Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,349
- 1,011
Kubali kukosolewa pumbavu wewe!!!!.. Umeandika lugha isiyoelewaka unaambiwa unaleta ujinga ujinga hapaPimbi tuu wewe unajuwa nini just zip you're lips ndorobo wee eboo!
Kubali kukosolewa pumbavu wewe!!!!.. Umeandika lugha isiyoelewaka unaambiwa unaleta ujinga ujinga hapaPimbi tuu wewe unajuwa nini just zip you're lips ndorobo wee eboo!
Una PhD fake nini? hata huelewwki!THAT ZIONIST EVIL WANT WAR111 WAR TO USE STUPID AMERICAN TO GET TO RUSSIA CHINA TO DESTROY THEM AND AMERICA .AND THEN USE NUKES TO MIDDLE EAST TO MAKE JUST JEW BE IN THE WRLD ZIONIST EVIL INTERNATIONL TERRORIST DREAMS
Itakuwa katumia google translatorUna PhD fake nini? hata huelewwki!
Unaongelea nchi za Ulaya ambazo ziko vile kwakuwa USA ilipenda ziwe vile. Tusiangalie vita ambazo huwa anataka waunge mkono ili kuiaminisha Dunia kwamba sio ubabe wake tu.Kama Muingereza, Mfaransa na Mjerumani hawajatoa kauli ya kumuunga mkono Marekani (USA) peke yake hawezi kiingia vitani.....!!
Anajua fika atachapika..
Umekariri na kuaminishwaHahahaha... Hata kama ni uzembe wa Kufuatilia mambo na historia ya Dunia siyo Kwa kiwango cha kuamini Korea Kaskazini inauwezo wa Kuzima Setelite zote angani!!!!.....
Kulingana na ukuaji wa Teknolojia Kwa sasa nchi Tishio Duniani kwa Teknolojia za Surprise ni ISRAEL,USA,RUSSIA,CHINA,...hao akina NORTH KOREA ni KIBURI CHA UTHUBUTU na kinga za Kaka zake Mabaunsa akina Uchina na Urusi.
Siombei Vita lakini ukweli nikwamba ikitokea USA akaliamusha Dude kumpiga kiduku na nchi nyingine isiiingilie.....yaan wapigane wawili tuu....na kila mtu aruhusiwe kutumia uwezo wake to the maximum NORTH KOREA ITACHAKAZWA NDANI YA MASAA MAWILI TUU...mengine itabaki historia.
Itabidi wategemee vikwazo sio mtutu. Korea hana cha kupoteza hapa duniani ndio maana haogopi kuitungua dunia. Majaribio tu ya zana zake za kijeshi yana uwezo wa kusababisha matetemeko ya ardhi na mafuriko kwenye nchi nyingine.Asiye na idea na science hata kidogo ndo anaweza sema hivyo. Kim hana uwezo huo uliosema. Hata Marekani kwa sasa hana, unadhani satellite zote angani unaenda na kuzima tu kama taa? Kujam submarines na ndege zote? Hehehe story za kahawa hizo.
Hana uwezo wa kuyumbisha dunia nzima, ni kelele tu.
Hahahah unahoja nyepesi sana kiufupi kwenye hili hakuna unachojua zaidi ya taarifa za kusikia.... So siwezi kubishana na wewe!!.Umekariri na kuaminishwa
Amchape tuu kisha akatae kulipa. Ye si ana nguvu watamfanya nini?Yaania eti unasema INASEMEKANA?maana yake ni story ya vijiweni.nenda kamdanganye uje uone atakavyofumuliwa.inachokiepuka America ni kuingia gharama za kuhudumia wahanga baada ya vita maana dunia yote itasema wawalipe na kuwauguza na kurudisha miundo mbinu.ukiisikia America hiyo ni tishio
Mugabe kasema hakuna taifa dogo kijeshi na kiteknolojia, hata Zimbabwe inaweza kupambana nao hao Marekani! Duh sasa hii kashesheAna technologia ya kufa mtu ambayo mataifa yote duniani yanaitafakari. Kim sio mpumbavu kumbwekea Marekani vile. Huyu jamaa inasemekana ana uwezo wa kuzima satellites zote angani zinazoendesha mifumo yote ya ki-eletronic duniani ikiwemo ile ya bwana mkubwa wa Lushoto.
Anaweza kusababisha nyambizi na ndege za bwana mkubwa zikajam zote.
Tusishabikie vita ya Korea na majirani zake na Marekani inaweza kuiyumbisha dunia nzima.
Una tatizo la imani. Sio wewe tu kwani hata siku Daudi alivyompiga Goliath kwa jiwe moja watu kama wewe waliombeza Daud walikuwepo pia. Leo pia unashindwa kuamini kuwa yule Mungu wa akina Daudi na Goliath ni yuleyule Mungu wa akina Kim Jong na Donald Trump wa leo.Yaania eti unasema INASEMEKANA?maana yake ni story ya vijiweni.nenda kamdanganye uje uone atakavyofumuliwa.inachokiepuka America ni kuingia gharama za kuhudumia wahanga baada ya vita maana dunia yote itasema wawalipe na kuwauguza na kurudisha miundo mbinu.ukiisikia America hiyo ni tishio
Unaleta swala la Imani uliyokalilishwa?kaa hapo..Una tatizo la imani. Sio wewe tu kwani hata siku Daudi alivyompiga Goliath kwa jiwe moja watu kama wewe waliombeza Daud walikuwepo pia. Leo pia unashindwa kuamini kuwa yule Mungu wa akina Daudi na Goliath ni yuleyule Mungu wa akina Kim Jong na Donald Trump wa leo.
Pimbi tuu wewe unajuwa nini just zip you're lips ndorobo wee eboo!
Pimbi tuu wewe unajuwa nini just zip you're lips ndorobo wee eboo!
Hahaha! u ung'eng'e duh!THAT ZIONIST EVIL WANT WAR111 WAR TO USE STUPID AMERICAN TO GET TO RUSSIA CHINA TO DESTROY THEM AND AMERICA .AND THEN USE NUKES TO MIDDLE EAST TO MAKE JUST JEW BE IN THE WRLD ZIONIST EVIL INTERNATIONL TERRORIST DREAMS
Lugha gani hii kuu?? Is this English, Germany or Russian?? Soma tena ulichoandika au mwombe mwanao wa darasa la 6 akuandikie.
Kuna watu hawafikiri vizuri. Chuki zao binafsi dhidi ya marekani zinawafanye wawe na ndoto halisia za kuona marekani imefutika. Hawapendi kuwaza na kufikiri kiuhalisia. Historia tu inakataa kabisa dunia kukaliwa na nchi mbili au zaidi super power. Haijawahi kabisa kutokea. NK anavumiliwa tu ili kuepusha majanga na gharama kubwa za vita hasa baada ya vita. Wakubwa wakimwamulia hats hizo ICBM hazitaruka, zitaharibiwa hapo hapo NK.Hahahaha... Hata kama ni uzembe wa Kufuatilia mambo na historia ya Dunia siyo Kwa kiwango cha kuamini Korea Kaskazini inauwezo wa Kuzima Setelite zote angani!!!!.....
Kulingana na ukuaji wa Teknolojia Kwa sasa nchi Tishio Duniani kwa Teknolojia za Surprise ni ISRAEL,USA,RUSSIA,CHINA,...hao akina NORTH KOREA ni KIBURI CHA UTHUBUTU na kinga za Kaka zake Mabaunsa akina Uchina na Urusi.
Siombei Vita lakini ukweli nikwamba ikitokea USA akaliamusha Dude kumpiga kiduku na nchi nyingine isiiingilie.....yaan wapigane wawili tuu....na kila mtu aruhusiwe kutumia uwezo wake to the maximum NORTH KOREA ITACHAKAZWA NDANI YA MASAA MAWILI TUU...mengine itabaki historia.
Mkwala wa Kiduku sio wakupuuza, lazima kuna kitu anajivunia nyuma ya pazia marekani now ni mchumba tu kwa nchi nyingi sema wanamchuniaga tu na ubabe wake wa kimamboleo.