kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,252
- 16,171
Ana technologia ya kufa mtu ambayo mataifa yote duniani yanaitafakari. Kim sio mpumbavu kumbwekea Marekani vile. Huyu jamaa inasemekana ana uwezo wa kuzima satellites zote angani zinazoendesha mifumo yote ya ki-eletronic duniani ikiwemo ile ya bwana mkubwa wa Lushoto.
Anaweza kusababisha nyambizi na ndege za bwana mkubwa zikajam zote.
Tusishabikie vita ya Korea na majirani zake na Marekani inaweza kuiyumbisha dunia nzima.
Anaweza kusababisha nyambizi na ndege za bwana mkubwa zikajam zote.
Tusishabikie vita ya Korea na majirani zake na Marekani inaweza kuiyumbisha dunia nzima.
kwanza kabisa tazama
