nikiiangalia naona kama nashuka chini kishabiki. Nawapongeza kwa kuendelea kufatilia masumbwi. Namkumbuka The Baddest Man on Planet naona alistaafu na ngumi zake. Yeyote atakae shinda hapo nampa big up ilimradi mchezo upae. That time masumbwi ulikuwa mchezo wa pili pendwa duniani ila kwa sasa sio. Yule MC kama albino alivokuwa anamwagika ulingoni kama na yeye anajua ngumi vile. Utaskia and the wiiiiiiiiiiiiiiiiiner iiiiiz Iiiiiiiiron na nani nani sijui. That time Snake Boy.........daah!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom