Dunia inahama, ulimwengu unatembea

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,916
Mada hii ni zao la mada hii ya kumbukumbu za ulimwengu


Kumbukumbu za ulimwengu (World Archives)

Ni wazi dunia inatembea na ulimwengu unahama.. Ama vyote viwili vinatembea na kuhama kwa wakati mmoja ama kwa nyakati tofauti na dereva wao mkuu anayewahamisha ama kuwatembeza ni muda

Haya ni matembezi yasiyoonekana mwendo wake na ni uhamisho usioweza kujionesha kwa maramoja bali kupitia wakati na nyakati haya hujidhihiri. Ni jambo la ajabu na kushangaza mno ukiweza kupiga taswira namna dunia inavyohama na ulimwengu unavyotembea

Kabla sijaendelea nisikuchanganye na haya mawili! Dunia na ulimwengu
Dunia ni yabisi kwa maana ya kwamba inaonekana
Ardhi (milima, mabonde misitu nk)
Maji (bahari, mito, maziwa na chemchem)
Ulimwengu ni mchanganyiko wa yasibi na visivyoonekana kwa maana ya
Mwanadamu binadamu
Viumbe hai vyote
Mitazamo na maono
Ufundi, ubunifu,ugunduzi sanaa na uumbaji wa majengo, miundombinu, barabara, vyombo vya usafiri nchi kavu, angani na baharini nk
Sayansi, fizikia, teknolojia nknk
Kwenye ulimwengu ndio unapata walimwengu na malimwengu

Combination ya hivi viwili huathiri kuhama ama kutembea kwake.. Kimoja kikiwa ni kwa asili na kingine kikiwa ni kwa matendo ya walimwengu

Kuhama na kutembea kwa dunia kisababishi ni matendo ya asili yasiyoweza kuzuilika kwa namna yoyote ile kama vile
Tufani/kimbunga
Mafuriko
Tetemeko la ardhi
Milipuko ya volcano na mawimbi ya bahari

Kuhama na kutembea kwa ulimwengo kisababishi ni matendo ya asili na matokeo ya athari za matendo ya walimwengu kama
Ukame
Biashara
Vita
Majanga ya asili
Magonjwa
Muingiliano wa vizalia na kikomo cha matumizi ya nyakati

Kwa wasomaji na wafuatiliaji wa mambo ya kale ya akilojia watakuwa wameona ugunduzi wa ajabu juu ya
Miji maarufu hapo kale iliyomezwa na bahari na kufukiwa chini ya vifusi vya mchanga
Maeneo ambayo hapo kale yalikuwa tambarare na uoto wa asili lakini sasa yamemezwa na kuwa bahari ama ziwa ama mto
Maeneo ya mashamba miji mikubwa na miundombinu ya kila aina lakini sasa yametelekezwa na kufunikwa na vichaka miti na mapori

Maeneo yaliyokuwa maarufu kwa sanaa, uhunzi uchoraji na ugunduzi mbalimbali sasa ni magofu na makazi ya wanyama na wadudu warukao na kutambaa

Maeneo yaliyokuwa ni misitu na mapori ama vilindi vya maji, mabwawa maziwa na hata bahari leo hii yamegeuzwa miji na majiji yenye viwanda mbalimbali makazi ya watu nknk

Kwa macho ya kawaida na uono wa haraka huwezi kuona hili lakini unapoanza kufuatilia mambo ya akiolojia unaweza kuona dunia na ulimwengu namna vinavyotembea na kuhama kwa namna ya ajabu kabisa

Ni jambo la kushangaza unapogundua ya kwamba baada ya muda fulani kupita walimwengu huchoshwa na eneo husika kutokana na majanga ya asili ama kufujwa na kuchakazwa na wao wenyewe na kuamua kutafuta maeneo mapya na kuyaendeleza upya..

Ulipo leo hapakuwa hivyo tangu asili.. Pengine palikuwa pori ama bahari ama ziwa nk halafu pakapata uhai wa walimwengu wakapachakaza wakapahama pakajitibu na kurudi kwenye asili yake pakawa pori na msitu tena leo hii pamevamiwa na kujengwa makazi ama shughuli zingine za kiuchumi..
Hapo hapatabaki hivyo milele patadumu kwa muda tu kisha pachahamwa...
Asili inazunguka na kutibu kila panapoharibiwa na walimwengu ama majanga ya asili ambayo sometimes ni kazi ya asili yenyewe ili watu waweze kuondoka kuepusha uharibifu zaidi

Je, asili ina macho? Ina masikio? Ina roho?
 
Shukrani kwa maarifa
Ugiriki ya zamani baada ya kuchimbuliwa
a38f5ed273a84aaaf693c3319504e3d3.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Noma sana!
Ufa wa Afrika Mashariki: Maajabu ya Asili yenye Siri ya Tectonic

Mgawanyiko katika bara la Afrika ni mchakato wa kijiolojia ambao unaendelea kwa sasa. Unaitwa Ufa wa Afrika Mashariki, na ni mpaka unaotofautiana wa bamba la kitektoniki ambapo Bamba la Kiafrika liko katika mchakato wa kugawanyika katika mabamba mawili ya tectonic, yanayoitwa Bamba la Somalia na Bamba la Nubia. Ufa huo kwa sasa unaongezeka kwa kiwango cha 6-7 mm (1/4 inch) kwa mwaka, ambayo ni kasi ya polepole. Hata hivyo, zaidi ya mamilioni ya miaka, upanuzi huu wa polepole unaweza hatimaye kusababisha bara kugawanyika katika sehemu mbili.

Ufa wa Afrika Mashariki ni bonde refu na jembamba linaloenea kwa zaidi ya kilomita 6,000 kutoka Bahari ya Shamu kaskazini hadi Msumbiji kusini. Ufa huo umejaa mfululizo wa maziwa, ikiwa ni pamoja na Ziwa Turkana, Ziwa Malawi, na Ziwa Victoria. Ufa huo pia ni nyumbani kwa idadi kubwa ya volkano hai, ikiwa ni pamoja na Mlima Kilimanjaro na Mlima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shukurani kwa mada hii inayofikirisha na kuleta mjadala kwenye fikra, tunapoitazama jana na leo na kuiangalia kesho kwa kweli tunapata hitimisho kwamba maisha ya asili ya ulimwengu huwenda yanarudi.

Ukuwaji wa upeo wa mwanadamu ukiutazama jana na hapa tulipo leo unaweza kupata jibu ni nini kitakafuatia kesho.
 
Shukurani kwa mada hii inayofikirisha na kuleta mjadala kwenye fikra, tunapoitazama jana na leo na kuiangalia kesho kwa kweli tunapata hitimisho kwamba maisha ya asili ya ulimwengu huwenda yanarudi.

Ukuwaji wa upeo wa mwanadamu ukiutazama jana na hapa tulipo leo unaweza kupata jibu ni nini kitakafuatia kesho.
Kila kitu huzaliwa/huumbwa huukua, hubadilika, huzeeka na hatimayd kufa na kuingia kwenye mchakato mpya wa kubadilika kuanzia kuoza hadi kuzaliwa kitu kingine kipya na mwishowe kurudi kwenye asili kuu

Realm of eternity | Page 4 - JamiiForums Realm of eternity

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mada hii ni zao la mada hii ya kumbukumbu za ulimwengu


Kumbukumbu za ulimwengu (World Archives)

Ni wazi dunia inatembea na ulimwengu unahama.. Ama vyote viwili vinatembea na kuhama kwa wakati mmoja ama kwa nyakati tofauti na dereva wao mkuu anayewahamisha ama kuwatembeza ni muda

Haya ni matembezi yasiyoonekana mwendo wake na ni uhamisho usioweza kujionesha kwa maramoja bali kupitia wakati na nyakati haya hujidhihiri. Ni jambo la ajabu na kushangaza mno ukiweza kupiga taswira namna dunia inavyohama na ulimwengu unavyotembea

Kabla sijaendelea nisikuchanganye na haya mawili! Dunia na ulimwengu
Dunia ni yabisi kwa maana ya kwamba inaonekana
Ardhi (milima, mabonde misitu nk)
Maji (bahari, mito, maziwa na chemchem)
Ulimwengu ni mchanganyiko wa yasibi na visivyoonekana kwa maana ya
Mwanadamu binadamu
Viumbe hai vyote
Mitazamo na maono
Ufundi, ubunifu,ugunduzi sanaa na uumbaji wa majengo, miundombinu, barabara, vyombo vya usafiri nchi kavu, angani na baharini nk
Sayansi, fizikia, teknolojia nknk
Kwenye ulimwengu ndio unapata walimwengu na malimwengu

Combination ya hivi viwili huathiri kuhama ama kutembea kwake.. Kimoja kikiwa ni kwa asili na kingine kikiwa ni kwa matendo ya walimwengu

Kuhama na kutembea kwa dunia kisababishi ni matendo ya asili yasiyoweza kuzuilika kwa namna yoyote ile kama vile
Tufani/kimbunga
Mafuriko
Tetemeko la ardhi
Milipuko ya volcano na mawimbi ya bahari

Kuhama na kutembea kwa ulimwengo kisababishi ni matendo ya asili na matokeo ya athari za matendo ya walimwengu kama
Ukame
Biashara
Vita
Majanga ya asili
Magonjwa
Muingiliano wa vizalia na kikomo cha matumizi ya nyakati

Kwa wasomaji na wafuatiliaji wa mambo ya kale ya akilojia watakuwa wameona ugunduzi wa ajabu juu ya
Miji maarufu hapo kale iliyomezwa na bahari na kufukiwa chini ya vifusi vya mchanga
Maeneo ambayo hapo kale yalikuwa tambarare na uoto wa asili lakini sasa yamemezwa na kuwa bahari ama ziwa ama mto
Maeneo ya mashamba miji mikubwa na miundombinu ya kila aina lakini sasa yametelekezwa na kufunikwa na vichaka miti na mapori

Maeneo yaliyokuwa maarufu kwa sanaa, uhunzi uchoraji na ugunduzi mbalimbali sasa ni magofu na makazi ya wanyama na wadudu warukao na kutambaa

Maeneo yaliyokuwa ni misitu na mapori ama vilindi vya maji, mabwawa maziwa na hata bahari leo hii yamegeuzwa miji na majiji yenye viwanda mbalimbali makazi ya watu nknk

Kwa macho ya kawaida na uono wa haraka huwezi kuona hili lakini unapoanza kufuatilia mambo ya akiolojia unaweza kuona dunia na ulimwengu namna vinavyotembea na kuhama kwa namna ya ajabu kabisa

Ni jambo la kushangaza unapogundua ya kwamba baada ya muda fulani kupita walimwengu huchoshwa na eneo husika kutokana na majanga ya asili ama kufujwa na kuchakazwa na wao wenyewe na kuamua kutafuta maeneo mapya na kuyaendeleza upya..

Ulipo leo hapakuwa hivyo tangu asili.. Pengine palikuwa pori ama bahari ama ziwa nk halafu pakapata uhai wa walimwengu wakapachakaza wakapahama pakajitibu na kurudi kwenye asili yake pakawa pori na msitu tena leo hii pamevamiwa na kujengwa makazi ama shughuli zingine za kiuchumi..
Hapo hapatabaki hivyo milele patadumu kwa muda tu kisha pachahamwa...
Asili inazunguka na kutibu kila panapoharibiwa na walimwengu ama majanga ya asili ambayo sometimes ni kazi ya asili yenyewe ili watu waweze kuondoka kuepusha uharibifu zaidi

Je, asili ina macho? Ina masikio? Ina roho?
Naunga mkono hoja
 
Unaongelea mabadiriko au kuhama? Maana Mimi najua kuhama ni kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine. Kwa maelezo yako naona umejikita kuelezea mabadiriko badala ya kuhama au kutembea kwa dunia kama ulivyoelezea kwenye kichwa cha mada.
Na kama ni kuhama kwa dunia sioni kama kuna uhalisia naona ni kama theory tu ambazo hazina uthibitisho wowote. Tuchukulia mfano mkoa wa dar, kama kweli dunia inahama (kutoka sehemu moja) kwa nini dar iko pale pale? Kwanini siku moja watu wa dar wasijikute wapo hata north pole or sourthen pole? Kwanini dar iko pale pale wakati huo unasema dunia ina hama? Au wewe unaongelea mabadiriko yaliyokuwepo dar 1970 na utofauti wa 2023? Kipi unaongelea?.
Mada hii ni zao la mada hii ya kumbukumbu za ulimwengu


Kumbukumbu za ulimwengu (World Archives)

Ni wazi dunia inatembea na ulimwengu unahama.. Ama vyote viwili vinatembea na kuhama kwa wakati mmoja ama kwa nyakati tofauti na dereva wao mkuu anayewahamisha ama kuwatembeza ni muda

Haya ni matembezi yasiyoonekana mwendo wake na ni uhamisho usioweza kujionesha kwa maramoja bali kupitia wakati na nyakati haya hujidhihiri. Ni jambo la ajabu na kushangaza mno ukiweza kupiga taswira namna dunia inavyohama na ulimwengu unavyotembea

Kabla sijaendelea nisikuchanganye na haya mawili! Dunia na ulimwengu
Dunia ni yabisi kwa maana ya kwamba inaonekana
Ardhi (milima, mabonde misitu nk)
Maji (bahari, mito, maziwa na chemchem)
Ulimwengu ni mchanganyiko wa yasibi na visivyoonekana kwa maana ya
Mwanadamu binadamu
Viumbe hai vyote
Mitazamo na maono
Ufundi, ubunifu,ugunduzi sanaa na uumbaji wa majengo, miundombinu, barabara, vyombo vya usafiri nchi kavu, angani na baharini nk
Sayansi, fizikia, teknolojia nknk
Kwenye ulimwengu ndio unapata walimwengu na malimwengu

Combination ya hivi viwili huathiri kuhama ama kutembea kwake.. Kimoja kikiwa ni kwa asili na kingine kikiwa ni kwa matendo ya walimwengu

Kuhama na kutembea kwa dunia kisababishi ni matendo ya asili yasiyoweza kuzuilika kwa namna yoyote ile kama vile
Tufani/kimbunga
Mafuriko
Tetemeko la ardhi
Milipuko ya volcano na mawimbi ya bahari

Kuhama na kutembea kwa ulimwengo kisababishi ni matendo ya asili na matokeo ya athari za matendo ya walimwengu kama
Ukame
Biashara
Vita
Majanga ya asili
Magonjwa
Muingiliano wa vizalia na kikomo cha matumizi ya nyakati

Kwa wasomaji na wafuatiliaji wa mambo ya kale ya akilojia watakuwa wameona ugunduzi wa ajabu juu ya
Miji maarufu hapo kale iliyomezwa na bahari na kufukiwa chini ya vifusi vya mchanga
Maeneo ambayo hapo kale yalikuwa tambarare na uoto wa asili lakini sasa yamemezwa na kuwa bahari ama ziwa ama mto
Maeneo ya mashamba miji mikubwa na miundombinu ya kila aina lakini sasa yametelekezwa na kufunikwa na vichaka miti na mapori

Maeneo yaliyokuwa maarufu kwa sanaa, uhunzi uchoraji na ugunduzi mbalimbali sasa ni magofu na makazi ya wanyama na wadudu warukao na kutambaa

Maeneo yaliyokuwa ni misitu na mapori ama vilindi vya maji, mabwawa maziwa na hata bahari leo hii yamegeuzwa miji na majiji yenye viwanda mbalimbali makazi ya watu nknk

Kwa macho ya kawaida na uono wa haraka huwezi kuona hili lakini unapoanza kufuatilia mambo ya akiolojia unaweza kuona dunia na ulimwengu namna vinavyotembea na kuhama kwa namna ya ajabu kabisa

Ni jambo la kushangaza unapogundua ya kwamba baada ya muda fulani kupita walimwengu huchoshwa na eneo husika kutokana na majanga ya asili ama kufujwa na kuchakazwa na wao wenyewe na kuamua kutafuta maeneo mapya na kuyaendeleza upya..

Ulipo leo hapakuwa hivyo tangu asili.. Pengine palikuwa pori ama bahari ama ziwa nk halafu pakapata uhai wa walimwengu wakapachakaza wakapahama pakajitibu na kurudi kwenye asili yake pakawa pori na msitu tena leo hii pamevamiwa na kujengwa makazi ama shughuli zingine za kiuchumi..
Hapo hapatabaki hivyo milele patadumu kwa muda tu kisha pachahamwa...
Asili inazunguka na kutibu kila panapoharibiwa na walimwengu ama majanga ya asili ambayo sometimes ni kazi ya asili yenyewe ili watu waweze kuondoka kuepusha uharibifu zaidi

Je, asili ina macho? Ina masikio? Ina roho?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom